stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Umewaza vyema sana! Ila bikra kwa wanaume labda ziko kwa watoto wachanga teh teh tehYaani hata mi natamani sana wanaume wote wangeutunza uanaume wao kwa ajili ya wake zao..ndoa zote zingekuwa za mabikira na zingekuwa tamu sana wallah
Kwanini alimwacha huyo bikra tena?Unanikumbusha shemeji yangu mdogo alioa bikra basi akatangazia kila mtu alichokuja mfanya huyo mwanamke familia mpk leo imebaki na kidonda. Shemeji yangu ali divorce huyo bikra kaamua kuoa mjane mwenye mtoto mmoja so far wako vizuri ni Mwaka wao wa 12 wa ndoa. Ilankwa bikra walikaa miaka mitano. Siku zote huwa nawaambia vijana wangu usisikie story za vijiweni na tabia za wanawakr huwa hazina formula. Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana anaweza danganyika na kitu kidogo sana mpk is hangar. Shida ya vijana wetu wamekaririshwa uongo mwingi sana.
Watoa bikra halafu Hawaoi! Mnasababisha mabinti za watu wanatukanwa bureNilibahati kupata mwanamke akiwa form 6 bikra tukapenda na nikaitoa (nikikumbuka nacheka sana) alinipenda sana nilimpenda alifikia hatua ya kugombana na mama ake sababu yangu baada ya miaka 3 mbele akiwa UDOM nilishindwa kuvumilia kumsubiri nikamsaliti akaambiwa na wananchi alivyorudi mpaka leo hajawahi kuongea na mimi wala ukaribu, NB stori haina uhusiano na mada nimeiweka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali yako wewe mwanaume ulijisemea ukweli wa moyo wako!Ni ukweli mtupu. Najua mada yako ni mkuki moyoni kwawatu wengi waliooa wasio bikra na walioolewa bila bikra. Thamani ya mwanamke asiyemjua mwanaume ni kubwa sana. Binafsi natamani ningeoa bikra maishani mwangu, na uhakika ni kuwa natamani wakati naoa mimi mwenyewe ningekua sijamjua mwanamke. Kushiriki tendo la ndoa kabla ya ndoa ni jambo ambalo huwa linaniumiza japo siwezi rekebisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea jambo jema mkuu!Dini unakataza Zinaa kwa jinsia zote, lakini nashangaaa wanaume wanaona ufahari kufanya Zinaa...na kuwaponda na kuwatukana wanawake wanaofanya Zinaa...Zinaa hairuhusiwi kwa jinsia zote, pia mwanaume anatakiwa Naye ajizuie kutofanya Zinaa... Hii sio kwa wanawake pekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana wanaume hata kwenye maandiko huruhusiwa kuoa mke wa mmoja.Basi msiwanyooshee wanawake vidole,kam hisia zao ziko juu sana,wanazipunguzia wapi?si kwa wanawake ama?fair play
Who is devil Sasa ? Mtoa Mada Ama walengwa ?Hell is empty all devils are here in world
Mkuu maisha ya sasa hasa kwa mjini kumpata mwanamke bikra ni kazi sana..hii tabia ya "shake before use" imeleta haya mambo kuwa magumu kama zamani
Pia usiamini sana kwamba ukikosa bikra ndio umekosa mke mwema au mahari yako umeitoa bure
Omba MUNGU akujaalie mke mwema siku zote HILI ndio la msingi sana.
Hapa jukwaani ukiuliza ni wanaume wangapi wametoa bikra utatupata
wachache sana.
Aliyelitumia si ni mwanaume huyo huyo! Unashangaza sanaUjumbe umefika kwa unaowahusu. Wewe kalia maswali hapo.
Yaani mwanaume azindue jumba lililotumika ambalo mpaka popo walikaa
Mkuu joka jeusi mda si mrefu utalioga povu sahivi wapo wanaandaa cha jioni jikoni ngoja waje
Sent using Jamii Forums mobile app