Mkuu somo lako kwa hiki kizazi ni somo gumu sana kuwahi kutokea, watu sikuhizi wanaangaliana tu tayari washatongozana na kinachofuata...........
Mkuu inaonekana unakula raha sana kuendesha gari jipya kabisa peke yako (mkeo),
Hakika ni kweliKwani nasema uongo?
Ila mkuu kumbuka zama zimebadilika pia, leo ni tofauti na zamani ambapo wazazi waliishi na watoto wao wote (kama familia).Mkuu na ndio maana mimi lawama zangu nawalaumu wazazi, mzazi ndiye humuharibu mtoto
boss nakurekebisha na ushahidi wako! ukiona mwanamke amaeachana na mwenza! kabla ya kuishi nae au kumuoa rejea kwanza mda waliokuwa wote, kama ni miaka miezi au siku! fuatilia mahusiano yao baada ya kuanzisha mahusiano nae( japo ngumu) ☺️ jiepushe na sababu walizoachana! kisha kuwa mkarimu kwake, ikiwa tofauti, hyo si mwanamke wa kuishi naeNina ushahidi usio na shaka kuhusu jambo hili na hata humu JF kila siku tunasikia malalamiko ya wanawake kurudiana na ma-ex wao au kufumaniwa nao. Hiyo ni kawaida sana, na mara zote mimi siwalaumu wanawake kwa kufanya hivyo kwani hiyo ndio asili. Mtalaka hatongozwi
sawa mkuuMadhara ya kuoa bikra nitayaeleza ila kuu ni kuwa wewe ndio utakuwa mwalimu kwa karibu kila kitu na hii kama hutakuwa mzuri wa kufundisha anaweza akakukimbia kutafuta mwalimu mwingine.
Ila mkuu kumbuka zama zimebadilika pia, leo ni tofauti na zamani ambapo wazazi waliishi na watoto wao wote (kama familia).
Leo hii kukuta baba na mama wapo Dar, mtoto wa kwanza anasoma Arusha, wa pili Mwanza na wa tatu Mbeya ni kawaida. Kwa mantiki hii utaona kwamba watoto wa siku hizi, wanatoka kwenye familia mapema mno tofauti na miaka ya nyuma. Na hii jamii ya sasa ustaarabu wa malezi hakuna tena, kukuta Mwalimu anakula mwanafunzi wake wa f2 usishangae.
boss nakurekebisha na ushahidi wako! ukiona mwanamke amaeachana na mwenza! kabla ya kuishi nae au kumuoa rejea kwanza mda waliokuwa wote, kama ni miaka miezi au siku! fuatilia mahusiano yao baada ya kuanzisha mahusiano nae( japo ngumu) ☺️ jiepushe na sababu walizoachana! kisha kuwa mkarimu kwake, ikiwa tofauti, hyo si mwanamke wa kuishi nae
Nimejaribu kuhusianisha baina ya ugumu wa maisha(sababu) +mazingira(uhalisia)= utoaji mimba(matokeo).Kwahiyo namna pekee ya kukabiliana na maisha magumu kwa mtoto wa kike ni kutoa uchi wake? Hiyo ndo njia ambayo unaona hawapaswi kulaumiwa wakiwa sio mabikra? Hivyo ndo namna akili yako inataka kumsaidia mtoto wa kike?
kma waliachana kisa alikuwa maskin na kwako unampa anachotaka ujue itakula kwako bro.. ☺️Mwisho wa mwisho, mtalaka hatongozwi
boya kweli! umeowa mke wa mtu nini..?Zingatia zaidi, Mtalaka hatongozwi
ukimtaka utampataHawara hana talaka
Kama huelewi msemo huu wewe ndio boya
Saint Anne pitia hapa[emoji16][emoji16][emoji16]
ExactlyHawara hana talaka
Kama huelewi msemo huu wewe ndio boya