Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
From what I know kuhusu bk ni kujitunza(hujawahi make love), na ndyo maana nikakwambia kujitunza ni kwa watu wote tu ke & me, Usomi wa mtu huwa unaugunduaje? I'm not msomi btw, na hata ingelikua hivo, watu tunaendelea kujifunza daily and I hope hujamaster kila kitu kama ni msomi pia.Tangu lini mwanaume ana bikra? Wewe sema nami niwe mwaminifu nisifanye uzinifu lakini sio kusema nitunze bikra. Bikra ni alama alizonazo mwanamke ambaye hajawahi kufanya mapenzi. Nawe msomi hujui maana ya msingi ya bikra?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bikira itatoka wapi?
1 Mtoto sasa anavaa pimpers
2. Chekechea anacheza ready
3. Shule aruke kichurachura.
4. Kuruka kamba
5. Jkt aruke vikwazo
6. Acheze karate misamba mingi
7. Agombee daladala apite dirishan
Binti yangu sasa hv anajifunza karate yuko kata ya 4 hapo kuna bikira kweli bikira iko moyoni
Sent using Jamii Forums mobile app
We kama huna bikra sema.si ndio hapo awadanganye wasiopajua huko pia kuna kule gulioni katerero
Bikra ni hali ya kiroho na kimwili, sio hali ya kimwili pekee. Bikra sio kiungo ni hali ya kutokuwahi kujihusisha na tendo ngono.Bikira itatoka wapi?
1 Mtoto sasa anavaa pimpers
2. Chekechea anacheza ready
3. Shule aruke kichurachura.
4. Kuruka kamba
5. Jkt aruke vikwazo
6. Acheze karate misamba mingi
7. Agombee daladala apite dirishan
Binti yangu sasa hv anajifunza karate yuko kata ya 4 hapo kuna bikira kweli bikira iko moyoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Bukoba hiihii (Kagera) tuijuayo kuanzia muleba,kaisho,karagwe,kimondo,benako,kabanga na mtukula?
Ngoja tuishie hapa ila usidanganye watu wanaopajua vizuri huko
Hakuna kabila lilioshika ukatoliki kama wahaya tz hii . kidogo wachaga wanajitahidi.Tukutane rwamishenye kesho jioni uje ufute hii comment yako. Tuzunguke kutazama maraya wa kihaya ndani ya uhayani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kimekusuma kuanzisha tena uzi kama ule ?Upo ngoja nikiuwekee hapa
Unamshukuru aliyekutoa sio uliyenae hivyo unaunga mkono hoja ya mleta uziBikra ilishatokaga kitambo sana. Sijutii tena namshukuru sana aliyetoa maana saivi raha mustarehe joka linateleza mpaka ndani bila kipingamizi chochote. Raha ya dudu liingie taratibu bila mikiki , maumivu hapana kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utasubir Sana ndege wafananao huruka pamojaAsante sana mleta mada,nikibahatika kuoa nitaoa mwenye bikra japo mimi ni k.i.t.o.m.b.i
Sent using Jamii Forums mobile app
Shemeji mie kote huko nimechafua sio naongea kwa kusikia hivi wahaya wanavyofanana kitabia na wanyankole unaweza kweli kujitetea kwa mtu aliyetembea maeneo hayo kwa kiasi fulani?Mkuu kasema ukweli kabisa,we utakuwa unaongelea Kagera ya kusikia
Sent using Jamii Forums mobile app
From what I know kuhusu bk ni kujitunza(hujawahi make love), na ndyo maana nikakwambia kujitunza ni kwa watu wote tu ke & me, Usomi wa mtu huwa unaugunduaje? I'm not msomi btw, na hata ingelikua hivo, watu tunaendelea kujifunza daily and I hope hujamaster kila kitu kama ni msomi pia.
Sent using Jamii Forums mobile app