Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

We jamaa bhana wadanganye hao hao waliokufahamu juzi, wewe mwaka 2019 kipindi uko active tulikuwa tunabishana sana kwenye hii mijadala inayohusu mabikira kuna siku ukasema kuna binti alikuwa na miaka 19 kwa wakati huo ulikuwa unatarajia kumuoa na ulimkuta bikira, leo unasema una Ndoa ya miaka 10
 
[emoji106]
 
Mlio oa wanawake waliovunjwa bikra mnaroho ngumu kwani hua wanapitia harakati nyingi sana afu anapigwa mtungo, analiwa tigo, anagongwa na madingi, anagongwa na wahuni afu mwisho unajitokeza wewe kijana mwema mwenye nia njema ndio unamuoa kwa heshima, alafu bado anakuja kukusumbua kwenye ndoa . Ni bora kuoa binti uliyemtoa bikra mwenyewe ndani ya ndoa utaishi naye vyema kuliko kuoa kahaba aliyeanza kuliwa akiwa shule ya msingi au sekondari
 
Sasa hao wenye purely and original virgin tunawapata wapi officer!
Wapo kaka jamaa yangu kaoa juzi binti safi kabisa kazindua mwenyewe.. turudi kwenye utaratibu wa kuangalia familia na malezi mema bikra hauwezi kukutana nayo kama haujaweka nia hiyo wenzetu Visiwani wanaoa bikra tu sababu ya malezi
 
 
Wapo kaka jamaa yangu kaoa juzi binti safi kabisa kazindua mwenyewe.. turudi kwenye utaratibu wa kuangalia familia na malezi mema bikra hauwezi kukutana nayo kama haujaweka nia hiyo wenzetu Visiwani wanaoa bikra tu sababu ya malezi
Wapi wale nyuma sindio wamechacha kabisa kulinda hiyo virgin hili lipo hata uturuki daah! Mademu wameoza nyuma aseee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…