Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hahha jamani! Yawezekana ninazo au pia sina "zote" sioni kama inatakiwa kuwa concern yako since utaoa mke mmoja tu na hata ukioa wawili na kuendelea mimi siwezi kuwa mmoja wao, Je umegundua mimi kuwa nayo au kutokuwa nayo si business yako?

Tuje kwenye point ya msingia ambayo umeiita "kutetea kitu kibaya" tafadhali unaweza kuniambia ni kivipi utetezi wangu umeonesha ni kuwa natetea kitu kibaya? Utusaidie kufahamu pia ni kivipi imekuwa kitu kibaya ukituonesha uzuri wake na umuhimu wake katika maisha yetu.


Binti Kiziwi nakupenda
 
Anamzungumzia Majizo wakti yeye hana hata mwanaume wa kumpa vocha. Daah! Dunia hii kweli mapito

Bila shaka ni mimi si ndio mkuu? Utatakiwa unitake radhi kwasababu umenilenga moja kwa moja kwasababu mimi ndiye niliyemuongelea mr maji, Na nafahamu hasira hii yote ni kwakua niliongelea kapuku na lofa, lakini mkuu nikusahihishe niliongea kwa "ujumla wake" kwa maana nyingine unaweza kuwa ni wewe au si wewe kusiwe na hard feelings unless ni "wewe".

Kingine hivi bado tunaishi kwenye kupeana vocha? Mwanamke mwenye akili timamu bado atakimbizana na wanaume watoa vocha? Acha masihara ndugu yangu... Anyways huu si mjadala mjadala mkuu ni bikra.
 
Samahani kaka mungu [emoji3][emoji3] eti joka alisema ulinisamehe uzinzi af ukanipa garasha (asiye bikira).
Sasa vp yeye joka na uzinzi alioutaja hapo juu mbona umempa bikiraa... [emoji3][emoji3][emoji3]


Mungu hapangiwi, ukifika omba chako usinichonganishe
 
Bila shaka ni mimi si ndio mkuu? Utatakiwa unitake radhi kwasababu umenilenga moja kwa moja kwasababu mimi ndiye niliyemuongelea mr maji, Na nafahamu hasira hii yote ni kwakua niliongelea kapuku na lofa, lakini mkuu nikusahihishe niliongea kwa "ujumla wake" kwa maana nyingine unaweza kuwa ni wewe au si wewe kusiwe na hard feelings unless ni "wewe".

Kingine hivi bado tunaishi kwenye kupeana vocha? Mwanamke mwenye akili timamu bado atakimbizana na wanaume watoa vocha? Acha masihara ndugu yangu... Anyways huu si mjadala mjadala mkuu ni bikra.

Nami nilijumuisha wanawake wote wanaojitapa na wanaume wenye mafweza ilhali hata wa kuwapa vocha hawana.

Tuje kwa mada; Kama unabikra njoo asubuhi natangaza ndoa humu humu JF, Mfungishaji atakuwa Mshana Jr
 
Hata kama ametulia anasubiri ndoa haina sababu yoyote yakulazimisha mwingine atulie kama yeye asubiri ndoa, wengine starehe yao kufanya mapenzi sasa kama hajafikia maamuzi yakuoa kuolewa haimfanyi asifanye mapenzi, Hii imekaa kiimani zaidi sasa kama mtu hana imani Je? Si sahihi kulazimisha mambo yawe kwa kadri ya mtazamo wa mmoja.
Yani wewe starehe yako ni kufanya mapenzi na unasubiri ndoa.. Mungu niepushe nsijeoa sex addict
 
Yaan

Wanaojielewa na wenye heshima zao hawana muda na mambo ya kipuuzi kama haya...

Kwasababu wana mambo mengi yakufikiria. Wana mengi yakufanya pia, wana mengi yakufanya pamoja na mwanamke katika union yao , na wamegundua bikra sio kimojawapo, ikiwepo isipokuwepo haiathiri chochote.
 
Yani wewe starehe yako ni kufanya mapenzi na unasubiri ndoa.. Mungu niepushe nsijeoa sex addict

Huwezi kuoa sex addict since sio chaguo lako at the first place, ondoa shaka mkuu kwasababu utaoa mke mmoja tu na sio wanawake wote, wengine ni wake za wengine, ondoa shaka.
 
Bikira ina umuhimu wake...kwanza inakupa confidence.!!inakupa kujiamini...kuwa wew ndo wa kwanza...!!huna presha na mpuuzi aitwaye X

ila ukichukua nungaembe unaishi kwa presha...hujiamini....!!maana kama sio bikira lazma utagongewa tu..!!

Najua waliotolewa bikira na hawana ndoa itawauma...ila ndo ukweli

Hao waliopo kwenye ndoa ndo mashahidi.....si mke c mume...!!wanaishi kwa majuto
Unauhakika gani mkuu...??
Umewahi kutolewa bikira af ukaolewa then ukajutaaa...??

Mimi sikumkuta mama Brian akiwa na bikira ila sijutii... Na ninamshukuru Mungu
 
Nami nilijumuisha wanawake wote wanaojitapa na wanaume wenye mafweza ilhali hata wa kuwapa vocha hawana.

Tuje kwa mada; Kama unabikra njoo asubuhi natangaza ndoa humu humu JF, Mfungishaji atakuwa Mshana Jr

Vocha? Una safari ndefu ya kwenda mkuu kaza, kwa hakika wanaokufaa ni wa aina fulani hivi maana ndio wanaotaka vocha katika ulimwengu huu na mtoa vocha ndio wewe.

Kuhusu ndoa kila la heri, nimeolewa miaka kadhaa iliyopita unless umenifahamu humu leo.
 
Unasema sio kweli kabisa alafu unasema ni moja ya pointi. Embu tulia mkuu uandike vizuri huenda unachakusema

Mwanafunzi kutokuelewa ni kosa la mwalimu? Mimi namaanisha kukosa bikira haimaanishi sifa za kuwa mke ndo zimeisha, na pia si akiwa na bikira ni tiketi ya kuwa na haki zote za kuitwa mke mwema, au mkuu huelewi maana ya moja wapo?

Na pia unielewe vizuri mm sipingani na unachokipinga chote ila ninachokipinga ni kusema kama mwanaume hajaoa bikira basi hana akili yaani bikira ya mke ni kipimo cha uwerevu wa mwanaume hapo na kusema mwanamke kuwa na bikira anahaki na ndoa siyo kweli pia ila kuhusu bikira sikupingi kuwa ni muhimu na kweli kila mwanaume anatamani aoe bikira lakin haitoshi pekee yake na kama isivyotosha pekee yake basi pia haitoshi kuwa sababu ya mwanamke kukosa ndoa kama anasifa zingine ambazo mwanaume anazihitaji yaani ni sawa na mwanafunzi mwenye 90 na mwenye 85 wote wamefaulu ila tukihitaji the best basi ni mwenye 90

mwanamke mwenye bikira+sifa zingine atamzidi asiyekuwa nayo lakin mwanamke mwenye bikira afu sifa zingine hana atazidiwa na mwenye sifa zingine zote ila bikira hana, ambapo kwa maelezo yako upo tofauti,ww umemaanisha kuwa na bikira basi ni sababu ya mia mia kuwa anafaa na asipokuwa nayo anaolewa na mwanaume mjinga
 
Huwezi kuoa sex addict since sio chaguo lako at the first place, ondoa shaka mkuu kwasababu utaoa mke mmoja tu na sio wanawake wote, wengine ni wake za wengine, ondoa shaka.
I dont just care about me, concern yangu kubwa iko katika jamii, the same society ambayo nitalea na kukuza familia na ukoo wangu.

Ujumbe unaojaribu kuutoa sio mzuri ata kidogo kwa jamii.. Ifike point tuwe real tutenge mabaya kwa mabaya yake na mazuri kwa uzuri wake.. unaposema kila mtu afikirie kivyake hapo sasa ndio tunaanza kupoteza maadili na uthamani wa maisha katika jamii.

Nikweli kwamba some consious zao zimeshakuwa dameged na ubaya lakini hilo lisitupe tiketi ya kutetea ubaya na kuona uzuri hauna maana
 
Mkuu mada yako iko sahihi kabisa, sema kinachosumbua watu humu ni uelewa wa kina katika kile ulichokusudia kukieleza.. binafsi nimekuelewa sana..
Bikra inatupa ishara nyingi katika njanja tofauti tofauti..
1~ Katika dini bikra ni ishara ya hofu ya Mungu, kwa maana kwamba kwa imani za kidini ni dhambi kufanya ngono kabla ya ndoa, so tunategemea mtu mwenye hofu ya Mungu kuwa bikra..

2~Kimaadili bikra ni ishara ya kijiheshim, kwa maana kwamba jamii inaamini mtu anayejiheshim hawezi fanya ngono na mtu baki asiye muheshim.

3~Kiafya bikra ni ishara ya kujipenda na ni ishara ya usafi, ngono inamaana pale tu itakapofanyika ndani ya ndoa lakini nje ya ndoa ngono ni uchafu wa fikra na mwili pia..

4~Kisaikologia bikra ni ishara ya uaminifu na kujitambua,, aliyetoa bikra kabla ya ndoa anatafsiliwa kama hana huaminifu na hajitambui thamani yake.

Hizi sifa anazopewa mtu mwenye bikra ndizo hutumika kama sifa za mke bora. Ukipata mke mzuri kimaumbile na ni bikra huyo lazima awe wife material, nafikiri hichi ndicho anachokimaanisha mtoa mada... Kama huna bikra na umeolewa basi ni neema tu na ni mapenzi ya Mungu...maana Mungu anawapenda wote mabikra na wasio mabikra ila anachukizwa na uzinzi...
Je uzinzi ni kwa mwanamke tu?
 
Back
Top Bottom