Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Leta code nikakifunge dls tu wachana na ndoa adriz Mufti kuku The Infinity
 
Ukibahatika bikra ina raha yake sana kwenye ndoa binafsi mke wangu nilimpata akiwa nayo mwaka wa saba nane (2015)kwenye ndoa watoto watatu kiukweli hawa watu neno kuchepuka halipo pia wanapenda sana sababu kuonjwa ni kwa mmoja tu
Kwa dunia ya sasa mwanaume ni ngumu kusimama mke wangu hatoki nje ya ndoa lakini
Ukimpata na bikra imani unayo mwaka wa nane huu nina kauzoefu tayari na nimepita vichaka baadhi wale wazoefu nilichokikuta huko duuuh


Bikra ni muhimu ila ukiikosa basi mke awe na mungu karibu kupunguza tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…