Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

[emoji23][emoji23] mwenye uzi kaingia mitini wamebaki wafuasi na wao wataka ligi sijui

Mwambie jamaaa apambane na ujinga wake ipo siku atakuta mama yake kachezea kipigo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Alidai anataka kumpa talaka nikamwambia hapana, tafuta namna nyingine ya kumrekebisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra na tabia za mtu havina uhusiano kabisa, asilimia karibu 99.99 ya wanawake huzaliwa wakiwa bikra na umri wa kupoteza ubikra wao unatofautiana na wanapoteza kwa sababu mbalimbali japo asilimia kubwa ni kupitia kuingiliwa na mwanaume. Mwanamke kuolewa bikra sio kigezo cha kudumu kwenye ndoa. Kuna maeneo kama nchi za uarabuni asilimia zaidi ya 98 ya wanawake hupoteza ubikra wao kupitia kwa waume zao wa ndoa, lakini bado ni nchi zenye viwango vya juu vya talaka.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kupewa talaka inategemea na sababu ya kupewa talaka.

Hizo nchi ambazo wanawake wengi wanaolewa bikra hawapewi talaka kwa sababu ya kosa la uzinzi. Fuatilia utakuja hapa kutoa mrejesho.
 
Mzee ww utajuaje mtu kachakatwa sana wakati humjui labda na ndio kwanza umemuona?!

Anza kubishana ss mwenye uzi mwenyewe haonekani
[emoji23]achana na zamani babuu jibu mama zetu waliolewa ma bikra?!


Mwanamke mwenye bikra ndio uoe. Ndio umpende. Huyo ni wako. Huyo ndiye mke wako.

Huyo mwenye bikra ukimpata. Msamehe hata kama ukimfumania.

Mwanamke mwenye bikra huyo ndio ubavu wako. Huyo ndiye mwenye heshima yako.

Hao wengine ni nguo ya mtumba. Ilishavaliwa na wengine. Inamakando kando ya wengine.

Mwanamke mwenye bikra hawezi kukufanyia hayo.

Bikra oooh! Bikra ndio wimbo wangu kwa vijana.
Tafuta bikra uoe.

Ukipata bikra usiiharibu kama huna mpango wa kuoa.

Haribu vilivyoharibiwa.

Fanya mapenzi kiholela na walioharibiwa. Kilichoharibiwa ni halali kuharibiwa.

Kipya ni halali kutunzwa na kuheshimiwa.

Haya tuyie shime. Himahima tukaharibu vilivyoharibiwa.

Tuvitunze vilivyojitunza.

Takataka hutupwa Dampo. Hufagiliwa. Twendeni tukafagie takataka.

Vijana nisikieni. Gari jipya hujifunzi nalo udereva. Magari machakavu ndio ya kujifunzia. Gari mpya ni mwanamke mwenye bikra. Kamwe usijifunzie mapenzi kwake. Usije ukamuumiza.

Mwanamke asiye na bikra huyo ni gari chakavu. Ni ruhusa kujifunzia udereva. Haya ukiligonga kwenye mti ni sawa kwa maana ni gari lililochakaa.

Vijana hima hima
 
[emoji23][emoji23] mwenye uzi kaingia mitini wamebaki wafuasi na wao wataka ligi sijui

Mwambie jamaaa apambane na ujinga wake ipo siku atakuta mama yake kachezea kipigo[emoji23]


Sijaingia mitini.

Watu wasio na bikra ambao bado hawajaolewa nawafananisha na nzi. Hivyo hakuna nitakaloongea likakuingia kichwani.

Nawaelewa watu kama nyie. Nyie sio ndio uwanja wetu wa mafunzo.

Kisiasa wanaita pango la wanyang'anyi.

Kama umepoteza bikra huwezi elewa a wala e hapa.

Utaishia kujifariji na uchafu wako.

Nilishakuambia choo cha Stend hakina mwenyeji.
 
Yaani hata mi natamani sana wanaume wote wangeutunza uanaume wao kwa ajili ya wake zao..ndoa zote zingekuwa za mabikira na zingekuwa tamu sana wallah
Wanaume hisia ziko juu Sana.

Akitunza uanaume eti mpaka miaka 30 Hadi aoe sabuni zitaumia Sana pamoja na uume kupinda Kwa punyeto.

Angalia wale maboy wanaoenda advance miaka miwili Tu lakin wengi wao hujichua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume hisia ziko juu Sana.

Akitunza uanaume eti mpaka miaka 30 Hadi aoe sabuni zitaumia Sana pamoja na uume kupinda Kwa punyeto.

Angalia wale maboy wanaoenda advance miaka miwili Tu lakin wengi wao hujichua

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wao wanashindwa kujitunza na hawataki punyeto halafu wanakuja kupanua midomo hapa kuhusu bikra..huoni Kama Ni mataahira?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaingia mitini.

Watu wasio na bikra ambao bado hawajaolewa nawafananisha na nzi. Hivyo hakuna nitakaloongea likakuingia kichwani.

Nawaelewa watu kama nyie. Nyie sio ndio uwanja wetu wa mafunzo.

Kisiasa wanaita pango la wanyang'anyi.

Kama umepoteza bikra huwezi elewa a wala e hapa.

Utaishia kujifariji na uchafu wako.

Nilishakuambia choo cha Stend hakina mwenyeji.
Hamuoni Kama mnawachafua hao walio na bikra?
Maana mtu anayemla nzi naye Ni nzi tu...mtoke huko kwenye nzi halafu mje kwa walio wasafi... that's not fair.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakuja wapya ss shida ndo hio mm nilimaliza baada ya mleta mada kukaa kimya


Nilikwambia ukijifunza kuandika uniite tuendeleze mjadala.

Wewe unazungumza kujifariji.

Lakini ukweli ni kuwa; Jinsi ukipewa makombo unavyojisikia ndivyo mwanaume atakayekuoa atakavyojisikia.

Yaani makombo hayaaminiki kabisa. Hujui aliyekula ni nani. Hujui kama alitemea matw au vipi. Hujui kama anamagonjwa au hana.

Yaani kama hujijui kuwa usipokuwa na bikra ni sawa na chakula kisichofunikwa. Mlaji anakula kwa wasiwasi.

Bikra ni kifuniko wa Papuchi yako.

Wewe unatoa kifuniko(bikra) alafu papuchi inabaki wazi. Kila mtu anakuja anapiga tuu.

Mwisho unampa mumeo makombo.

Unafikiri mumeo anajivunia mke mwenye tabia za mbwa.

Wanawaoa kwa vile hawana namna. Ila kwa sisi tunaojua hayo mambo. Kamwe hatuwezi kubali tuzalishe kizazi cha wahuni. Watoto wa waliozaliwa na mama mhuni.

Yaani mtoto wangu apite kwenye mlango uliopita mashine nyingi. Shimo lililomwagiwa mashahawa na wanaume wengine.

Sitathubutu kabisa.

Mwanangu hawezi kamwe kupita kwenye lango lenye uchafu.
 
Hamuoni Kama mnawachafua hao walio na bikra?
Maana mtu anayemla nzi naye Ni nzi tu...mtoke huko kwenye nzi halafu mje kwa walio wasafi... that's not fair.

Sent using Jamii Forums mobile app

Dunia haipo fair Mkuu.

Ninyi mliumbwa kwa ajili yetu. Hamuwezi kutupangia lolote likawa.

Japo unachosema ni kweli lakini. Kuhusu suala la mahusiano lipo hivyo;

Yupo Mke mwema ambaye anatoka kwa Mungu. Sifa moja wapo ya mke mwema ni kuwa na bikra.

Wapo wanawake ambao hao ni kwa ajili ya kustarehesha wanaume. Hao ndio wanaotoa bikra zao kwa tamaa zao.

Ukiona hukuolewa na bikra ujue wewe sio mke mwema. Bikra ni alama ya uaminifu na usafi. Ni heshima kwa mke na mume.


Siwezi kuwafanya wanawake wote waolewe na bikra kwa kuwa najua sio wote wanatoka kwa Bwana.

Bila bikra hiyo bidhaa inanunuliwa kwa hati punguzo.

Bila bikra inapunguza ubora wa mwanamke.

Yaani hata useme ulikuwa na mwanaume mmoja. Nani atakuamini. Hata ukiwa umetoa mimba nani atakuamini.

Ukiwa na bikra hata mtu akuite malaya unabaki unamcheka tuu. Wala hautaumia.

Lakini mwanamke yeyote asiye na bikra ukimuita malaya atakavyowaka wakati hiyo ndio ukweli.

Wanawake wanakosea pale wanapojilinganisha na wanaume.

Wasijue wao wapo kwaajili yetu.
 
Back
Top Bottom