Hata hivyo ushasema unavyo amini.Ndoa yoyote Kati ya hizo.
Mbona nimezitaja.
Hata kanisani au msikitini viongozi wa dini wanapofungisha ndoa huamini kuwa Mwanamke ni bikra. Uliza mchungaji au Sheikhe Yeyote [emoji3][emoji3]
Hakuna mchungaji au Sheikhe kweli anayefuata misingi ya Dini ambaye atafungisha ndoa ya watu wahuni
Nanukuu "Mwanamke Usikubali kuolewa kama huna bikra" Kwa maana unawasihi dada zetu wote wasiolewe? Maana siku hizi kumuoa mwanamke mwenye bikra ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Hata hivyo ushasema unavyo amini.
Vipi na wewe umeoa bikra?
Hapa lazima ikachomolewe
Usiuongelee uislamu mkuu inaonekana una knowledge ndogo sana upande huo kwa kifupi tu bikra ina tafsiri tofauti kwenye uislamu tofauti na unavyoelewa .Ndoa yoyote Kati ya hizo.
Mbona nimezitaja.
Hata kanisani au msikitini viongozi wa dini wanapofungisha ndoa huamini kuwa Mwanamke ni bikra. Uliza mchungaji au Sheikhe Yeyote 😀😀
Hakuna mchungaji au Sheikhe kweli anayefuata misingi ya Dini ambaye atafungisha ndoa ya watu wahuni
Mkuu mi nimeoa mwanamke bikra, nilimuoa akiwa na miaka 28 na alikuwa bikra. Ila hakuna ninachofaidi zaidi ya maudhi tu. Tumeshindwa kuelewana kabisa. So mi nasikiaga tu mkisema hivyo but sijawah kuona Hilo swala.Kwema Wakuu!!
Binti wa kuanzia miaka 18 kuendelea ni Mkubwa na anaweza kubeba majukumu Kama Mama, tofauti na Sisi wanaume ambao mpaka walau tufikishe miaka 25-27.
Ukibahatika maana ni bahati kukuta mwanamke Bikra mwenye umri wa miaka 18kuendelea Kwa Zama zetu.
Ukikutana na Mwanamke WA hivyo oa upesi.
Utakuja kunishukuru.
Hakuna Raha Kama ukutane na Mwanamke Bikra alafu uwe First love wake. Utakula maisha mpaka ukome.
Ninauzoefu na Jambo hili. Na wapo waliofuta ushauri wangu ni mashahidi. Wanakula Raha za maisha.
First love ndio mapenzi halisi, ndio upendo halisi
Kikawaida mwanamke Hapendi mara mbili.
Kikawaida mwanamke hapelekeshwi mara mbili.
Mwanamke akishatendwa na Mpenzi wake wa Kwanza hawi tena Kama alivyokuwa, upendo wake unashuka Kwa zaidi ya 50%.
Lakini ukiwa WA Kwanza atakupenda Kwa 100%.
Watu wengi wanasema wanawake ni wabinafsi na pesa Yao hailiwi, ni kweli Kama wewe sio First lover wa uliyemuoa lazima awe mgumu kwenye kukupenda Kwa moyo wake wote.
Najua kuna watu watabisha, lakini huo ndio ukweli. Hata wanawake wenyewe wanalijua hili.
Mwanamke anaumizwa mara moja tuu kwenye mapenzi, tena anaumizwa na Mpenzi wa Kwanza. Maumivu ya Mpenzi wa kwanza ni OG Kwa Asilimia 100% lakini wewe mwenzangu na miye sijui wakumi huko umuacha ataumia kidogo tuu.
OA mwanamke Bikra utakuja kunishukuru
Bro umri sio ishu sana. Inategemea na malezi aliyolelewa. Wengine kwenye umri huo WA 18 anajielewa sana na yupo tayari kuwa mama na mjenzi WA nyumba yake. Wapo wengine mpaka miaka 26+ bado ni chenga tu, ukisema A ni mgumu/mbinde kuelewa kinachofuata ni B.Sawa.
Ila mkuu kwa huo umri hawa madogo wanakuwa Bado wanamambo mengi wanataka kujaribu, kumuweka ndani mwanamke wa miaka 18 ni hatari San wengi wqo japo sio wote akili zao znakuwa Bado hazijakomaa.
Ni bora kuoa 26 bikira kidogo huyu kwa huo umri unaweza sema kakwepa mishale mingi sana na unaweza muamini ila sio hivo vya 18 of age
Bikra haihusiani na upendo.. Nimekuelewa sana mkuu.Anaweza kuwa bikra lakini hafurahishi moyo wako!
Mimi nilishabikiri mwanamke na tuli enjoy mapenzi for so long, yaani tulikuwa tunatombana kwa hisia sana lakini hakuwa na sifa ninazotaka, alikuwa kwa ajili ya matumizi binafsi, ningemuoa angenisumbua sana hasa jinsi ninavyomfahamu na nyumba anayotoka.
Nikaoa mwingine ambaye haluwa bikra, wajanja waliwahi kumtoboa mapema ndo mama watoto wangu.
Huyo niliyemtoa bikra naye kaolewa lakini anampiga sana mumewe mlevi.
Mkuu mi nimeoa mwanamke bikra, nilimuoa akiwa na miaka 28 na alikuwa bikra. Ila hakuna ninachofaidi zaidi ya maudhi tu. Tumeshindwa kuelewana kabisa. So mi nasikiaga tu mkisema hivyo but sijawah kuona Hilo swala.
Hongera mkuu kwa kuweka Nadhiri hiyo. Haifai kula mke wa mtu ni mkosi sanaMiaka kadhaa iliyopita kuna demu niliwahi kutembea nae, baadae tulikuja kupotezana kama miaka miwili, kumbe ndani ya hiyo miaka miwili demu aliolewa.
Siku zote hizo namba yangu alikua bado anayo kichwani kwake, siku moja alinipigia simu ndo akanieleza kuwa ameolewa na ana mtoto mmoja. Nilimpa hongera tukapiga story mbili tatu tukaagana, basi ikawa kila mara ananipigia simu ananisalimia na kuna wakati ananipiga vizinga nami bila hiyana namtumia fresh tu.
Sasa kuna siku aliniomba pesa nikagoma kumpa, nikamwambia muombe mumeo, haiwezekani raha umpe yeye halafu pesa nikupe mimi. Dah yale maneno yalimuingia sana, bila ajizi demu akanijibu hata wewe ukitaka nitakupa wewe sema tu lini unataka nikuletee. Nilichoka sana, nikasema kama ndoa zenyewe ndo hizi ni bora vijana tusioe, yule demu mpaka leo namkwepa. Sitaki kabisa mchezo wa kula wake za watu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ahsante mkuu, najua maumivu ya kumegewa hivyo sitaki kumuumiza mwenzanguHongera mkuu kwa kuweka Nadhiri hiyo. Haifai kula mke wa mtu ni mkosi sana
Ukabaki na Wenger tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miaka kadhaa iliyopita kuna demu niliwahi kutembea nae, baadae tulikuja kupotezana kama miaka miwili, kumbe ndani ya hiyo miaka miwili demu aliolewa.
Siku zote hizo namba yangu alikua bado anayo kichwani kwake, siku moja alinipigia simu ndo akanieleza kuwa ameolewa na ana mtoto mmoja. Nilimpa hongera tukapiga story mbili tatu tukaagana, basi ikawa kila mara ananipigia simu ananisalimia na kuna wakati ananipiga vizinga nami bila hiyana namtumia fresh tu.
Sasa kuna siku aliniomba pesa nikagoma kumpa, nikamwambia muombe mumeo, haiwezekani raha umpe yeye halafu pesa nikupe mimi. Dah yale maneno yalimuingia sana, bila ajizi demu akanijibu hata wewe ukitaka nitakupa wewe sema tu lini unataka nikuletee. Nilichoka sana, nikasema kama ndoa zenyewe ndo hizi ni bora vijana tusioe, yule demu mpaka leo namkwepa. Sitaki kabisa mchezo wa kula wake za watu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Pole kwa wasiwasi, lakini huenda huyo huyo tangu uwe naye hajawahi kukucheat hata maramoja anajiheshimu! Lakini Kwanini ujute lakini ulilazimishwa? Shukuru kwa yote.Huu uzi una ukweli kabsa..ila sasa kuuishi ni kazi saanaa mana tuliowengi tushajipiga kitanzi kwa wanawake ambao hatukuwatoa usichana wao...daaah..!! Nasema hivi tunaishi na wake za watu..na wake zetu wanaishi na wake zetu...ts a crazy world..sjui tufanyajee