Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mapepo tena!Makubwa hivi unajua lengo langu nini
Ukiolewa na mwenye bikra .
1. Hupata raha hana nuksi labda yakuzaliwa na hana marohoo
2. Mnapata watoto wenye afya tele
3. Hadi akija mpata mchepuko mshafikia hatua yakulea
4. Hutokuwa napressure kama ataenda kumla mdadq kwanza kwa ile aibu so kwa muda mtaishi kwa amani atakuona wewe upo juu .
HASARA ZA KUWA NA MWANAUME ALIYETUMIKA
Mnapata watoto wasio na afya
Kila saa unawasiwasi kama umechukuliwa na mtu halafu anazungukia wanawake kama vile bwana afya au sensa . Hapiti mtu . Bado na yale maroho yawanawake wote nitabu hadi basi .
Kweli naogopa
Sasa mwenzangu, mbona unachanganya mambo mawili kwa pamoja?
Ulokole na naniliu wapi na wapi, naona hautaki raha wewe!
Mwanaume bikra kiuhalisia atakuwa bado ni mtoto huyo, akikua hauwezi mpata bikra, aheri wanawake waweza kuwepo.