Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hapana bado sijaolewa, ila soon Mungu akijalia.

Thanks for your appreciation [emoji3059]
Safi sana, fanya uolewe bibie, uwasaide mawazo wenzako wa humu, maana mishipa ya shingo inawasimama kubishana na ukweli, jambo ambalo hakuna anaeweza kubishana na ukweli.
 
Nakusaidia, unaelewa nini ninapo kwambia kuweka kitu mahala pake panapostahiki ? Sasa uovu ni kinyume chake.

Nafasi ya vitendo katika hayo mawazo iko wapi ?
Na unajuaje kuwe wewe hapo ulipoweka ni sahihi kuliko sehemu nyingine? Na uovu kwanza ni socially constructed, wewe waweza jiona uko sahihi kwa mtizamo wako lakini ukiwa na watu wengine wakakuona hauko sahihi so it's a matter of pure opinions
 
Umejuaje Ni uovu maana hata wewe ulivoandika mwingine anaona umepotoka kabisa, kulingana na alivo elewa, shida watanzania time cremisha hichi ni sahihi kumbe kwa mtu mwingine ni wrong.

Watu jioneeni MTU huyu.

Hajui hata umalaya ni dhambi.

Dini zote zinaeleza hivyo.

Sheria zinaeleza hivyo, wewe unaishi wapi?
 
Kama ni kweli basi nimehitimisha kuwa kwa namna unavyowasilisha hoja juu ya wanawake inawezekana kama si mama yako hakuwa bikra basi bibi yako... Kuna mmoja tu lazima hakuwa bikra kwenye line ya kizazi iliyopelekea ww kuja duniani. Uwasilishaji wa hoja yako unathibitisha hilo. "Ceteric paribus"
 
Watu jioneeni MTU huyu.

Hajui hata umalaya ni dhambi.

Dini zote zinaeleza hivyo.

Sheria zinaeleza hivyo, wewe unaishi wapi?
Hahaaa wanioneje sasa, maana hata wewe unahukumu wengine vile hawaandiki usichokiamini na umesahau kuhukumu ni dhambi pia, usengenyaji na hayo yote.
 
Na unajuaje kuwe wewe hapo ulipoweka ni sahihi kuliko sehemu nyingine? Na uovu kwanza ni socially constructed, wewe waweza jiona uko sahihi kwa mtizamo wako lakini ukiwa na watu wengine wakakuona hauko sahihi so it's a matter of pure opinions


Huna unachoelewa.

Hujui hata maana ya Opinions na facts

Umalaya ni kosa kwa jamii zote. Hii ni Fact.

Ukahaba inategemea na jamii. Opinions

Facts haina pande mbili kama jambo ni baya basi ni baya kwa jamii zote.
Opinions inapande mbili, jambo linaweza kuwa baya jamii moja lakini kwenye jamii ingine jema
 
Ni kweli kabisa mkuu, na mwanamke bikra akikuambia nivumilie mpk tuoane hapo sawa co anasema nivumilie alafu keshagongwa gongwa ss hapo unavumilia nn wkt tayari keshaonja tamu?
 
Kwahyo wewe ndio unaelewa unavotaka kulazimisha bikra na wengine wafikirie ka wewe?
Coz to me nilijua wewe ni mtu muelewa rather naona umefocus na umalaya sijui Nini na juu nilikutolea mifano ya dhambi wewe umefocus na umalaya sasa hapo unakuwa na tofauti gani na wale mafarisayo waliyompeleka yule mwanamke mzinifu kwa Yesu, na Yesu akawaambia mtu yoyote asiye na dhambi na achukue jiwe ampige yule mwanamke, mbona waliondoka hawakumgusa kwa lolote. So tuache kuhukumiana kwa vile tunaenda dhambi kitofauti tofauti. Hamna mkamilifu
 
Hahaaa wanioneje sasa, maana hata wewe unahukumu wengine vile hawaandiki usichokiamini na umesahau kuhukumu ni dhambi pia, usengenyaji na hayo yote.

Unazijua torati?
Unajua sheria za nchi?

Tangu lini kuhukumu ni dhambi? Torati IPI hiyo?
Pasingekuwa na Kadhi, hakimu,

Nasisitiza Umalaya ni dhambi.
Wanaume wasioe malaya
 

Mada inahusu Umalaya, ndio maana nimejikita humo. Wewe unataka utoke nje ya mada.

Fungua Uzi mwingine utakaohusu dhambi zingine
 
Ukweli niamini wazazi wanakushaa sana njia iuliopita wewe ndo atapita mwanao.
 
Kutafuta taste ni tabia za mwanamke malaya, Mimi ninasema jambo nililolifanyia utafiti, wewe unaongea kujifariji humu.
Hapa ss kiongozi ndipo nilipokushusha na kukuona we kumbe bado kwenye mapenzi, iko hv ww shikilia msimamo wako kwmb watu wajitahidi kuoa wanawake bikra lkn huwezi kumfanya awe special cz utake usitake lazima utachapiwa tu yn ckia nikwambie lazima uchapiwe labda umdhibiti mkeo asiwe na marafiki na asitoke wala ww usitoke.

Wanawake wanafanana fanana na wana tabia ya kushawishika kirahisi mno hususan kwa ambaye hajawahi kupata ladha sehemu nyingine lazima atataka kuonja tu.

Lakini pia historia inaonesha kwamba mwanamke bikra ni msumbufu mnoo km unabisha save hii comment na utaleta mrejesho humu.
 
Mada inahusu Umalaya, ndio maana nimejikita humo. Wewe unataka utoke nje ya mada.

Fungua Uzi mwingine utakaohusu dhambi zingine
Na Mimi ndio nimeelezea humo humo kwa mifano, hata sijatoka nje yake na Mimi kufungua Uzi ili nijione msafi siwezi nitabaki mchangiaji tu basi
 
Inawezekana ukawa upo sahihi unakuta mdada anatembea na david anapewa mimba na john anamsingizia joseph halafu mimba analea Juma mwisho anaolewa na Thomas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…