Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

huyo mkeo Kama angekuwa mzuri tungepita nae.

😀😀😀

Mkuu mke wangu sio mke wenu. Nashukuru kwa kusema ukweli kuwa ni mke wangu kwani nilimkuta bikra
Ukioa mke asiye na bikta huna mamlaka ya kumuita mkeo, sema mke wa jamhuri
 
Bikra hutolewa kwa mwanamke kujamiana na mwanaume, au kutumia sex machine kujiingiza ukeni,

Hizo za kusema bikra kutolewa na baskel ni uongo wa kutupa na washamba wasiowahi kuzitoa hizo bikra.

1. Wewe ni mwanamke ilikuthibisha waongo? Kwamba unauzoefu huo

2. Kuna research yoyote kuthibitisha kwamba bikra hutolewa kwa ngono peke yake? Weka ushibitisho

3. Vipi waliobakwa wanahaki ya kuolewa au hapana? Kwanini

Unapojibu hakikisha unafata mtiririko yaani numbering. Usiweke majibu ya jumlajumla yaani ya mtu kilaza.

Tuendelee
 
Huyo ni mshamba hana anachojua, bikra huthibitishwa na mtu mmoja, yaani mwanaume aliyemlala binti bikra..
Wanaume wengine hudanganya wenzao vijiweni ili wapate ujiko, naona huyu naye kadannganywa
Nimemshangaa mnoo kwa ujinga alioandika ...kaonyesha alivyo mweupe kichwani
 
1. Wewe ni mwanamke ilikuthibisha waongo? Kwamba unauzoefu huo

2. Kuna research yoyote kuthibitisha kwamba bikra hutolewa kwa ngono peke yake? Weka ushibitisho

3. Vipi waliobakwa wanahaki ya kuolewa au hapana? Kwanini

Unapojibu hakikisha unafata mtiririko yaani numbering. Usiweke majibu ya jumlajumla yaani ya mtu kilaza.

Tuendelee

1. Mimi ni mwanaume mtoa bikra hivyo mimi ndiye Mthibitishaji na mwanamke ni mthibitishwaji. Mwanamke yeyote anaweza kujiita bikra lakini lazima asibitishwe na mwanaume

2. Research ni kuwa mwanamke bikra ni yule ambaye hajalala na mwanaume, maana bikra ndio tafsiri yake, maana zipo alama za ubikra. Uke unaweza kutumika kwa matumizi mengine kama kukojolea lakini kama haujatumika kujamiiana huitwa bado bikra.

3. Sizungumzii haki hapa, kila mwanamke anahaki ya kuolewa, ila kuna mwanamke bikra(Mpya) na mwanamke chuma chakavu

Karibu
 
Ushaonyesha upeo wako kwa previous comments so...Fuata Ushauri wa bwana joka jeusi. .. tafuta zee la kumalizia maisha ,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀😀

Mimi silazimishi mtu hapa
 
Ipo hivyo,
Raha ya mtoto mkali ukute ipo sildi, raha ya chakula kizuri kiwe kimetoka jikoni, sio makombo,
Makombo hata yawe ya nyama choma ni makombo tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109] mkubwa nakubali
 
2. Research ni kuwa mwanamke bikra ni yule ambaye hajalala na mwanaume, maana bikra ndio tafsiri yake, maana zipo alama za ubikra. Uke unaweza kutumika kwa matumizi mengine kama kukojolea lakini kama haujatumika kujamiiana huitwa bado bikra.


Tatizo mimi sio mswahili

Unapojibu weka evidence
 
ebu nipe namba zake PM TUFANYE experiment Kama kweli ana msimamo.
Alafu nitakwambia

Mke wangu sio wamajaribio, tafuta hao waliofanya majaribio kabla hawajaolewa matokeo yake wakawa malaya
 
Back
Top Bottom