Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Good idea
Anzisha NGO inayohusika na masuala ya Bikra. Hakika utajipatia umaarufu mkubwa na kupingwa hakuepukiki.
Usiogope kuongea maneno magumu
Wapingaji n 80% nauhakika. Na wote wanaopinga n -bikra🀣🀣🀣🀣
 
Umu tatizo hamna wenye bikra za uke labda ningeshaur utoe Elim ya bikra ya m.. Ndu mana ndio kidogo umu wapo wapo
 

Mkuu mimi nasema kila siku kwa sababu kila siku kuna watu wapya humu JF,

Ndio maana kila siku nasema na nitaendelea kusema hata kama inakuuma
 
Ahhh joka unatuharbia kaka achaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahhh joka unatuharbia kaka achaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaume kama mimi ni wachache hivyo kuwa na amani, na hilo ndilo unalotakiwa ujivunie

Ni kama wanawake wengi hupenda wanaume warefu jambo ambalo linawafanya wanaume wafupi wajisikia vibaya lakini wanaume wafupi wakigundua wanaume warefu ni wachache basi kujiamini kunarejea kwani wanawake hawatakuwa na jinsi lazima wachukue vianduje πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…