Oyooo!!
Mwanamke uliyemtoa Bikra 90% wanausikivu, utiifu, upendo wa dhati yote.
Na ukitaka uone Raha ya mwanamke basi is mwanamke Bikra, utajiona mfalme, mwanaume KAMILi.
Lakini ni ngumu Kwa mwanamke gumegume kukutii, kukusikiliza, kukuheshimu, na kukupenda Kwa dhati yote.
Usione watu wanalalamika wanawake WA siku hizi sio watiifu, wajeuri na Malaya Malaya, chunguza 90% hawakuolewa na Bikra zao.
Kadiri mwanamke anavyolalwa na wanaume ndivyo anavyokuwa na roho ya kishenzi.
Huwezi fananisha mwanamke aliyelala na Mwanaume mmoja na Yule aliyelala na wanaume kuanzia watano mpaka kumi.
Hata mtazamo wao ni tofauti na namna wanavyokuchukulia,
OA mwanamke Bikra ufaidi Maisha.
Maneno ya magume gume yasikuchanganye ndivyo walivyo.
Wewe mwanamke amelala na wanaume kuanzia watatu sijui watano bado umuoe na umuite mke Kama sio kulogwa huko ni nini?
Mapovu ya magume gume siyataki leo!!