Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Jokajeusi,

Wewe kweli hujielewi...unaongelea uwepo wa "SHERIA" halafu wakati huo huo hutaki kutambua usawa kati ya mwanaume na mwanaume. Sheria hizo unazozitaja zinatoa nafasi ya namna fulani ya usawa kati ya mwanaume na mwanamke.

Kama mwanaume huwezi kuwa unapigia kelele juu ya umuhimu wa wanawake kuwa bikra halafu wakati huo huo unashinda mtaani ukitongoza dada za watu na kuwatoa bikra. Hoja ya bikra hapo inakuwa inakosa mashiko, yaani wazungu wanasema ni "CONTRADICTION".

Kama bikra ni muhimu sana kwenye ndoa basi wewe kama mwanaume unapaswa kuwa sehemu ya kuilinda. Najua hutakubaliana na hoja hii kwa sababu tu ya mfumo dume ambao umekulea ambao sehemu kubwa unakandamiza nafasi ya mwanamke kila wakati, kwamba mwanamke ni raia daraja la pili.

Bikra haina umuhimu kiasi hicho. Wewe kama unataka kuoa utaoa, muhimu ni mwanamke na mwanaume kutunza kiapo chao baada kuoana, kuendelea kuwa waaminifu.

Ila hoja kwamba mwanamke akiolewa bikra sijui ni heshima sijui kajitunza ni upuuzi. Mwisho wa siku mwanamke naye ana matamanio na nyege kama wanaume kwa hiyo akipata mtu wacha naye abanduliwe, akitaka kutobanduliwa basi nayo kheri.
 
Alaah kwahyo kumbe biashara ya umalaya hapo dar imeasisiwa na wanawake wa kihaya mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mimi Bikra yangu ilivyotoka sikuona damu Wala Nini...Kwanza nshasahau hata nlivyojisikia ..hahahaha Bikra Ni kapu la ndoa..hata sielewei kapu la ndoa maana yake Nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi watolewa bikra watatoa povu sana!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hoja yako upande wa umri iko sahihi sana imagine mazingira ya sekondar na miaka yake.. chuo..mtaani then mtu mwenye kuanzia 24 tumlaumu kisa hana bikra labda yule wa chin ya 18 ndo alaumiwe ikiwa hakubakwa....tunapotaka kuurudisha utamadun wa kuoa bikra tukumbuke pia masuala yake ambatani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo watu ni wabishi sana
Yani hawajui kuwa mwanamke anapata hamu pia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja yako ni nzuri, isipokuwa imekaa upande mmoja wa wanawake, kwamba wao ndio pekee wanapaswa kujitunza .Bikira ni alama ya uaminifu, ukiingia rohoni zamani ilikuwa ni damu ya agano katika ndoa. Kwa mwanaume unaetaka kuoa bikira uwe na uhakika na wewe ni bikra ,yaani hujawahi kulala na mwanamke yeyote.
Kwa sasa bikra haiwezi kuwa alama pekee ya kupima uaminifu wa mwanamke, wapo wenye bikra lakini wamefanya kinyume na maumbile.
Lakini pia wapo ambao walijikwaa zamani wakapoteza bikra zao, lakini baadae wakaamua kuwa waaminifu.
Sio vyema kuwahukumu moja kwa moja wanawake ambao hawana bikra ,
So tafuta mwanamke au mwanaume mwaminifu.
 
Kwanini alimwacha huyo bikra tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bikra alikuwa analala na wachungaji na akaja kumalizia kwa kwenda kwa shemeji yetu mkubwa akiwa kavaa chupi na kanga tu. Alikuwa anafanya hivyo mme wake akiwa kasafiri. Mme akimtumia pesa bikra ana wanunulie mabwana zake zawadi. Hahahah bikra baada ya kutolewa hamu ikaongezeka akashindwa tulia kabisa. Ila ukimuona anakwambia Bwana Yesu asifiwe na goti linapigwa, shemeji alikuja kugundua baada ya kuanza kuomba Sana ndio mambo yakaanza kujulikana. Mamma mkwe alimwambia mwanae hujui wanawake wewe
 
Nikipata Mwanamke Bikra naoa hata Kesho Jaman

Sasa hawa Single Mother walio jaa sijui wataenda wapi ndoa za sasahivi kuna bikra zinapatikana kweli
 
Habari Wakuu!

Tangu nijiunge humu JF nimekuwa nikiwapigia chapuo wanawake wenye bikra ndio wake bora.

Asilimia 90% ya wanaume tuliooa wanawake wenye bikra hatuna kesi za ajabu ajabu ndani ya ndoa. Wanawawe sio malaya, wanaadabu, hawana tamaa ya hovyo hovyo. Wakati 10% iliyobakia ya waliooa wanawake wenye bikra wanapata mikasa na vitimbwi vya ndoa.

Hii ni tofauti na wale wenzangu na miye waliooa wanawake wasio na bikra ambao 90% wanahenyeka, wanaipata fresh ya shamba. Huku 10% ndio wakineemeka.

Wakati 99% ya wanaume waliooa single mother wakiiona dunia jehanamu, ndoa chungu na maruweruwe. Huku 1% ya wanaume waliooa single mother ndio wakienjoi.

Sisi tuliooa wanawake wenye bikra mpaka hivi leo tunapeta na wengi tunaenjoi maisha.

Faida ya kuoa mwanamke mwenye bikra

1. Hawezi kukuona kibamia
2. Kiroho mnamafungamano
3. Mtazaa kizazi kisicho cha zinaa tofauti na kuoa mwanamke ambaye tayari ameshafanya uzinzi. Ambapo mtoto wako atapitia kwenye uke ulionajisiwa na wanaume wengine na kumwagiwa manii zingine.

4. Heshima na adabu
Siku zote mwanamke anayekuheshimu atakupa kitu kipya na sio mtumba. Wanawake wa siku hizi wanawadharau wanaume kwa sababu wanaume wengi siku hizi wameamua kula makombo, kula mtumba. Mwanamke hawezi kukuheshimu ikiwa ulimuoa akiwa hana bikra. Hata Mungu mwenyewe hapendi makombo, Mungu kumpa sadaka au zawadi used ni kama umemdharau. Ndio maana akawaambia hata watu wake waoe wanawake bikra, ili wasijitie unajisi wao na kizazi chao.

5. Ukioa Bikra huwezi pata sijui mwanamke aliyetoa mimba, sijui aliyezaa.
Siku hizi wanaume wanaoa wanawake wauaji bila ya wao kujua. Unakuta unaoa jianamke lisilo na bikra kumbe tayari limeshaua watoto kwa kutoa mimba nyingi tuu. Sasa njia bora kuzuia mashaka hayo ni kuoa mwanamke bikra.

6. Mwanamke hatakuwa na Kumbukumbu za Ma-ex wake
Ukioa mwanamke bikra huna wasiwasi, unajiamini kwa sababu wewe ndio wa kwanza. Huwezi linganishwa na mwanaume mwingine kwa sababu hakuna wa kulinganishwa naye. Ila ukioa mwanamke asiye na bikra ni lazima afanye ulinganisho baina yako na wanaume waliompitia. Siku zote awali ni awali. Na siku zote upendo wa kwanza ndio upendo halisi.

Nafahamu mada hii itawaumiza wanawake wengi ambao hawana bikra na hawajaolewa, au waliombioni kuoa mwanamke ambaye hajamkuta bikra. Lakini huo ndio ukweli. Wewe kama huna bikra au uliolewa bila bikra na ukaolewa na mwanaume mwingine ambaye hajakutoa bikra basi tambua wewe ni malaya.

Sisemi malaya wasiolewe, ila lazima mtu kabla hajaoa atambue kuwa changamoto za kuooa malaya ni zipi.
Siku hizi watu wanakuambia ndoa ndoano, au ndoa uvumilivu moja ya sababu ni kuoa wanawake wasio na bikra. Kuoa mwanamke asiye na bikra yataka moyo. Yaani unaoa mwanamke ambaye unafahamu fika kuwa mwanamke huyu ni malaya yaani tayari keshalala na mwanaume mwingine. Kabla hujaoa mwanamke asiye na bikra jiulize utaweza vumilia changamoto za malaya?

Ni tofauti na sisi tuliooa wanawake bikra ambao kimsingi tunakuwa waalimu wa wake zetu tukiwafundisha kila mazuri na mabaya. Lakini unapooa mwanamke asiye na bikra basi tambua yale aliyojifunza kwa waliomtoa bikra basi anakuja ku-apply kwako.

Wakuu bikra zipo, mabinti wapo kibao wenye bikra, acheni kusema bikra hakuna, bikra zipo nyingi kidato cha tano, cha sita, chache zipo chuo.

Nafahamu kuna bikra za kutengeneza, lakini mwanamke bikra hata akili yake huwa bikra hilo ni muhimu.

Bikra matters!

Povu Ruksaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…