Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hata Yesu alikuwa Marioo kwa Magdalena
Muhamadi alikuwa Marioo kwa Bi. Khadija

Kuliko uoe mwanamke asiye na bikra alafu malaya, ni bora uwe marioo.

Waache waje, wanawake weye pesa huwezi waona humu, wao hunifuata inbox
Hahahah umetisha mkuu, kwa hio kuwa marioo sio dhambi kama hawa
malaya wanavyokandaga watu humu.

Maana mie niliwahi leta maoni yangu wakani diss. Binafsi naamini zaidi katika mwanamke independent kiuchumi ndie ambaye anaweza kutoa penzi la kweli maana hashawishwi na hela zako bali anakuwa nawewe sababu anahitaji kuwa na wewe. Niliishia kupigwa majungu mno.
 
Kila mwanaume atapambana na mwanamke wa kufanaa naye.


Unaakili sana.

Kama ungekuwa hujaolewa ningekuchukua hata kama huna bikra.

Unakuta mwanamke bikra hana
Pesa hana
Hata Akili nayo hana.

Wewe hata kama huna pesa, huna bikra lakini akili unazo, ningekuoa
 
Wanakuja kukuita Marioo kwa hasira[emoji23][emoji23][emoji23]...Jiandae mzee!!!
Hii wiki nyuzi za bikra ni nyingi mno kulikoni wajuba
Kuna buraza yangu Dr. Jeshini alioa bikra shombe flani, walipendana sana sana, aksjisifia na akasifiwa na kila mmoja.
Siku moja akapata nafasi kwenda kuongeza elimu Mauritania, siku anarudi muke hayupo home, subiri ssna holaa, rafikiki zake wakamwambia twenzetu kwa sherehe ya mtoto wa kigogo flani wa kigogo alikuwa mkubwa wa nchi hii baada ya rais.
Bwana wee
Kumbe mlewe yupo na mume/mpenzi mpya nao wapo shereheni.
Buroo alipoingia tu watu wengi wanaomfshamu wakawa wanamgeukia na kunong'onezana wakisubiria nini kitatokea wakijua huenda anajua kitakachotokea.
Kumbe buroo hajui kinachoendelea.
Baada ya muda alizungusha macho akamuone mkewe kipenzi...
Looh kilichotokea....

Ukimtajia bikra anaweza kukunyonga
 
Hahahah umetisha mkuu, kwa hio kuwa marioo sio dhambi kama hawa
malaya wanavyokandaga watu humu.

Maana mie niliwahi leta maoni yangu wakani diss. Binafsi naamini zaidi katika mwanamke independent kiuchumi ndie ambaye anaweza kutoa penzi la kweli maana hashawishwi na hela zako bali anakuwa nawewe sababu anahitaji kuwa na wewe. Niliishia kupigwa majungu mno.


Ukioa mwanamke asiye na pesa au masikini huna chako.

Pesa yako inakuwa ya familia na ya mke wako.
Lakini ukioa mwanamke mwenye pesa, hawa hawana shida, pesa yake ahudumie kwao huko na mahitaji yake. Nyumbani unasimia shoo wewe kidume.

Lakini ukitaka uone shoo, au wanaume wanavyoteseka basi oa masikini. Ndugu zake wote watakushushia mashida yao. Tenqa usipotimiza mahitaji yao mke atakununia ikiwezekana ndoa kuingia kwenye migogoro.

Ninaposema uowa
 
Kuna buraza yangu Dr. Jeshini alioa bikra shombe flani, walipendana sana sana, aksjisifia na akasifiwa na kila mmoja.
Siku moja akapata nafasi kwenda kuongeza elimu Mauritania, siku anarudi muke hayupo home, subiri ssna holaa, rafikiki zake wakamwambia twenzetu kwa sherehe ya mtoto wa kigogo flani wa kigogo alikuwa mkubwa wa nchi hii baada ya rais.
Bwana wee
Kumbe mlewe yupo na mume/mpenzi mpya nao wapo shereheni.
Buroo alipoingia tu watu wengi wanaomfshamu wakawa wanamgeukia na kunong'onezana wakisubiria nini kitatokea wakijua huenda anajua kitakachotokea.
Kumbe buroo hajui kinachoendelea.
Baada ya muda alizungusha macho akamuone mkewe kipenzi...
Looh kilichotokea....

Ukimtajia bikra anaweza kukunyonga


Sasa kosa la mwanamke liko wapi?

Bikra anachepuka kwenye mazingira maalumu.
Mwanamke asiye bikra hajali mazingira, yaani mumewe yupo lakini linatoka.

Nilishasemaga kuwa 90% ya wanawake walioolewa bikra ni waaminifu. 10% ndio hupotoka.
Hii ni tofauti na wanawake wasio na bikra ambao 90% sio waaminifu. 10% ndio waaaminifu
 
mkuu kumbuka kuna dada zako na nduguzo maskini wasio na bikra nao wasiolewe kwa mujibu wa uzi wako?
 
Sasa kosa la mwanamke liko wapi?

Bikra anachepuka kwenye mazingira maalumu.
Mwanamke asiye bikra hajali mazingira, yaani mumewe yupo lakini linatoka.

Nilishasemaga kuwa 90% ya wanawake walioolewa bikra ni waaminifu. 10% ndio hupotoka.
Hii ni tofauti na wanawake wasio na bikra ambao 90% sio waaminifu. 10% ndio waaaminifu
Nimesimulia tu, yaani umenikumbusha kisa hicho.
Lakini pia mimi binafsi siwezi kuoa kwa kigezo cha mke kuwa na mali au bikra.
Ikitokea niliyempenda ana vigezo hivyo inshallah lakini hivyo sio vipaumbele kwangu.
La kwanza kwangu niwe nimempenda kwa dhati naye awe ananikubali kwa moyo wake wote.
Mimi ni mwanaume lazima niwe mtoaji kuanzia upendo, pesa na ile kitu pendwa na wadada
 
Naunga mkono hoja mwanamke asiye na pesa si wa kumuamini sana, wengi wao sio classic, hawana real love pia sio waminifu.
 
mkuu kumbuka kuna dada zako na nduguzo maskini wasio na bikra nao wasiolewe kwa mujibu wa uzi wako?


Mkuu hiyo haijalishi, huo ndio ukweli na wewe unaujua.

Ukioa/ kuolewa na koo masikini lazima uteseke ndani ya ndoa.

Mimi nawaelewa sana wanawake wasiopenda wanaume fukara, wanaume suruali. Nawaelewa kwa maana najua jinsi wasivyopenda kupata shida ndani ya ndoa.

Wewe kama huna hela kaa ukijua lazima utamtesa mke wako hata kama unampenda vipi.

Na mwanamke kama huna hela kaa ukijua utamtesa mume wako hata kama unampenda vipi

Ndio maana nikajibu swali la wale walionifuata inbox wakiniambia kuwa bikra siku hizi ni chache au hazipo kabisa, nikawashauri kama mwanamke hana bikra basi awe na mkwanja.

Kama hana mkwanja basi kwao wawe na uwezo, ili uenjoi na manzi ako
 
Nimesimulia tu, yaani umenikumbusha kisa hicho.
Lakini pia mimi binafsi siwezi kuoa kwa kigezo cha mke kuwa na msli au bikra.
Ikitokea niliyempenda ana vigezi hivyo indhallah lakini hivyo sio vipaumbele kwangu.
La kwanza kwangu niwe nimempenda kwa fhati naye awe ananikubali kwa moyo wake wote.

Mkuu huwezi ishi na mwanamke kama huna hela utamtesa tuu
Na mwanamke hawezi kuishi na wewe kama hana pesa atakutesa tuu hata kama mnapendana vipi.

Miaka ijayo utanielewa
 
Mkuu hiyo haijalishi, huo ndio ukweli na wewe unaujua.

Ukioa/ kuolewa na koo masikini lazima uteseke ndani ya ndoa.

Mimi nawaelewa sana wanawake wasiopenda wanaume fukara, wanaume suruali. Nawaelewa kwa maana najua jinsi wasivyopenda kupata shida ndani ya ndoa.

Wewe kama huna hela kaa ukijua lazima utamtesa mke wako hata kama unampenda vipi.

Na mwanamke kama huna hela kaa ukijua utamtesa mume wako hata kama unampenda vipi

Ndio maana nikajibu swali la wale walionifuata inbox wakiniambia kuwa bikra siku hizi ni chache au hazipo kabisa, nikawashauri kama mwanamke hana bikra basi awe na mkwanja.

Kama hana mkwanja basi kwao wawe na uwezo, ili uenjoi na manzi ako
Kwa kifupi wewe ni mwanaume tegemezi, mapenzi hayachsgui kihivyo.
 
Mkuu hiyo haijalishi, huo ndio ukweli na wewe unaujua.

Ukioa/ kuolewa na koo masikini lazima uteseke ndani ya ndoa.

Mimi nawaelewa sana wanawake wasiopenda wanaume fukara, wanaume suruali. Nawaelewa kwa maana najua jinsi wasivyopenda kupata shida ndani ya ndoa.

Wewe kama huna hela kaa ukijua lazima utamtesa mke wako hata kama unampenda vipi.

Na mwanamke kama huna hela kaa ukijua utamtesa mume wako hata kama unampenda vipi

Ndio maana nikajibu swali la wale walionifuata inbox wakiniambia kuwa bikra siku hizi ni chache au hazipo kabisa, nikawashauri kama mwanamke hana bikra basi awe na mkwanja.

Kama hana mkwanja basi kwao wawe na uwezo, ili uenjoi na manzi ako
Sasa binti wa miaka 25 amepatia wapi pesa?
Mke anaweza asiwe na pesa lakini ana akili ya kutengrneza pesa
 
Kwa kifupi wewe ni mwanaume tegemezi, mapenzi hayachsgui kihivyo.


Utanielewa baada ya miaka mingi ijayo.

Simtegemei mtu na wala sihitaji kutegemewa.

Oa mwanamke masikini utanipa majibu, Mimi nina biashara zinazoniingizia kipato, kumhudumia mke wangu sioni shida. Lakini siwezi hudumia mwanamke masikini hata siku moja. Hawana shukrani hata kidogo, Utanielewa mwishoni
 
Kaanza kutusokomezea kooni Yale anaoyaamini...kumekucha..
 
Utanielewa baada ya miaka mingi ijayo.

Simtegemei mtu na wala sihitaji kutegemewa.

Oa mwanamke masikini utanipa majibu, Mimi nina biashara zinazoniingizia kipato, kumhudumia mke wangu sioni shida. Lakini siwezi hudumia mwanamke masikini hata siku moja. Hawana shukrani hata kidogo, Utanielewa mwishoni
Hutaki kutegemewa...utatombewa tu
 
Sasa binti wa miaka 25 amepatia wapi pesa?
Mke anaweza asiwe na pesa lakini ana akili ya kutengrneza pesa

Utajuaje anaakili ya kutengeneza pesa kama hujaziona pesa zenyewe alizotengeza?

Akili yenyewe ni pesa.

Wanawake masikini 90% hawana akili hizo unazosema wewe. Wengi huwaona wanaume kama migodi yao. Sikulazimishi kunielewam nimetoa taarifa.

wenye miaka 40+ waliooa wananielewa kwani wanajua wanayoyapitia

wewe huwezi elewa asee
 
Back
Top Bottom