Kumbe ulikuwa unaongopa silly
Prove wewe sio najisi?
1. Umeshindwa kuthibitisha baba yako alioa bikra, hukuwepo kuthibitisha alivoitoa. Unaongea ujingaujinga tu utadhania mama yako mkeo. Ulitaka akuambie mama yako malaya? Hakuwa na bikra? Is it possible? Mjinga wewe
Mimi nimeoa mwaka 2013, nina miaka saba huu ni wa nane Mkuu.
Bila bikra nilishaapa siwezi kuoa mimi
ππ Wamchokoza joka eeh..[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Joka hajapata bikra asiongope tena kwa awamu ya huyu mzee wa vyuma, bikra uipatie wapiiii, zilikuwepo kwa mzee wa ruksa na mkapa kidogo, ila hii awamu ya sura ya mbuzi bikra ni za nadra sana, au uongo ndugu zanguni
Duuu, mm ni mtu mzr sasa ntajuaje hicho ni kizuri,,,,,, kuwa mwazi bhanaaaa eeee, kama vipi tuoe tu wa jamii si ndo dunia inakokimbiliaππππ, na kama siyo LIUKIMWI, nakwambia binadamu sasa wangekuwa kama mbuzi. Amn nakwambia, LIUKIMWI kidg limeitunza heshimaπ€£π€£π€£π€£
Wewe dada utakuwa huna bikra na wala hujaolewa ndo maan unasumbua na kupinga hii madaπππ ila pole ndo maishaMtoto ni wewe..usiyetaka kuambiwa ukweli .
Wewe dada utakuwa huna bikra na wala hujaolewa ndo maan unasumbua na kupinga hii madaπππ ila pole ndo maisha
ππ Jf bwana..sawa ahsante nawewe hongera kwa kuolewa bikra..vipi umebarikiwa kupata watoto wangapi?Wewe dada utakuwa huna bikra na wala hujaolewa ndo maan unasumbua na kupinga hii madaπππ ila pole ndo maisha
Muache mke wangu Cylia mtarajiwa mbona mnamsakama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], njoo baby ndoa ipo njia hata bila bikraWewe dada utakuwa huna bikra na wala hujaolewa ndo maan unasumbua na kupinga hii mada[emoji38][emoji38][emoji38] ila pole ndo maisha
Tatizo ni naweza zeeka sijampata. But tangu zamani huwa naishi na hiyo ndoto tatizo umr unaenda matumaini nakosa. Nademand hiyo sifa mana hata mm ninayo. Na pia huwa naumia naoa ambaye daaaa. Ngoja nijipe moyoKuwa na msimamo, mwambie demu kabisa kama huna bikra hapa hakuna ndoa,
Ukipumbazwa na maneno ya hawa malaya kama unavyoona mfano wa huyu JF watakupoteza.
Mithali 5: 3 - 6
Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta; Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili. Miguu yake inatelemkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu; Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutanga-tanga wala hana habari.
Hapo atakudanganya yeye ni mwanamke mwenye tabia njema, kumbe upuuzi mtupu, angekuwa na tabia njema si angekuwa na bikra? Muulize kama unatabia njema bikra ilienda wapi. Kisha usimsikilize
ππ Jf bwana..sawa ahsante nawewe hongera kwa kuolewa bikra..vipi umebarikiwa kupata watoto wangapi?
Tatizo ni naweza zeeka sijampata. But tangu zamani huwa naishi na hiyo ndoto tatizo umr unaenda matumaini nakosa. Nademand hiyo sifa mana hata mm ninayo. Na pia huwa naumia naoa ambaye daaaa. Ngoja nijipe moyo
Tangu mwanzo nimeshakwambia jinsi unavyofikiri wewe usilazmishe na wengine wafikiri kwa kimo hichoicho kidogo kama cha kwako! You are thinking within the box my bro, alafu hapohapo unalazmisha watu wakuone ni great thinker! Mwafrika yeyote alizaliwa bara la Afrika ana damu ya umaskini lakini eti wewe uliyezaliwa Tanzania, nchi masikini, mkoa masikini, wilaya maskini, tarafa maskini, kata masikini, familia maskini, na hapohapo hujioni kama una damu ya umaskini eti kisa una employment wewe na wife wako mwenye bikira!π π π π
Mimi sina damu ya masikini wapumbavu, masikini huwa nawafananisha na Nyani kila siku nasema humu.
Siwezi kuwa masikini kwa sababu damu yangu sio ya umasikini, mimi sio masikini, nina kazi nzuri, mke wangu sio masikini, Mtoto wangu hasomi vishule vya masikini. Huo umasikini nitakuwa nao labda huku JF kwenye vikoment vya watu fukara kama wewe mpuuzi.
Huku JF nilishasemaga miaka 7 iliyopita, siwezi oa mwanamke asiye na bikra, Siwezi oa mwanamke fukara.
Nisije haribu kizazi changu
ππππ Naomba umwambie badala yanguMwambie ni kweli nilitolwa bikra kwa upumbavu wangu lakini kwa uwezo wa Jalia nimebakiza bikra ya Ubongo, sio kama wengine ambao hawana hata bikra moja, wao kila kitu kimetumiwa na jamhuri ya mafisi
Wanakumizia baby wangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Sina shaka na masakamo..kila mtu anaandika vile anavyotaka.
ππππEmbuuuWanakumizia baby wangu
Kama ndivyo tuambie
Bikra hutoka/hutolewa katika mazingira yapi kwa uchache?
Namaanisha mambo gani yanaweza kusababisha mwanamke/mtoto wa kike apoteze bikra yake?
Huyo kidogo bado anabikra ya ubongo kuna hiyo mbuzi hapo juu Adolay hii atakayoipata amekula hasara. Hakuna hata bikra ya ubongo hapo π π