Mnapotoa mifano kama hii muwe mnaangalia na hali halisi! Maana kwa mfano wako hauwezi kufananisha Cruiser used na Passo mpya!
Watu wamekaza vichwa kwel hata hawaelewi mada inasemaje sema siwalaumu Jokajeusi kawakamata kwel kwel [emoji23][emoji23]Point ya jamaa siyo kupewa tunda wa mwisho au kula makombo! Point yake ni kwamba mwanaume unaweza kuoa mwanamke bikira na bado akakusaliti kwenye ndoa kama huyo mwanamke alivyomsaliti mumewe na kutembea na jamaa mbona mnajifanya mnakaza vichwa!
Nilijua tu lazima ungegeuza kibao japo mwanzo ulisema gari tu! Kuna watu wamenunua magari mapya na yamewahi kuharibika kuliko walionunua used (ya jamii moja) within a given amount of time so uimara wa gari hauna msaada wowote kwa mtu asiyejua namna ya kulitunza!Wewe unaendesha lipi? Cruiser used au Passo mpya?
Gari used au mpya yote sharti yawe ya jamii moja ndipo mfano wangu utakapoeleweka
Ndiyo baadhi ya wanaume tuliobaki nao kwenye kizazi cha sasa! Wenye akili za kushikiwa wale wanaojifanya wazee wa "bros before hoes" badala ya kuangalia hali halisi ya ndoa za sasa!Watu wamekaza vichwa kwel hata hawaelewi mada inasemaje sema siwalaumu Jokajeusi kawakamata kwel kwel [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu miyeyusho humu ndaniwakikutoa na bikra ya tigo uje simulia mkuu..mke wa mtu sumu
Hanithi huyu!Ulishindwa kutoa bikra unakuja kujimwambafai hapa
Chukua Fanta Baridi na popcorns nakuja kulipa.Point ya jamaa siyo kupewa tunda wa mwisho au kula makombo! Point yake ni kwamba mwanaume unaweza kuoa mwanamke bikira na bado akakusaliti kwenye ndoa kama huyo mwanamke alivyomsaliti mumewe na kutembea na jamaa mbona mnajifanya mnakaza vichwa!
Chukua Fanta Baridi na popcorns nakuja kulipa.Point ya jamaa siyo kupewa tunda wa mwisho au kula makombo! Point yake ni kwamba mwanaume unaweza kuoa mwanamke bikira na bado akakusaliti kwenye ndoa kama huyo mwanamke alivyomsaliti mumewe na kutembea na jamaa mbona mnajifanya mnakaza vichwa!
Chukua Fanta Baridi na popcorns nakuja kulipa.Point ya jamaa siyo kupewa tunda wa mwisho au kula makombo! Point yake ni kwamba mwanaume unaweza kuoa mwanamke bikira na bado akakusaliti kwenye ndoa kama huyo mwanamke alivyomsaliti mumewe na kutembea na jamaa mbona mnajifanya mnakaza vichwa!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Chukua Fanta Baridi na popcorns nakuja kulipa.
Sikujua kama unapitia hiyo, weka Safari baridi kwa meza kula vitu. Mm nitapiga k vant kubwa.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Shukrani mkuu ila unaonaje ukaongeza kidogo ili nipate Safari Baridi maana wengine hizo soda hatutumii
Ahsante mkuu kwa kutukumbuka na sisi/mimi tusiyo akina Maria🤔 kuna watu walioa bikra na hawajatulia huko ndoani! Kuliko hata walioolewa siyo! Ni kuomba tu umpate mtu sahihi kama atakua bikra or not sawa .mtasettle vizuri tu. Kwahiyo tuje pm wote??Mimi sitaki bikra, nataka mwanamke anayetaka ku settle.
Itafaa nin uoe bikra akiijua mboo anatamani aonje zingine?
Nataka anayesema nimetosheka nataka kutulia na mume mmoja.
Nafungua dirisha rasmi;
financial services
Shunie
Rebecca
Waiteni na wwngine lkn nataka mmoja tu
Inabidi kiundwe kikosi maalum cha kumlinda Jokajeusi [emoji23][emoji23][emoji23] maana kuna Ke wazi wakimkamata watamchemsha supu.
Sema mleta mada wewe ni real deal, mwanaume atakayekupuuza asije kumlaumu mtu mbele ya safari.
Jamii inajitahidi kupotezea umuhimu wa bikra kwa mwanamke bila kujua ndio chanzo cha matatizo yanayozikabili ndoa za siku hizi.
Niliwahi kusoma mambo fulani kuhusiana na jinsi tendo la ndoa kwa Mara ya kwanza kwa mwanamke linavyomuathiri kisaikolojia, kiroho na kimwili.
Kwa ufupi mwanaume anayembikiri msichana ndiye mume wa huyo msichana bila kujali amemuoa au la. Hiyo dhana inaitwa sexual imprint. Kwahiyo kuoa mwanamke asiye na bikra ni sawa na kuishi na mke wa mtu, hamtaendana kiroho.
Nachoshukuru bado sijaoa, kamwe siwezi kuoa ama kumzalisha mwanamke ambaye tayari ni damaged. Kwangu ndoa ni sacrifice hivyo lazima niji sacrifice kwa mwanamke atakayeji sacrifice kwa ajili yangu.