Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra



Ndio maana nikasema watu waone Comment alafu wataona wanawake malaya wanafikiriaje. Nashukuru kwa kuwa mfano mzuri humu.

Yaani uwe malaya alafu uwe na roho nzuri? Sijawahi ona hii popote pale. Hujui umeolewa? unafanya umalaya nani atauvumilia umalaya?

Ni sawa na mwizi anakuambia nimeiba ila ninaroho nzuri, tangu lini?

Huwezi kuwa na roho nzuri kwa kuvunja amri za Mungu.

Jamani watu oneni huyu mwanamke jinsi anavyofikiria, yaani amemuoa anafanya umalaya alafu anakuambia anaroho nzuri hajui unaumia 😀😀😀😀

Roho mbaya za watu zinasababishwa na kutenda dhambi, ukiona mwizi ujue anaroho mbaya, ukiona muuaji jua anaroho mbaya, ukiona asiyeheshimu wazazi huyo anaroho mbaya, ukiona malaya ujue anaroho mbaya, ukiona msema uongo huyo anaroho mbaya,

Mtu yeyote anayefanya uovu anaroho mbaya wakiwemo Malaya ambao mada hii inawahusu. Sema wamegawana idara

Narudia, vijana wasioe wanawake wasio na bikra, nadhani wanajionea wenyewe kwa macho kupitia comment zako
 
mdogo wangu itakua unafail pahala, yaani unadhani atakupa taarifa kua amechepuka, kwa taarifa yako ujue hadi unagundua kachepuka ujue kashaliwa sana tena kwa nyie mnaojiaminisha kwa bikra ni ngumu mno kumgundua...

kinachomfanya mwanamke yeyote achepuke ni kutongozwa, anaeza pangua mitongozo ya vidume hata 10 bt wa 11 akala mzigo kwa hiyo usijipe matumaini sana coz hakuna mwanamke asietongozwa hata kama umemuoa na bikra, labda kama unamfungia kabatini ukiwa job
 

😀 😀 😀 😀

Mkuu nafikiri wewe ndio hunielewi kabisa, kuchepuka kwa mwanamke si mpaka uwe na ushahidi. Kama huna ushahidi kuna shida gani? Sasa wewe unaoa mwanamke ambaye tayari ushahidi unao kuwa yeye ni malaya kwa sababu hana bikra, huoni ni tatizo, huoni unashida mahali?

Hata Biblia inasema; kama mwanaume hujaona alama za ubikra za mke unayetaka kumuoa unaweza mpa talaka kabla hujamuoa. Sasa ikiwa Biblia yenyewe yasema hivyo, wewe ni nani
 
Yani opinions za mtu different una zi term umalaya, wewe kupenda kitu flani na mwingine kutokukubaliana sio dhambi ni matter of preferences,na kinacho waponza wengi wanao jidai wacha Mungu jina huwa ni unafiki wa ku judge wengine na kusahau kuondoa boriti zao kwanza, maandiko yenyewe yanasema usihukumu msije mkahukumiwa maana kipimo upimacho na wewe utapimiwa so wakristo jina huona dhambi ni uzinifu na kusahau dhambi ka umbeya, na Mambo mengine kuwa ni kosa waweza kuzini hata akilini mwako Napo ni dhambi. So tuache kuona umalaya ndio dhambi na kusahau dhambi nyingine
 
Ni kweli kabisa, wanawake waliozaa na wasio na bikra ni nyoko. Wana maneno hakuna mfano wana ujasiri wa kukutoa roho wakikubusu. Wanaume wengi wanataka vya rahisi, wanaume wenye mioyo ya kiume siku hizi kama wapo ni wachache kama asilimia 0.5 tu. Mtu anaoa mwanamke ameshatumika mbele na nyuma na bado anajifanya ameoa.Mikosi na umaskini kwa sehemu kubwa katika ndoa ni uchafu wa zinaa.Pumbafuuuuu kabisa
 
kwa kua lengo la uzi wako ni kutaka uonekane mshindi basi sawa ngoja tukupe kombe la ushindi
 

Mada hii inazungumzia umalaya. Nimekutajia dhambi zingine kwenye comment

Huwezi kuwa na opinion za uovu
 
Mada hii inazungumzia umalaya. Nimekutajia dhambi zingine kwenye comment

Huwezi kuwa na opinion za uovu
Umejuaje Ni uovu maana hata wewe ulivoandika mwingine anaona umepotoka kabisa, kulingana na alivo elewa, shida watanzania time cremisha hichi ni sahihi kumbe kwa mtu mwingine ni wrong.
 
Unauzungumziaje umalaya sisteri, je ni jambo zuri au baya ?
Mimi nitazungumziaje maamuzi ya watu na miili yao jamani, kwangu mimi na mipaka mtu anayejiskia kufanya na afanye tu kwa Raha zake Mimi ni Nani nihukumu wengine.
 
Sisteri uovu unajulikana aisee.
Inategemea na unavo u define uovu kichwani mwako eeh law of attraction inasema ukiwaxa positive issues una attract positive energy na ukiwaxa vibaya mwili una respond in negative way na unapata janga kweli
 
Mimi nitazungumziaje maamuzi ya watu na miili yao jamani, kwangu mimi na mipaka mtu anayejiskia kufanya na afanye tu kwa Raha zake Mimi ni Nani nihukumu wengine.
Nimekuuliza wewe kama wewe, usiwasemee wengine na jibu lake ni fupi sana, kwamba ni jambo baya au zuri ?
 
Inategemea na unavo u define uovu kichwani mwako eeh law of attraction inasema ukiwaxa positive issues una attract positive energy na ukiwaxa vibaya mwili una respond in negative way na unapata janga kweli
Nakusaidia, unaelewa nini ninapo kwambia kuweka kitu mahala pake panapostahiki ? Sasa uovu ni kinyume chake.

Nafasi ya vitendo katika hayo mawazo iko wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…