Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mbona kama umepanic?

Kama hauna bikra ndo hauna hivyo

Na kama ni single mother nikupe pole in advance
...Doooh hapo.umeona nimepanik?...
Maisha Ni kuchagua tu...

Ila undhani mabaya yako watu wangeyajua..wangekuheshimu Kama wakuheshimuvyo?..

Nachoongelea hapa Mungu anatustiri mapungufu yetu....

Nasisi tustiri mapungufu ya WENGINE..hakuna mkamilifu..


Haimaanishi Usioe bikra ..Hilo Ni chaguo lako..haimaanishi uoe single mother ..Hilo Ni chaguo lako
 
Kila mtu aoe amtakae...Kama Ni single mother umependea uzuri..Sawa..

Kama.ana bikra na ndoa sababu OA..
.Kama mwanamke umependea Sura mbaya kwamba hatotongozwa oA.

Kama umependea Wezere tabia mtarekebishana
 
Usioe mwanamke asiye na bikra
kwa maisha ya sasa ni sawa na kuwashauri wenzio waoe ng'ombe, chance ya kumpata bikra siku hizi ni nearly to nill...
halafu huu ujinga wa kutaka uoe bikra wakati wewe ushatembea na wanawake 100 ndio sababu ndoa hazidumu siku hizi...
 
kwa maisha ya sasa ni sawa na kuwashauri wenzio waoe ng'ombe, chance ya kumpata bikra siku hizi ni nearly to nill...
halafu huu ujinga wa kutaka uoe bikra wakati wewe ushatembea na wanawake 100 ndio sababu ndoa hazidumu siku hizi...

Mwanamke ndiye huvunja ndoa sio mwanaume.
 
kila kitu huanza na imani, ukiamini kuwa single mother hakufai toka moyoni basi daima na wakati wote hawezi kukufaa hata kama atakupigania kwa jasho na damu. KUNA WATU WANAZEEKA NA HAO HAO SINGLE MOTHER,

Kuna mambo ya imani na mambo ya sayansi.

Kisayansi huwezi fananisha Gari jipya na gari chakavu, kiimani unaweza.

Huwezi fananisha mwanamke bikra na mwanamke mtumba kisayansi, hii haihitaji uwe na degree mkuu
 
Kuna uzi pia bikra tatu,kwa mwanamke umefunguliwa.

Huu mwaka bikra ni neno linalotamalaki kwa Sana,lakini ni kero Sana kwa hizi pisi kali zinazogawa Kama karanga
 
Hawezi kuonja sumu kwa kuilamba. Siku akimfumania mkewe lazma atupwe ICU kwa muda 😁😁😁
Kama unaamini hakuna anayeweza kuruka na mkeo kisa ulimkuta bikra share contacts PM.
 
Endelea kuturingishia

Oyaaaa!!mabaharia

anasbo mrangi @madmax

Jamaa analeta madharau huku

Wazee wa pisi Kali si mnaona wenyewe[emoji1]
 
Watakaotukana watakuwa na matatizo ya ubongo au utoto unawasumbua kwa vitu vya kufikirika.

Wajue kwamba Mapenzi hayana formula mwanaume akishakwama kwa mwanamke Hana ujanja haijalishi awe bikra au asiwe bikra atatangaza ndoa mchana kweupe na mahali atatoa bila kupinga. Warelax
 
Sasa mkuu unaposema tuoe bikra, maana yake tuoe vitoto vya miaka 13.
Nakwambiaje, tutaendelea kuoa wadada wasio bikra kwa sababu % kubwa ya waliowatoa bikra walikuwa ni wanafunzi au wadogo ambao hawawezi kuwaoa. Sisi tunaoa na maisha yanaenda.
 
Hakuna kitu kizuri Kama sifa au kusifiwa.
Ujue Mungu anauwezo mkubwa Sana tena sana, lakini Kama asingea amua ku create viumbe Nani angejua ukuu na uweza wa Mungu?
Haya....kila mtu afanya linalompa raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…