Captain endelea kupiga spana za utosi.Endelea kunipa pole mimi nikiendelea kutoa dawa
Nikweli..kwaiyo inaamnisha Wewe Uzinifu wako...Upo sawa based on hayo maandiko...
Someni neno lamungu na mulielewe...Tatizo mnataka kusoma neneo la Mungu na kuchukua mistari ambayo inaendana au kusifia matendo yenu
Pole kwako kuwa na one sided view of life!...
na wewe utaoa bikira, utampata wapi?...
Hiyi hiyo biblia inakwambia Uoe mke mmoja?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwenye maandiko kuna kifungu kinasema , Mwaname anaweza kuwafanya wanawake 1000 wakaitwa kwa jina lake , ila mwanamke anatakiwa kujitunza kwaajili ya Mumewe , kwa tafsi isiyo rasmi""
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Captain endelea kupiga spana za utosi.
Tumeshakubalia bikra ndio go ahead ya kuoa.
Hawa K wazi wanaokunanga sisi tutaendelea kuwatumia kupunguzia nyege lakini ndoa ni kwa ajili ya mabikira tu.
Mungu mwenyewe alimteua Bikira amzalie mtoto, sisi ni nani hata tupingane na Mungu kwa kuotesha mbegu zetu kwenye mashimo yaliyotoboka?
Mimi..sijasoma...ila nachosema Ni kwamba..Kujitunza Ni jambo zuri Sana..
Ila Mwenyezi Mungu nimsamehevu anasemahe.....kila KITU..
Huyo Huyo Mungu anasema Tusikae kushughulishwa na.Mazambi ya watu wengine ...
Hakuna mkamilifu Huyu anakazana na kuona UZINIFU wa WANAWAKE....Yeye Hana ukamilifu kwani nae Ni mzifu..
Pia anamadhambi Mengi Sana ambayo yeye MWENYEWE anajua..
Mungu humpa Yule amtakae..Kuna watu Ni wadhambi Sana lakini bado Mungu akawabariki Sana...mfano FARAO.
Kwaiyo...nikweli Mungu anatutaka kujitunze...lakini PIA HAWEZI KUTUNYIMA wenza.. kwasababu HAKUNA Mwanadamu aso dhambi...
Hiyi hiyo biblia inakwambia Uoe mke mmoja?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mimi sitaki bikra, nataka mwanamke anayetaka ku settle.
Itafaa nin uoe bikra akiijua mboo anatamani aonje zingine?
Nataka anayesema nimetosheka nataka kutulia na mume mmoja.
Nafungua dirisha rasmi;
financial services
Shunie
Rebecca
Waiteni na wwngine lkn nataka mmoja tu
Wanawake katika vitabu vya dini mnakipaumbele sana cha kuwa wasafi kuliko wanaume amini hilo. Ndio maana maandiko yakasema "" Katika Mwanamke nimeweka uzima na Kifo"" yaani katika Mwanamke kuna uumbaji na maangamizi vyote vimo ndani yenu.Mkuu..hivi nyie hamna dhambi?..Wewe unae kazana na ukahaba wa mtu...Wewe hutakiwi kutubu kwa Uzinifu wako?
Hutakiwi kutubu kwa wizi wako na dhuluma na matusi na kuuwa na mfano we...
Wewe Uzinifu wako kwasababu hauitwi ukahaba Basi unaona ninSawa?
Ndo Maana nakwambia Wewe Humjui Mungu ..Huwezi muita takataka kwa tenda dhambi ambayo hata Wewe unatenda just because eti Ni mwanamke?.Tunalielewa na ndio maana tunataka watu wasioe takataka, watu walionajisiwa kwa kufanya ukahaba.
Wewe ulitaka watu waoe mtu aliyenajisiwa wakati kuna wanawake safi?
hata uniite kunguni,mimi sijali, dada zako,mama wadogo zako na shangazi zako wao wanazo zao??..kwa nini usichukue hii topic yako ya ubikira kwao? maana tumechoka na huu upuuzi wako humu, na kama wanayodai wadau humu ni kweli then huna MORAL AUTHORITY yoyote kuongelea kuhusu ubikira.... wewe hujijui tuu ila na wewe timu ya mafisi kama unavyoita wenzio..sema uko DELUDED!
Ndo Maana nakwambia Wewe Humjui Mungu ..Huwezi muita takataka kwa tenda dhambi ambayo hata Wewe unatenda just because eti Ni mwanamke?.
Nikweli Uzinifu kwa mwanamke Ni mbya zaidi..kwa macho ya walimwengu. Lakini kwa Mungu huyo unaemquote Zambi zote anasamehe..
Ndo Maana hizo Takataka Zina Olewa na kuzaa.....na zinaweza zaaa watoto Bora Sana kuliko wako hao wakwako ambao UnwaiTA WASAFI
Sijui.mimi.Muisilamu...Na mume Wangu akitaka kuoa mke WAPILI aoe...Wala Sina shida.Tupe kifungu hiko kinachosema mtu aoe mtu mke mmoja.
Askofu pekeake ndiye aliyeambiwa lakini wengine wanaweza kuoa mke zaidi ya mmoja. Wewe umesoma biblia ipi hiyo?
Namaanisha utakatifu kwa Mwanamke unatakiwa uwe wa hali ya juu sana, japo wote twatakiwa kuwa watakatifuNikweli..kwaiyo inaamnisha Wewe Uzinifu wako...Upo sawa based on hayo maandiko...
Someni neno lamungu na mulielewe...Tatizo mnataka kusoma neneo la Mungu na kuchukua mistari ambayo inaendana au kusifia matendo yenu
Ndo Maana nakwambia Wewe Humjui Mungu ..Huwezi muita takataka kwa tenda dhambi ambayo hata Wewe unatenda just because eti Ni mwanamke?.
Nikweli Uzinifu kwa mwanamke Ni mbya zaidi..kwa macho ya walimwengu. Lakini kwa Mungu huyo unaemquote Zambi zote anasamehe..
Ndo Maana hizo Takataka Zina Olewa na kuzaa.....na zinaweza zaaa watoto Bora Sana kuliko wako hao wakwako ambao UnwaiTA WASAFI
Mkuuu...INATOSHA KUSEMA MUNGU HUMJUI...Mimi simjui huyu mungu mshenzi anayetaka tuoe takataka.
Mungu ninayemjua aliyeumba mbingu na nchi aliyetaka watu waoe wasichana bikra ndiye ninayemtambua.
Huyo mngu mzoga ambaye ni kigeuuge simjui, yaani Mungu aseme hivi alafu kesho aseme vile huyo si atakuwa mungu mpuuzi tuu.
Makahaba wana mungu wao, sishangai
Daudi alioa wanawake wangapi lakini bado Mungu alimkubali sana mimi ni nani kwa Mfalme daudi?Hiyi hiyo biblia inakwambia Uoe mke mmoja?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nimehangaika miaka takribani 19 tangu nipevuke nikajitunza sikuwahi kunyandua msichana yeyote lakini kila nilipotaka kuoa nikimuuliza binti ninaye mchumbia vipi unabikra anakataa,mwisho wa siku mri unaenda nikaona isiwe tabu mwaka huu nimeamua kubadili msimamo wangu nahitaji kuoa binti yeyote hata kama sio bikra kikubwa azae watoto basi,kuna mambo mengine unaweza kung'ang'ania kumbe sio bahati yako, KUPATA MWANAMKE BIKRA NI BAHATI PIA.