La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,049
- 1,160
Basi msiwanyooshee wanawake vidole,kam hisia zao ziko juu sana,wanazipunguzia wapi?si kwa wanawake ama?fair playWanaume hisia ziko juu Sana.
Akitunza uanaume eti mpaka miaka 30 Hadi aoe sabuni zitaumia Sana pamoja na uume kupinda Kwa punyeto.
Angalia wale maboy wanaoenda advance miaka miwili Tu lakin wengi wao hujichua
Sent using Jamii Forums mobile app
Na vipi kuhusu wanawake ambao waliolewa wakiwa ni bikra halafu waume zao wakafariki, je na hawa hawafai kuolewa tena kwa sababu sio bikra?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo nasie mabinti tutajuaje kuwa huyu mwanaume sio mchakataji?? Au bikra ni kwa wanawake tu?Ndio alimkuta ndio maana akaniusia mambo haya. Kwetu unatengwa ukioa pagama
Huyo unachukua bila tabu yoyote.
Kwahiyo nasie mabinti tutajuaje kuwa huyu mwanaume sio mchakataji?? Au bikra ni kwa wanawake tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao single maza walizalishwa na nani? Si nyie suruali mnakimbia watoto wenu!Chief naangalia ghala langu la silaha nikuongezee Ila naona zakwako ninzito sana...
Mkuu mwaka mpya lipua ukanda wa GAZA (Single mother)
Hivi wanaume nao wana bikra?? Utawajuaje??Madhara gani bwana ww kutiwa atiwe mwingine wivu na roho zikuume ww?!
Kama unaamini kwenye mabikra
Na ww tunza yako usiende tumia miili ya wengine
Kwanini wanaumia wameshindwa kutunza seal?Mimi popote huwa nasemaga kuwa siwezi oa mwanamke bikra. Hata dada zangu wanaumiaga sana nikianzishaga mada za hivi.
Unazaa vitoto vinawaza ngono muda wote. Yaani kizazi cha zinaa.
Kwenu wapi mkuu?Unadhani kizazi chetu ni cha hovyo kirahisi hivyo.
Bila bikra kwetu unatengwa.
Bila bikra mtoto wa kike hatuchukui mahari. Tunatoa bure kwa vile yeye ni wabure.
Kwetu huwezi kuta upuuzi wa kijinga sijui singel mother, sijui mavi gani hayo. Kwetu hakuna vyoo vya Umma
Hebu share nami idea chache! Kwani feeling huwa inakuwaje? Nataka kujuaMwanamke hawezi kuijuia bikra how it feel zaidi yangu mimi ninayemwingia..
Niambie nisichokijua kuhusu bikra??