Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Tangu lini mwanaume ana bikra? Wewe sema nami niwe mwaminifu nisifanye uzinifu lakini sio kusema nitunze bikra. Bikra ni alama alizonazo mwanamke ambaye hajawahi kufanya mapenzi. Nawe msomi hujui maana ya msingi ya bikra?
From what I know kuhusu bk ni kujitunza(hujawahi make love), na ndyo maana nikakwambia kujitunza ni kwa watu wote tu ke & me, Usomi wa mtu huwa unaugunduaje? I'm not msomi btw, na hata ingelikua hivo, watu tunaendelea kujifunza daily and I hope hujamaster kila kitu kama ni msomi pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bikra ni hali ya kiroho na kimwili, sio hali ya kimwili pekee. Bikra sio kiungo ni hali ya kutokuwahi kujihusisha na tendo ngono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mleta mada,nikibahatika kuoa nitaoa mwenye bikra japo mimi ni k.i.t.o.m.b.i

Sent using Jamii Forums mobile app
Utasubir Sana ndege wafananao huruka pamoja
Kama Wewe ni inzi utaruka na inzi wenzako
Hivo hivo na mende
Inzi na nyuki wana mbawa lakin hawaruki pamoja
Kwa nn??
Kwa sababu inzi ni mjinga anapenda vitu vichafu
Ila siku inzi akiacha ujinga atatengeneza Asali nzuri tuu
Sasa Wewe ni inzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna demu aliniambia ameamini ninampenda kweli baada ya kumuacha demu niliyemtoa bikra na kuendelea na yeye ambae sio bikra..
Nikagundua hata wao kumbe bikra ina thamani sana na wanajua
 
Mkuu kasema ukweli kabisa,we utakuwa unaongelea Kagera ya kusikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Shemeji mie kote huko nimechafua sio naongea kwa kusikia hivi wahaya wanavyofanana kitabia na wanyankole unaweza kweli kujitetea kwa mtu aliyetembea maeneo hayo kwa kiasi fulani?

Huko na Uganda wala hakuna utofauti sana

Wanawake wa Uganda wamekaa kiny*g*e sana kama wah**y

Pia nimetembea hizi east Africa yote ndugu zenu wengine ni Rwanda na Burundi.
 


Afadhali umesema from What you Know. Sasa nami nakujuza kuwa Bikra maana yake ya msingi ni Mwanamke ambaye hajawahi kufanya ngono. Na hilo huthibitishwa na alama za ubikra alizonazo sehemu za siri. Hata Biblia inaeleza kuwa Mwanamke kama utamkuta hana alama za ubikra unaruhusa ya kumpa talaka.

Maana ya Ziada au dokezi ya neno Bikra ni kitu chochote kisichowahi kufanyiwa matumizi. Maana hii huwa si ya msingi japo inatokana na Maana ya msingi.

Nakupa Mfano;
Neno :KUPE" maana ya msingi ya neno kupe ni mdudu mdogo anayenyonya damu wanyama wengine.

Lakini maana ya ziada ya neno "Kupe" ni Mtu yeyote mnyonyaji. Kwa mfano Nchi za ulaya Nyerere aliziita kupe kutokana na Unyonyaji waliokuwa wanaoufanya. Lakini kimsingi nchi hizo sio wadudu bali ni kutokana na tabia au sifa walizokuwa nazo.

Mfano mwingine ni neno "SIMBA" ni mnyama wa mwituni jamii ya paka. Hii ni maana ya msingi ya neno Simba.

Lakini maana dokezi au ya ziada mtu anaweza kujiita simba kutokana na kuwa na sifa fulani za mnyama huyo. Aidha ni ujasiri, nguvu au mamlaka.

Mfano Diamond Platinum anajiita simba lakini kimsingi sio simba.

Hivyo unapoambiwa neno lolote lile ni lazima ujue maana yake ya msingi kwanza sio unakuja kukurupuka kama mpumbavu.

Shamba au ardhi kuitwa bikra yaani haijatumika ni maana dokezi ambayo inatokana na kutotumika kwake. Lakini kimsingi bikra ni mwanamke ambaye hajawahi kufanya mapenzi. Na anaalama hizo za ubikra.

Mwanaume ataitwa bikra ikiwa mtu ataamua kutumia maana dokezi ya Ubikra lakini kimsingi mwanaume sio bikra.

Mfano; Mwanaume anaweza kuitwa Mwanamke ikiwa anatabia au sifa za mwanamke lakini kimsingi yeye sio mwanamke. Bali watu wataangalia maana dokezi au ya ziada ambayo huzingatia sifa, tabia au umbo la kitu husika.

Nakupa mfano mwingine.
Neno KIFARU. Ni mnyama mkubwa wa porini anayekula majani. Hiyo ndiyo maana ya msingi.

Lakini ipo dhana ya kivita iitwayo pia "kifaru" hii ni maana dokezi kutokana na dhana hii kuchukua umbo la mnyama kifaru.

Lakini maana ya msingi ya neno Kifaru ni mnyama wa porini.


Haya mambo kama hujui ni bora uombe muongozo.

Nafurahi kuona na kusikia kuwa ulikuwa tayari kujifunza.

Mkienda shule muwe mnajifunza mambo mengi.

Mtu aliyeenda shule sishindwi kutambua jinsi anavyoandika. Kwa hiyo usinibishie wakati muandiko wako unakushtaki.
 
Kumbuka kuna dawa za kurudisha hiyo bikra .

Sent using Jamii Forums mobile app


Ninajua Mkuu. Ila bandia huwezi shindwa kuijua.

Vijana wa siku hizi hawajui mambo ya msingi. Wanajua mambo mengi lakini ya msingi hawayajui.

Imagine mtu hajui umuhimu wa bikra kwa mwanamke atakayemuoa alafu uniambie anajua umuhimu wa ndoa yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…