Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Naona uchafu wako wa tabiaa...utakuwa ni kwasababu ya mamayako..

Kweli kabisa Usioe mke Kama Mama yako
Huo ushauri hapo juu nimeandika kwa ajili ya wanaume,sijajua wewe kimekuuma nini mkuu.!

Isitoshe sijakutaja wala kukuhusisha kwenye maneno yangu hapo juu.

Kuhusu hiyo part ya mama yangu,ngoja nikuache tu
 
Huo ushauri hapo juu nimeandika kwa ajili ya wanaume,sijajua wewe kimekuuma nini mkuu.!

Isitoshe sijakutaja wala kukuhusisha kwenye maneno yangu hapo juu.

Kuhusu hiyo part ya mama yangu,ngoja nikuache tu
Pole...mkuuu Naona masikio yametoka Moshi .
 
Kwakaiyo bikra Maria alizaa Yesu..alafu anaendelea kuwa bikra...doooh
Yes, maana ya "U-Bikra" means pale mahali "uume " haujapita, na siku kutolewa damu ama kautando.
Kwahiyo yeye bikra yake ilitoka baada ya kumzaa na kuendelea na maisha ya ndoa ambapo alipata watoto wengine ambao hawajazungumzwa kwenye kile kitabu kitakatifu
 
Haya...
 

Unajua wanaume tuliooa bikra hatuna wivu sana kwa sababu tunajiamini, lakini unakuta kababa fulani kana wivu alafu kalioa mwanamke asiye na bikra hii yote ni madhara ya kuoa asiye na bikra. Wivu iliopitiliza.

Yaani mkeo asiongee na watu kisa upuuzi wako na mawivu yako ya kipumbavu.
 
Inauma ila ndiyo ukweli, ukifanya dhambi hata ukitubu madhara yake utayapata tu
 
Mkuuu hao wanawake HAWAPO HUKU JF...wanamililiki Nokia za torchi na hawajui kutumia computer.
 
Vipi umemkagua ukakuta marunda yapo?
Ukikuta mwanamke 25+ ni bikra just marinda hakuna. Jisifie sasa kumbe watu walisha kula tope sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…