Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra


Ukianzisha kampuni hiyo kuzungumza na watoto wa kiume utakuwa na success zaidi. Nyie si ndio watoaji bikra? Ndo mnaochezea watoto wa kike na kutupilia mbali?

Utaenda kuwaambia watoto kuhusu vibamia au?
 
Uliwaaibisha sana mkeo na wakwe zako lakini. Hujitambui.
 
Ukianzisha kampuni hiyo kuzungumza na watoto wa kiume utakuwa na success zaidi. Nyie si ndio watoaji bikra? Ndo mnaochezea watoto wa kike na kutupilia mbali?

Utaenda kuwaambia watoto kuhusu vibamia au?
Mkuuu, muombaji na mtoaji nani anatakiwa kusisitizwa zaid, na athar nani anazipata zaidi??? Kibamia lazima kije kiwe kama mfano mkuuπŸ˜†
 
Nilikuwa nimeishaanza kukuamini lakini ulipofika hapo kwenye tako la kilo 100 alafu mke mwenyewe MCHAGA ilo TAKO kalitoa wapi?
 
Warumi 3:23 kwa maana wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;
Usikebehi wenzio hata siku moja
Hii dunia iache tu kama ilivyo. ipo siku utashangaa nyie mnaojisifia juu ya bikra mnazalisha single mothers wa kutosha katika kizazi chenu , au utakuta ni uzao wa single mothers
 

watakuwa watoto wapumbavu kama walivyo wapumbavu, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo na mwana wa nyoka ni nyoka
 
Nilikuwa nimeishaanza kukuamini lakini ulipofika hapo kwenye tako la kilo 100 alafu mke mwenyewe MCHAGA ilo TAKO kalitoa wapi?

Wewe ndio umecheleewa nenda pale sinza kwaremi ulizia Dada Silvia alafu utaona huo mzigo alioubeba hapo nyuma,
 

Siku hizi vijana wa mechanganyikiwa,
 
Asa akili zingine bhn, yaani nikose wadada wote duniani mpaka nioe single mother UTOPOLO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]

Yaani hata kuku watakushangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…