Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Hao ni vighairi (exceptions)...Ni vichache na vipo kila mahali...na huwezi kuvitumia kufikia mahitimisho ya jumla (general conclusion) kuhusu suala husika...Kuna waliooa masingle mother na wana enjoy maisha.
Naunga mkono hoja.Oyooo!!
Mwanamke uliyemtoa Bikra 90% wanausikivu, utiifu, upendo wa dhati yote.
Na ukitaka uone Raha ya mwanamke basi is mwanamke Bikra, utajiona mfalme, mwanaume KAMILi.
Kijana unaonekana una mke mmoja tu halafu huwajui wanawake.Oyooo!!
Mwanamke uliyemtoa Bikra 90% wanausikivu, utiifu, upendo wa dhati yote.
Na ukitaka uone Raha ya mwanamke basi is mwanamke Bikra, utajiona mfalme, mwanaume KAMILi.
Lakini ni ngumu Kwa mwanamke gumegume kukutii, kukusikiliza, kukuheshimu, na kukupenda Kwa dhati yote.
Usione watu wanalalamika wanawake WA siku hizi sio watiifu, wajeuri na Malaya Malaya, chunguza 90% hawakuolewa na Bikra zao.
Kadiri mwanamke anavyolalwa na wanaume ndivyo anavyokuwa na roho ya kishenzi.
Huwezi fananisha mwanamke aliyelala na Mwanaume mmoja na Yule aliyelala na wanaume kuanzia watano mpaka kumi.
Hata mtazamo wao ni tofauti na namna wanavyokuchukulia,
OA mwanamke Bikra ufaidi Maisha.
Maneno ya magume gume yasikuchanganye ndivyo walivyo.
Wewe mwanamke amelala na wanaume kuanzia watatu sijui watano bado umuoe na umuite mke Kama sio kulogwa huko ni nini?
Mapovu ya magume gume siyataki leo!!
ngoja npate cmu kubwa nije mana hiki smart 4g nakupa weak comment.Hela haina nguvu Kama unavyoipa promo hapa.
OA Bikra Mkuu utakuja kunishukuru
Huu ndo Ukweli mtupu japo watakuja wenye Kupinga wasioelewa mambo japo kuwa wao wanadhani Wanaelewa, Bikra ina maana kubwa sanaOyooo!!
Mwanamke uliyemtoa Bikra 90% wanausikivu, utiifu, upendo wa dhati yote.
Na ukitaka uone Raha ya mwanamke basi is mwanamke Bikra, utajiona mfalme, mwanaume KAMILi.
Lakini ni ngumu Kwa mwanamke gumegume kukutii, kukusikiliza, kukuheshimu, na kukupenda Kwa dhati yote.
Usione watu wanalalamika wanawake WA siku hizi sio watiifu, wajeuri na Malaya Malaya, chunguza 90% hawakuolewa na Bikra zao.
Kadiri mwanamke anavyolalwa na wanaume ndivyo anavyokuwa na roho ya kishenzi.
Huwezi fananisha mwanamke aliyelala na Mwanaume mmoja na Yule aliyelala na wanaume kuanzia watano mpaka kumi.
Hata mtazamo wao ni tofauti na namna wanavyokuchukulia,
OA mwanamke Bikra ufaidi Maisha.
Maneno ya magume gume yasikuchanganye ndivyo walivyo.
Wewe mwanamke amelala na wanaume kuanzia watatu sijui watano bado umuoe na umuite mke Kama sio kulogwa huko ni nini?
Mapovu ya magume gume siyataki leo!!
Umemuelewa alipo sema sema 90% au ulikua na ugomvi na somo la hesabu?Bikra haina uhusiano na uaminifu wa mwanamke,update bahati awe na sifa zote.
Wapo waliooa bikra na wanasumbuka na ndoa zao
Haiwezekani ulazimishe kuoa bikra halafu mwanaume uwe malaya
Mbona una hasira sana?Wee nae umeshaona mada za bikra zinakupa kiki ee?
Umeziona?Mbona una hasira sana?
Unawezaje kuona hasira?Umeziona?
Dawa yao ni kuwapiga pumbu kipitiliza,atatulizwa na rungu tu.Nakwambia hivi mwanamke mkorofi awe mtoto au mtu mzima mboo itamtuliza,simamia ukucha uone km atakusumbua.Sawa.
Ila mkuu kwa huo umri hawa madogo wanakuwa Bado wanamambo mengi wanataka kujaribu, kumuweka ndani mwanamke wa miaka 18 ni hatari San wengi wqo japo sio wote akili zao znakuwa Bado hazijakomaa.
Ni bora kuoa 26 bikira kidogo huyu kwa huo umri unaweza sema kakwepa mishale mingi sana na unaweza muamini ila sio hivo vya 18 of age
Inawezekana,Mimi wife nilimtoa bikra akiwa na Umri huo.Mapenzi wana yaanza wakiwa 14 - 15 wakiwa secondary, kweli miaka 18 uwe first love wake ?? .. ngumu kumeza hii
Komaaa naeHuku nimempata bikra akiwa na miaka32, hajui a wala b,nishaulini wakuuu
Unaziona ukioa mwanamke sio bikra alaf unaingia jamìi forum ghafla unakutana na mada ya jokajeusiUnawezaje kuona hasira?