Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Drs la 5 unachunguza utepe kwa kutumia nini? Polisi tulindieni watoto jamani. Kuna wasaka bikra weshawehuka.
πŸ˜ƒ Ukwel usemwe ingawa mchungu,,Mungu atulindie watoto wetu coz hata polisi mnawaonea kwa kuwapa kaz nzto sana
 
Reactions: wax
Bikra ni kama gari zero kilometer zinamilikiwa na serikali tu yaani ni za wachache wengine endeleeni kuchukua gari used mileage 200000km unapewa na namba za mafundi 20 kupanga ni kuchagua lkn hakuna kitu kinakera kama ujue mkeo anawasiliana na ex wake gari ianze kusumbulia kwako sio ije tayari tair zimeisha mara injini inagongaπŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Naoa kwa ajili ya watoto. Si kwa ajili yangu.
Siwezi kuacha kumuoa mwanamke smart asiye na bikra ili nioe mtu asiye na akili kisa ana bikra.
hakika umesema,,ila subiri waje wazee wa bikira wakupinge juu ya hiliπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Drs la 5 unachunguza utepe kwa kutumia nini? Polisi tulindieni watoto jamani. Kuna wasaka bikra weshawehuka.
Hiyo sio kazi ya polis
Mzazi leo mwanao acha uvivu wako
Unataka polis walee mwanao 10
 
🀣Bora wazoefu kuliko bikra Asee Wana tabia ya kutaka kujaribu minemba tofauti tofauti
 
Haya ili mtuoe wakaka wa jf mnataka bikira au tako?,,mnatuchanganya mjue,,ili nkienda uturuki nijue nanunua bikira au tako,vyote vipo sokoni sasa ni simple tu,hata sura mkitaka tunanunua.
vip kuhusu akili?
 
Hahaha huu uzi ambao hatujabahatika bikra tunaupita kama kituo cha police
 
Katika mpango wa Mungu wa uumbaji, anataka wanadamu wote tupate vitu original. Vitu visafi. Ukiiangalia vyakula vyote vya asili yaani mmea, matunda vimefunikwa, yaani vina SEAL. Hukuti chakula cha asili kiko wazi. Mfano ni mihogo, ndizi, viazi, miwa, nk vyote vimefunikwa au SEAL kuonesha ni original
Watoto wanaozaliwa na wanawake BIKRA wanakuwa na mafanikio makubwa sana.

Hata Mungu ilimlazimu amlete Yesu kwa mwanamke BIKRA
Wote ni mashahidi. Yesu alifanikiwa sana kwenye huduma zake zote. Hata mdogo wake Yesu kwa jina la Yakobo, huyu bwana alifanya makubwa Sana ktk Imani. Aliandika kitabu kinachoitwa Yakobo kwenye Bible.

Hata taifa la Israel limetokana na wasichana bikra Rachael na Leah. Hawa wasichana walizaa watoto 12 hodari. Na ndiyo chimbuko la taifa la Israel.
Miongoni mwetu wapo wameolewa wakiwa bikra na wamefanikiwa sana. Hata watoto wao wana mafanikio makubwa.

Zinaa kabra ya ndoa inaleta madhara makubwa kwenye maisha yako na kizazi chako. Biblical inasema mtu aziniye na Mwanamke, hana akili kabisa, kufanya jambo la kuangamiza nafsi yake.

Uzinzi unaleta laana za ajabu sana. Wazazi muwalinde mabinti zenu waolewe wikiwa na bikra
 
Napigia mstari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…