Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

endelea kumjaza upepo tu mwamba bt kuna siku atalia kama samaki machozi yake yaende na maji

Nilie kwani wanawake wameisha?

Nitaoa hata kila siku. lakini siwezi kuoa mwanamke asiye na bikra.

Mwanangu hawezi zaliwa na mwanamke asiye msafi. Hilo haliwezekani
 
Umemuoa mkeo akiwa na miaka mingapi
 
Mbona nasikia zipo bikira za bandia na fek ikabisa eti unakuta imekamuliwa limao imejirudi sambamba na hilo unafinyiwa mboo kwa ndanii, kuwekewa siki na vibarafu halafu hata kama haijaingia yaani imetelezea pembeni wanajiliza kama paka wa bar wanashindana na sauti ya mziki.
 


Unafikiri hawajui Mkuu. Wanajua.

Ni sawa na mvuta sigara ambaye ashaambiwa kuvuta sigara ni hatari kwa afya yako lakini anavuta. Sio kwamba hawajui bali wameamua kuwa hivyo.

Hapa wanataka kuwapotosha vijana wengine wajiingize kwenye matatatizo.
 
Bila Hilo tendo la kimalaya tusingezaliwa, umalaya ulikuwepo even before christ, and after na utaendelea kuwepo tu Hadi mwisho wa dahari
 

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Bikra Og inatambulika Bwashee
 
Wakati 99% ya wanaume waliooa single mother wakiiona dunia jehanamu, ndoa chungu na maruweruwe.
Huku 1% ya wanaume waliooa single mother ndio wakienjoi,
ukweli mchungu huu...
 
Mkuu nenda Zanzibar utawapata wengi wanazo bikra za mbele yaani mbele hakujaguswa kabisa.!
Nasisitiza tena kwamba wanazo bikra za mbele tu hawajaguswa kabisa bado wabichi kabisa kule mbele

Hahahahaha ila nyuma kupo wazi,hao ndio wale ukiwaoa hawaachi kukumbuka mapori yao
 
endelea kumjaza upepo tu mwamba bt kuna siku atalia kama samaki machozi yake yaende na maji
Ameamua nikubaliane nae na imekuwa hivyo...

Ila mi naelewa Ubaya wa hilo ni "Overtrusting". If a guy overtrusts a woman she defines the guy as dumb and losses attraction with him. She will eventually seek for another guy who treats her as a woman. Tabu huanzia hapo.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Watu hufikiria kuwa nice ndio hujaza upendo but things work very differently.
 
Bila Hilo tendo la kimalaya tusingezaliwa, umalaya ulikuwepo even before christ, and after na utaendelea kuwepo tu Hadi mwisho wa dahari

Unaweza kuwa umezaliwa kimalaya lakini haimaanishi tuendeleze umalaya.
Tumezaliwa chini ya dhambi lakini haimaanishi tutende dhambi.
Huenda Baba ni jambazi na pesa za ujambazi ndizo zilizotukuza na kutusomesha lakini haimaanishi tuwe majambazi kama Baba zetu.

Na ndio maana nawaasa vijana wasioe wanawake wasio na bikra. Wewe kama hujaolewa na hauna bikra Muombe MUNGU msamaha, kisha akija mwanaume akitaka kukuoa mwambie tena nisamehe mume wangu kwa maana sikukuwekea bikra.

Na sio kutetea upumbavu, vinginevyo itatimiza ile kauli isemayo, malaya huzaa malaya na ndio maana hutetea umalaya
 
Nilie kwani wanawake wameisha?

Nitaoa hata kila siku. lakini siwezi kuoa mwanamke asiye na bikra.

Mwanangu hawezi zaliwa na mwanamke asiye msafi. Hilo haliwezekani
mkuu we mwenyewe hukuoa ukiwa bikra alafu unawapondea ke wasio bikra, kumbuka hata mitume walioa wake bikra bt baadhi ya watoto zao walikua mafirauni
 


Mkuu kisheria, hasa za dini. Huruhusiwi kumuamini yeyote isipokuwa Mungu. Tulichoruhusiwa ni kupendana. Mume kumpenda Mke, na mke kumtii mume. Na sio kuaminiana.
 
Wewe ni mwendawazimu dahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuzaliwa ni kuzaliwa tu haijalishi mtu alibakwa au lah, so to me there is no difference kwa hyo zaidi tu ya streotypes za watu, pia mtu anaweza kuwa Malaya with beautiful soul, na matendo mengi hufanya Ila umalaya ni Kama weakness yake as kila binadamu ana mapungufu yake, Kuna watu sio Malaya, Ila wao ndio kumara wa kuhukumu watu, Wana roho mbaya shetani anasubiria, so kwa vile hufanyi dhambi flani hakukupi utakatifu, kila binadamu ana weakness Ila vile watu hunyooshea umalaya wakati ni furaha ya mtu I don't see any problem honestly.
 
mkuu we mwenyewe hukuoa ukiwa bikra alafu unawapondea ke wasio bikra, kumbuka hata mitume walioa wake bikra bt baadhi ya watoto zao walikua mafirauni

Nishakuambia siwezi oa mwanamke asiye na bikra.
Tangu 2013 nilipooa mpaka leo ninasema jambo hili na ninamuambia mke wangu. Moja ya sababu zilizonifanya nikuoe ni pamoja na bikra.

Ila nikamuambia kuwa siku ukichepuka, utafukuzwa mchana kweupe, na hili nililisema siku ya harusi mbele za watu
 
Kuwa mpole kupitiliza inaboa,ina maana hakuna muda muda unakoroma kama kidume.
Wanawake wanapenda mwanaume mwenye mamlaka na kaubabe kwa mbaali ndio maana wa mkoa wa Mara usipomtoa ngeo anaona humpendi au anaishi na mwanamke mwenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…