Najua rafiki ila si unajua mambo mengine yapo nje ya uwezo wetuSio vizuri kupotea sana rafiki
Siku hizi tunaoa tu lakini suala la kupata mke bikra limekuwa gumu kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Virginity is a woman's glory i regret opening my legs to my ex boyfriend if i could have waited a bit my husband would be more proud of me than now
Ni ngumu kutuamini ila tupo kaka
Virginity is the best wedding Gift, Any man would receive from his newly wedded wife.
But lately there is no is nothing like that any longer because it will have already been given out as
Birthday Gift, Token of appreciation, Job assurance, Church collection, Examination making schemes , Taxi Fare.......
Wanatamani sana wazikute bikra hiyo siku ya fungate wakati huohuo wakati wa uchumba wanataka kutest mitambo.Mwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
Mikono na miguuAmbao hata tukioana hatutaki kumgusa tunanyosha nini[emoji849]
My lovely sisyNilikuwa naenda kukomenti hivi
Mwingine hata ukimpa uhakika bado hatakiNaweza kumvumilia mwanamke ila awe na uhakika kama anayo kweli iyo bikra ila tofauti na hapo never
[emoji2321]Mwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
[emoji2321]Nilikuwa naenda kukomenti hivi
NdiyoHivi kuna mwanaume bikra pia?
Wanataka bikraWanatamani sana wazikute bikra hiyo siku ya fungate wakati huohuo wakati wa uchumba wanataka kutest mitambo.
Kweli wanaume hadi sasa sijafanikiwa kuwaelewa wanataka nini!
hawajui wanachokitaka[emoji119][emoji119][emoji119]
Nimefurahi kukuona tena shangazi. Karibu kwa mara nyingine.Nilikuwa naenda kukomenti hivi
Wanataka kuoa mtu aliye na bikra halafu muda huo huo wakimpata wanataka sex kabla ya ndoa.Wanataka bikra
Nikikutana na msichana akaniambia bikra hua nakata mawasiliano nae kabisa...Wanataka kuoa mtu aliye na bikra halafu muda huo huo wakimpata wanataka sex kabla ya ndoa.
Lazima wanaume wakubali kupoteza kimoja katika hayo mawili.
Wanataka vyote sasaWanataka kuoa mtu aliye na bikra halafu muda huo huo wakimpata wanataka sex kabla ya ndoa.
Lazima wanaume wakubali kupoteza kimoja katika hayo mawili.
Ndiyo maana nasema hawajui wanachokitaka.Wanataka vyote sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Nikikutana na msichana akaniambia bikra hua nakata mawasiliano nae kabisa...
Siwezi kua na mtu ambae hana experience mimi