Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mimi bikra bila damu huwa naonaga usanii sana mkuu

Wewe utakuwa bado mgeni kwenye game sio?

Mwanamke ili umuingilie kimwili lazima papuchi yake ilowe ute ute hii ni kumaanisha yupo tayari kwa kuingiliwa na anahisia, ukimuingilia hawezi sikia maumivu kama sio bikra, lakini kama bikra lazima atasikia lakini sio lazima damu kutoka.

Kama hajalowa ukimuingilia ni lazima ahisi maumivu japo sio makali kama siku akitolewa bikra,
 
Kwa. Mara ya Kwanza ngij ncomment.

Mkuu bikra n tam mi nip na manz angu mwak wa 3 niliikut hy kitu na hd ananio nlisota coz n mtu aliyeitunza md mref namoend San hop nkioa ntakua kam ww

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
kumbe ulimchakata kabla hata ya hyo harusi kumbe ulichofanya ni simple'ulikuwa unachakata mbalimbali kuangalia kama ni bikra na ulipoibahatisha ukaoa na kuoa'anyway kupanga ni kuchagua
 
Mimi sio mgeni kwenye game mkuu?
Ila huwa sijali Kama anaumia au haumii, Mimi huwa namtwanga tu... Where ana utelembwee au mkavu... Ila nishakutana na ma bikra ndo maana nikauliza chief
 
Kwa. Mara ya Kwanza ngij ncomment.

Mkuu bikra n tam mi nip na manz angu mwak wa 3 niliikut hy kitu na hd ananio nlisota coz n mtu aliyeitunza md mref namoend San hop nkioa ntakua kam ww

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app

Hakikisha unakuwa mwalimu wake kwa kila kitu 90%

Ukiona siku anataka kukucheat basi jua kuna sehemu unayumba.

Kwa uzoefu wangu mwanamke akipenda anapenda mazima hasa ukiwa wewe ndio mwanaume wake wa kwanza, na kama ulimkuta bikra ndio kabisa anaweza fanya lolote kwa ajili yako
 
kumbe ulimchakata kabla hata ya hyo harusi kumbe ulichofanya ni simple'ulikuwa unachakata mbalimbali kuangalia kama ni bikra na ulipoibahatisha ukaoa na kuoa'anyway kupanga
Hiv harusi maana yake nini mkuu? Tuanze hapo
 
kumbe ulimchakata kabla hata ya hyo harusi kumbe ulichofanya ni simple'ulikuwa unachakata mbalimbali kuangalia kama ni bikra na ulipoibahatisha ukaoa na kuoa'anyway kupanga ni kuchagua

Ili kurahisisha mambo Mkuu, embu imagine nafunga ndoa alafu usiku wa fungate nakuta hakuna kitu, unadhani nini kinngetokea kama sio kumfedhahesha bidada wa watu
 
Maji mara moja. Alichokiumba Mungu nimnyimie mtu kwanini sasa na dunia na vyote vilivyomo si mali yetu.

Nashukuru kwa kuwaambia watu ukweli humu ili wajionee mlivyo.

Upo makini, unajiwakilisha haswa
 
Ili kurahisisha mambo Mkuu, embu imagine nafunga ndoa alafu usiku wa fungate nakuta hakuna kitu, unadhani nini kinngetokea kama sio kumfedhahesha bidada wa watu
aaah aya bwana ko mpaka unaoa ulikuwa umeshachakata ngapi
 
Mimi na uselessness head wangu siwezi oa mwanamke maharage ya mbeya kama wewe, na wenzako. Hata mbwa wangu hawezi kufanya hivyo
Kaka unaweza vp mwambia mtu hv.....
Kwan shda nin, mbona kama
upo bitter mno! Issue n wewe ku enjoy mke bkra au kuna kingne...[emoji16]
 
Mimi sio mgeni kwenye game mkuu?
Ila huwa sijali Kama anaumia au haumii, Mimi huwa namtwanga tu... Where ana utelembwee au mkavu... Ila nishakutana na ma bikra ndo maana nikauliza chief

Usimuingia mwanamke kabla hujamuandaa, i mean kabla hajawa tayari kuingiliwa, huwa hafurahii kwa lolote zaidi ya maumivu. Jinsi ya kujua kuwa yupo tayari au laa nimeshakueleza kuwa Papuchi ikiwa imelowa ute ute maalum wa kulainisha uke basi waweza kumuweka
 
Ukikaa na mimi hata miaka 10 huwezi nijua mkuu kuna watu tunatabia nzuri za asili mbaya zinatokea kama ndoto na haijirudi
 
Ukikaa na mimi hata miaka 10 huwezi nijua mkuu kuna watu tunatabia nzuri za asili mbaya zinatokea kama ndoto na haijirudi

Kama wewe ni mwanamke njoo tukae wote hata miezi sita, ficha unachofika alafu uone kama siwezi kukujua. Tusiandikie mate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…