Sio kila aliyejiharibu alijiharibia kwa kupenda, sasa na wewe unapozidisha uharibifu eti tu kwa sababu wao walishajiharibia basi mjomba Karma yupo. Atakulipa tu kwa namna yake
Unalaumu sana wanawake as if uwa wajinyandua wenyewe!! Both Me na Ke wakiacha uharibifu na kuwa wakweli basi vizazi vijavyo vitakuwa salama.Hakuna kuwaombea wala kuwafariji hata wangetaka kujiua, jambo pekee wanaloweza kufanya ni kuwakatalia wanaume na kuacha uzinzi, wanawake wakiamua kukataa kutoa bwerere nakuhakikishia ndoa zitamiminika kama njugu, vijana wataoa kwa kasi.
Lakini kuombea watu wasiojitambua hilo hufanywa na wendawazimu
Kwa hiyo jibu lake lingekuwaje?Hakika walijiuliza lakini jibu lipo dhahiri
Naungana nawe kwenye maombi, tufunge tatu kavu mwali maana bikra ishakua inshuuuOmbi kwa mara ya pili.
Dear future husband usije ukaifahamu jamiiforums.
Huku mtaani kwetu kuna mama aliolewa na Bikra yake, uwa ananiambia D siijui mbo.o tofauti na ya baba Xx lakini huyu mwanaume sijui nimfanyie yapi atulie. Mume wake ni kicheche mbaya, skirt mpya isiingie mtaani anatupia ndoano. Hana heshima kwa mke wake hata kidogo.
Ona huyo kajitunza ila kaja kupata galasa, bikra ina heshima sawa lkn sio guarantee ya utulivu ndani ya ndoa. Sitaki kuamini kama kuna wake waliolewa bila bikra then sio waaminifu kwa ndoa zao. Hata hao mabikira siku wakishawishika wakaonja nje na kunogewa yatakuwa Yale yale tu.
Nikirepot kutokea pande za kaskazini ni mimi mjumbe kutokea chama cha wanawake un'virgin 😀😀 Tunakwambia hivi utulivu tunao kwenye mahusiano yetu, imagine aliyenibikiri ameshatangulia mbele ya haki nabaki vipi sasa huku duniani? Unataka tuishi maisha ya kijane kama wahindi? Hii tamaduni kwetu huku haipo ni lazima tu nitakuwa na mahusiano mengine.
Nimeandika sana. Lol
Nimemkumbuka ndugu yangu, alioa bikra ila ndoa yake haikuchukua hata miaka 2 kabla haijaparanganyika.
Nimewahi kukutana na wasichana zaidi ya 3 bikra na sikuwaoa, na sijawahi kukutana nao kimwili tena licha ya wao kuolewa. Na sometimes tunaonana!!
Bikra kwa kigezo cha kukwepa kubambikiwa mimba hakina mantiki.
Binafsi naona kama mwanamke aliyeolewa bikra, ndio mwenye chance nyingi za kucheza kucheza huko nje ya ndoa kumzidi yule
Utakuwa na tatizo la akili hujijui unahitaji tiba, daily bikra, single mother I think you need healing in ur heart mi mada kumi kumi na yote hyo unaanzisha kujifariji na ujiponye nafsi yako . Hongera kwa kutoa sumu moyoni na hivi twatumia fake I'd
Hawana bikra,wewe umejulia wapi maana huwajui wala hawakujui
Naona umegeuka mganga wa kienyeji kubashiri bikra za wanadamu usiowajua
Nakushauri hii kazi ya ubashiri waachie waganga,wewe jikite na kujibu hoja unazoweza
Ingekua kabila kwako sio ishu,then hilo kabila la huyo mwanamke usingekua na muda wa kulitaja
Umelitaja kwa kudhani ni mojawapo wa sifa watu watakusifia
Proudly umeandika "MCHAGGA" as if ni kigezo
Ungekua unajiamini na kabila lako ungeoa mwanamke wa kwenu,hujiamini nalo ndio maana umekimbilia kabila jingine
Wewe ni self hating motherfvcker,unajichukia kua kabila ulilopo now,ndio maana umekimbilia Wachagga kujisogeza
Shame on you
Sifa zote ulizotaja hapo juu,zote zipo kwenu pia,kasoro neno Mchagga,na jinsi ulivyo na chuki na wanawake wenu,umewaacha makusudi mazima
Bure kabisa na huna maana..hujiamini
Ubaya ni kwamba, idadi kubwa ya wanawake wanatolewa bikra zao katika umri mdogo kabisa (15yrs-18yrs). Ni umri ambao wanakuwa bado hawajui kipi ni kipi wala nini ni nini. Ila baadhi yao wanapofika umri wa kujitambua wanaamua kujiheshimu na kutulia ingawa walishapoteza usichana wao accidentary. Kwa hiyo bado mimi naona katika suala la kuoa, kuna vigezo vingine vinavyoweza kuangaliwa. Bikra isiwe kigezo kikuu na cha mwisho katika muktadha huo.Hakuna kuwaombea wala kuwafariji hata wangetaka kujiua, jambo pekee wanaloweza kufanya ni kuwakatalia wanaume na kuacha uzinzi, wanawake wakiamua kukataa kutoa bwerere nakuhakikishia ndoa zitamiminika kama njugu, vijana wataoa kwa kasi.
Lakini kuombea watu wasiojitambua hilo hufanywa na wendawazimu
Mkuu...Wewe niite utakavyo iwe Malaya..au kahaba au lolote lile....
Mimi nilichosema ishi utakavyo amua...Ni maisha yako...
Kwaiyo kusimamia unachokiamini Ni SAWA Ni maisha yako...
Pengine Kuna watu wanamisimano tofauti na hii ya kwako...so we differ
shida yangu siyo bikra tu nmependa jinsi ulivyoelezea hulka ya mwandani wako ukamsifia mamaye kwa matunzo boraMkuu bikra zipo nyingi mno
Hii kauli itabaki kuwa deni.Niliapa kuharibu vilivyoharibiwa na kamw
Tatizo lako unaongea ongea tu as if huujui uhalisia.Ndoa sio uvumilifu, ndoa ni utakatifu.
Huwezi mvumilia shetani hayo ni mafundisho ya uongo,
Yapo ya kuvumilia lakini sio Uasi,
Ndoa uvumilivu kama wa kukosea kupika, uvumilivu wa kiuchumi labda biashara zimeyumba, uvumiivu wa maradhi labda mmoja anaumwa, lakini sio huo upumbavu.
Kuvumilia uovu ni ushetani, ni kuendekeza ushetani na kufanya maovu yaonekane yanavumilika wakati kiukwli hayavumiliki.
Mwisho wa uovu ni mauti tena ya aibu.
Endelea kuvumilia uovu hapo
Wewe uliona wapi mwizi akiiba anavumiliwa, uliona wapi mtu anayeua anavumiliwa badala ya kumuadhibu na kumuangamiza?
Acheni mambo ya ajabu enyi kizazi cha Koboko
Ubaya ni kwamba, idadi kubwa ya wanawake wanatolewa bikra zao katika umri mdogo kabisa (15yrs-18yrs). Ni umri ambao wanakuwa bado hawajui kipi ni kipi wala nini ni nini. Ila baadhi yao wanapofika umri wa kujitambua wanaamua kujiheshimu na kutulia ingawa walishapoteza usichana wao accidentary. Kwa hiyo bado mimi naona katika suala la kuoa, kuna vigezo vingine vinavyoweza kuangaliwa. Bikra isiwe kigezo kikuu na cha mwisho katika muktadha huo.