National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mwanamke Bikra hadi kwenye ndoa ana heshima yake, ingawa haiondoi heshima kwa ambae utakuta tayari kazaa au tayari kapigwa sana miti. Kuna kitu flani hivi kwa Bikra hata muoaji unajisikia..Attention Wanawake wetu wa JF!!.
Najua tunakulana huko nje ,Ndani n.k!!.
Ila chondechonde, msiwaponde Wanawake wenzenu ambao bado Wana usichana wao !!.
Kuna wakati tunabidi tuwe watu wa KUPONGEZA .
Ila Kuolewa, Suala la Bikra au Kutokuja Bikra halikupi guarantee wewe Mwanaume ya kutochapiwa
Bikra iheshimiwe, Bikra ni heshima. Mwanamke anaweza jitunza na kujisitiri hadi ndoa ana hadhi yake flani, tofauti na waliopigwa miti japo nao wana heshima yaoSubiria wala makombo waje wakushukie huko, japo hiki kitu ni ukweli kabisa mkuu pia kuoa bikra unapata baraka kutoka kwa mungu, pia uhaminifu unakuwa mkubwa ata kwenye ndoa🙏🙏🙏
Mpakeni huyo hanisi humu wanaume hamna haya walahi wote tu yaani mnaona humu malaya niwanawake tu je nyie mnaoshauri watu wasex na nyie halafu baadaye unampa mimba halafu unamwambia toa hiyo mimba tuwaeleweje??Na ukioa ukiwa umeshafumua bikira za watoto wa wezako tuitaje vile! Kwako mtoa maada
😒😒😒 Balance lazima iwepo, kutoka kwa bikra za wadada ni mapenzi yao ya kwanza kwa walio waamini na kuaminiana upepo ukapita wakaachana ( asilimia kubwa wanawake wengi walitegemea wawe na walio watoa bikra) ila ndio ivyo. Na ambao wamepata bahati neema ya kujitunza hadi wanaolewa nao ni Mungu tu, kawasaidia. Mwisho wa siku wote mnathamani sawa alie na bikra na sie na bikra, sema mwenye bikra kuna bonus anapata katika jicho la jamii ila halifanyi wasio bikra kuwa down, wapo ambao sio bikra wamekuwa bora kuliko walio olewa bikra na kuna walio olewa bikra badae wakawa vimeo. Maisha ni nidhamu tuMpakeni huyo hanisi humu wanaume hamna haya walahi wote tu yaani mnaona humu malaya niwanawake tu je nyie mnaoshauri watu wasex na nyie halafu baadaye unampa mimba halafu unamwambia toa hiyo mimba tuwaeleweje??
Sawa mkuuMkuu mimi siyo shoga mimi ni Shababi!
Washenzi hao utafikiri walijiumba Kumbe nao ni zao la shahawaMpakeni huyo hanisi humu wanaume hamna haya walahi wote tu yaani mnaona humu malaya niwanawake tu je nyie mnaoshauri watu wasex na nyie halafu baadaye unampa mimba halafu unamwambia toa hiyo mimba tuwaeleweje??
Baraka gani upate wakati ulishazaliwa na laana mkuuSubiria wala makombo waje wakushukie huko, japo hiki kitu ni ukweli kabisa mkuu pia kuoa bikra unapata baraka kutoka kwa mungu, pia uhaminifu unakuwa mkubwa ata kwenye ndoa🙏🙏🙏
Dah kumbe tunawaumiza sana wanawake. Mtusamehe tutajirekebisha.Kwan unapoanza unalalwa na kibwengo au mwanaume.....na ukiolewa unabaki nayo au inatolewa? Kuliwa ni kulekule ....hakuna mtu anaempa penz mwanaume akijua huyu ni mpitaji....
Utakula matusi toka kwa members wa breki pumbuz mpaka ushangae🤣🤣🤣🤣Nsikuchoshe wala usinchoshe, tusichoshane!.
Huwa nikiwa nimekaa nimetulia,mara nyingi napenda kuperuzi na kudadisi huko mitandaoni kuangalia walimwengu wana yapi mapya kwa siku hiyo!.
Sasa katika pekua pekua katika mtandao fulani pendwa wa kijamii ambao ni maarufu sana hapa nchi kwetu Tanzania, nimekutana na habari moja ya binti mmoja mzuri sana na hakika ni mzuri ambaye ni sosholaiti akimshukuru Mungu na kuwapa wasichana ushauri na hamasa kuwa kama yeye kwasababu inawezekana.
Sasa huyo binti anasema amejitunza angali akiwa binti anayejitambua mpaka hivi sasa akiwa na miaka 30 ajamjua mwanaume yeyote!, kwa kifupi anasema yeye ni Bikra kabisa tena iliyosafi!.
Niliendelea kumsikiliza kwa makini na kiukweli alikuwa anajivunia sana kuwa Bikra kwa umri alionao kwasababu anasema ni marafiki zake wengi tu wenye umri kama wake wameshaharibiwa kwa tamaa za ngono!.
Sasa baada ya kuitazama ile video au clip ilibidi nishuke chini kutazama maelfu ya comments kutoka kwa wadau!, kati ya comments nyingi nilizoona, asilimia 90% zilikuwa za wanawake wakimponda sana huyu mwanamke mwenzao aliyeamua kujitunza, Asilimia 10% zilikuwa za wanaume wakimtupia dhihaka na maneno ya dharau!
Kwenye asilimia hizo 90% za wanawake, zimo comments kama asilimia 2% wakimsifu na kummwagia sifa kedekede huku wengine wakijilaumu kwa kujihusisha na mahusiano angali wakiwa wadogo.
Sasa kama imefikia wanawake kumshangaa mwanamke kufika miaka 30 akiwa bikra tambua kabisa mwanaume ukioa mwanamke asiyekuwa na bikra ni kwamba huyo alikuwa si wako bali alikuwa na wakwake ila kwasababu ya maisha ameamua kubadili gia angani na kujifanya wako kumbe niwa dunia.
Ni kama vile leo unakuta mtu ni mwalimu kwasababu tu asife njaa ila lengo lake halikuwa yeye kuwa mwalimu,ila kama kazi hamna na amefeli atafanya nini?
Wanawake leo hawaoni tena kuwa bikra ni kitu cha kujivunia kwasababu wanaanza kujihusisha na mahusiano wakiwa wadogo, hivyo akitokea binti wa umri huo akisema ni bikra watamshambulia na kumsimanga kwa maneno makali mpaka atajuta,badala ya kumpongeza wao watamponda ili kuendelea kuutetea "Uhuni" wao wa hapo kabla.
Mwanamke ambaye amejitunza hadi kuingia kwenye ndoa huwa ni fahari kwa mume wake, hebu fikiria umenunua gari jipya toka kiwandani huko Japan likiwa kwenye makaratasi na likinukia upya, huwa ni furaha kiasi gani?
Mwanamke aliyejitunza huwa ni anapenda na kuheshimika si kwa wadamu tu hadi mbinguni kwa Mungu.
Leo unaoa mwanamke ambaye amekwishatumika hadi mkiwa kwenye ndoa huwezi kumtamani kwasababu hana sababu zinazofanya akuvutie.
Kila siku ukisikiliza hoja za wanawake wanasema eti wanaume wameumbiwa tamaa!, Kweli?, hakuna mwanaume yeyote aliyeumbiwa tamaa, Kila mwanaume anapenda kuwa na mwanamke ambaye hajatumika, kwa bahati mbaya sana wanaume wanaingia kwenye ndoa ilimradi tu hakuna namna kwasababu karibia wanawake wote wanaopaswa kuolewa wamekwishatumika.
Thamani ya mwanamke si matter-call makubwa au sura nzuri, thamani ya mwanamke ni uanamke wake ikiwemo bikira, mwanamke anakuwa na thamani hasahasa akiitunza bikira kwa ajili ya mume wake mtarajiwa!.
Wanawake ndiyo chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika kwasababu wengi wameshatumika, analala na mwanaume wake anaona hamridhishi kama hapo awali kabla hajaolewa, hivyo kuanza kuhangaika tena duniani kutafuta wa size yake!.
WANAWAKE JITUNZENI KWA AJILI YA HESHIMA YA WAME ZENU, UMEKWISHA TUMIKA HALAFU UNAENDA BADO KUVAA SHERA ILI IWEJE?, ACHENI SHERA ZIWE KWA WANAWAKE MABIKIRA TU, NYIE MLIOKWISHA TUMIKA VAENI MANGUO MEKUNDU ILI KILA MTU AJUE MLISHATUMIKA.
Nawasilisha.
Saivi tutaanza kuwatukania waliowaleta duniani maana nao pako wazi.Too much sasa...kujipa utakatifu kama mmejiumba Kumbe mmezaliwa na wanawake haohao....mbona baba zenu humu wanabusara na wanaheshimu wanawake coz bila wao msingetokea.....yaan Kuna muda mnaongelea vibaya wanawake Mpaka najiuliza Hawa watu veep,au mama zao walijaribu kutoa Kwa vyuma vikagoma ndo zikazaliwa nyumbu hizi zilizojaa utaahira.Kama wewe ni mtakatifu tuliza kinyeo siyo unawashwa Kila Siku kuhusu wanawake as if tuna vikunio afu tumekataa kuwapiga miti.Hapana,hapana jaman..khakhaaDah kumbe tunawaumiza sana wanawake. Mtusamehe tutajirekebisha.
Kikubwa mnakojoa.....ndo maana mmekosa nguvu za kiume na mmeamua kuwa wanawake mnaishia kuliwa na wanaume marijali...mna laana ya mdomo....kilasiku kuwasema mama zenu utafikiri hawajawazaa.kuweni na utuUtakula matusi toka kwa members wa breki pumbuz mpaka ushangae🤣🤣🤣🤣
Hakika ngoja tuongezeke mkuuSiyo kweli, ila ngoja waje...
Unataka uniongezee laana kutoka kwako kwa kukuoa wewe usiyekuwa na bikra😂😂😂Baraka gani upate wakati ulishazaliwa na laana mkuu
Jirani unahasira sana...Hakika ngoja tuongezeke mkuu