Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Acha kuleta mifano isiyoendana na swali langu.

Jibu swali, acha kuzunguka.

Hapa tunaongelea maisha tunayoishi sisi (watu ).

Mtu na simu wapi na wapi.
Kwamba maneno yoote nilioandika umeona neno "simu" tu? Au ndio unaumia kisa hukujitunza kabla ya kuolewa
 
Wewe nahisi una Dunia yako kwenye kichwa chako.

Endelea na stori zako za bikira.
 
Moja ya sababu inayofanya baadhi ya wanaume kuoa wanawake wasiokua na bikra,ni uzito wa kutongoza.
Inasikitisha sana kama kweli kuna wanaume wanaamua kuoa mwanamke ambaye kapitia mahusiano yanayohusisha kufanya tendo la ndoa,na wanaume wengine.
 
Moja ya sababu inayofanya baadhi ya wanaume kuoa wanawake wasiokua na bikra,ni uzito wa kutongoza.
Inasikitisha sana kama kweli kuna wanaume wanaamua kuoa mwanamke ambaye kapitia mahusiano yanayohusisha kufanya tendo la ndoa,na wanaume wengine.
Wengi wao wanakasirika humu ni wale waliiooa mitumba
 
Tatizo hazina plate number latest...
 
Wewe ndio mjinga nimekupa faida za kuoa bikra kuliko mitumba na wewe nipe faida za kuoa machangudoa kuliko bikra
Wewe ndio mjinga nimekupa faida za kuoa bikra kuliko mitumba na wewe nipe faida za kuoa machangudoa kuliko bikra
Utaitaje mtu changudoa na wakati huwezi hata kuithibitisha hiyo bikira.

Narudia tena wewe ni mjinga.

Hizo faida ni umejiandikia kivyako.

Usitegemee kwamba itakuwa sawa kwa kila mtu.

Hapa duniani tunaishi kwenye sehemu tofauti zenye changamoto zake.
 
Wengi wao wanakasirika humu ni wale waliiooa mitumba
Wanakosea sana,hii ya kuendekeza kuoa wadada ambao wameshatolewa usichana wao,inawafanya baadhi ya wadada na jamii kutoona thamani ya kutofanya ngono kiholela.Inafedhehesha sana.Wanaume tukikataa kuwaoa waliokwishafanya mapenzi kabla ya ndoa,jamii itabadilika.
 
Mjinga ni wewe! Mbona swala look naeleweka NIPA FAIDA ZA KUOA MTUMBA KULIKO BIKRA
 
Naam nashukuru kuwa miongoni mwa wanaume wachache wanaojielewa kiufupi siwezi kuoa mwanamke alitumika na wanaume wengine na kuna wengine mpaka ma X wa mwanamke wanawajua na bado anaoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…