Huyu pesa atoe wapi?Pesa hizi..matajiri wanataka kuoana na matajiri wenzao, maskini hawataki kuoana na maskini wenzao
Ushahidi huu hapa hana pesaPesa hizi..matajiri wanataka kuoana na matajiri wenzao, maskini hawataki kuoana na maskini wenzao
ku-argue na mjinga ni kupoteza muda nikutakie asubuhi njema mkuuSasa mimi si ndio masikini au?
Ujumbe wako unahusu sisi masikini, na ndio maana nimesema usioe mwanamke masikini
Asikusumbue soma hapoAcha dharau kenge Wewe...umasikini unaweza kukuta ukahaha na ukatokwa kamasi...Hua hatuwadharau wasio nacho hata Siku Moja...
Mtu kutokuwa na hela Sio kigezo kua Sio oe Wala asiolewe...mnatafuta Kama mna bidii ya kazi na mnamuomba Mungu Mambo mbona hubadilika..
Wangapi walianzia chini leo hii wanamaisha ya uchumi wakati..ambayo Wewe unayaita yakitajiri..
Tena uteme mate chini Maana Huo umasikini hakuna ambae hua anautaka.
Hebu fatilia chart za huko juu yeye mtu yeyote mwenye mtazamo tofauti hasa mwanamke ka Mimi kaniita Malaya na maneno mengi na nimemuelewesha vizuri tu, so yeye ndio analeta Mambo ya uzinzi na umalaya at the end of the day ilianzisha mada lazima kuwe na mitazamo tofauti tofauti, sasa ukitaka ulipendalo hyo mada ni Bora usingeandika tyMleta mada haongeli uzinzi anaongelea bikra msitoke nje ya mada!! Yani cha muhim ni uoe mwanamke uliyemtoa usichana ww mwenyewe!! na haijalishi uliitoa kabla ya ndoa au baada ya ndoa! NAUNGA MKONO HOJA NA WANAWAKE BIKRA NI WENGI ACHANENI NA KINA cariha waendelee kitumia K zao vizur kama anavyodai dai yeye!!
Hana pesa kumbePesa hizi..matajiri wanataka kuoana na matajiri wenzao, maskini hawataki kuoana na maskini wenzao
Hahaaa I didn't know wallah maneno mengi tumekopa kwenye kiarabu hukoHili neno la "BuliBuli" unenikumbusha Shairi moja maarufu sana la kiarabu linaitwa "Swawti Swafur Bulbul", humo anaongelewa ndege (Mwanamke Mrembo) na lugha iliyotumika humo ni tamu ajabu ile lugha ya ndani kabisa.
Acha dharau kenge Wewe...umasikini unaweza kukuta ukahaha na ukatokwa kamasi...Hua hatuwadharau wasio nacho hata Siku Moja...
Mtu kutokuwa na hela Sio kigezo kua Sio oe Wala asiolewe...mnatafuta Kama mna bidii ya kazi na mnamuomba Mungu Mambo mbona hubadilika..
Wangapi walianzia chini leo hii wanamaisha ya uchumi wakati..ambayo Wewe unayaita yakitajiri..
Tena uteme mate chini Maana Huo umasikini hakuna ambae hua anautaka.
Zaidi ya 70% msamiati wa Kiswahili una asili ya Kiarabu.Hahaaa I didn't know wallah maneno mengi tumekopa kwenye kiarabu huko
Wanaume aina yako ni makupe, hujipendekeza kwa wanawake wenye pesa kwa lengo la kuwanyonya.
Bro tafuta pesa oa mwanamke umpendaye achana wizi wako
Nikiwa masikini haimaanishi nisidharauliwe, ndio maana kipindi cha nyuma mwanamke akinikataa kisa sina pesa nilikuwa namuelewa, sijisikii vibaya kwani najua hataki mateso ya umasikini.
Ndio hivyo masikini apambane awe na hela ndio atafute mke/mume sio kutaka kupendwa na ufukara wake. Ushaambiwa mkonoi mtupu haulambwi, ushaambiwa aliyenacho ataongezewa asiye nacho hata kile kidogo anachodhani anacho atanyang'anywa. Bado huelewi nini.
Unajua masikini walioenda shule wanavituko sana, ndio hawa wanahangaika na haki sawa Hahahaha!
Hakuna usawa dunia hii.
Wewe kama ni masikini ni masikini tuu. Uwe mzuri, uwe umesoma, uwe vipi. Masikini lazima udharaulike.
Wangapi masikini wamesoma wanaranda randa mitaani kama chokoraa, wangapi wanawake wazuri masikini hawana mbele wala nyuma zaidi ya kujiuza na kuloga watu.
Mwanamke/mwanaume tajiri hata awe na sura mbaya, awe hajasoma lazima aheshimike.
Sasa wewe sura nzuri yako imekusaidiaje kukimbia umasikini? Wewe kama ni mzuri na bado ni fukara je ungekuwa mbaya si ungekuwa msukule kabisa?
Mkuu..kwa kauli zako hizi juu Watu Sio kuwa na uwezo unaonekana una uwalikini..Masikini hashauriwi wala hashauriki
Mimi ni kilaza lakini naelewa masikini walivyo, sasa wewe usiyewaelewa masikini ndio unashangaza watu humu.
Masikini wapo ili wateseke na watese wenzao. Nani atakubali kuteswa na wapuuzi
ku-argue na mjinga ni kupoteza muda nikutakie asubuhi njema mkuu
Leo umebanwa utaonyesha upumbavu wako wotePesa inatafutwa lakini sio ije itumiwe na wanawake fukara, wewe utanielewa mwishoni mwa picha.
Ukishaambiwa binadamu hawana jema; basi tambua ni hao masikini ndio maana wamejazana duniani kama sisimizi, Kazi kuzaliana tuu
stress za maisha mbaya sana
Mkuu..kwa kauli zako hizi juu Watu Sio kuwa na uwezo unaonekana una uwalikini..
Tena atakae sikiliza ushauri wahuyu mpumbafu..anatafuta kupotokaa
Hajazungumzia kupendana Wala kuvutiwa na mkewe...Yeye anazungumzia hela ya mkewe..
Bila Shaka huyu atakua. Anachepuka na wengine wazuri wenye kuvutia kwani ..yeye hakuvutiwa na maumbile ya mkewe alifuata pesa na bikra..WAL hampendi mkewe Maana hayo hajayasema.
Mkuu...hona hoja Wala huna sera..mpigie baba mkwe wako..akutumie hela ya kunywa chai.
ukiwa na stress za maisha ni bora ukaja jukwaani kutaka ushauri/faraja kuliko kujidai classic unapondea watu kumbe utopolo mtupuShukrani, ila zingatia sana. Mimi kama ni mjinga lakini nilichokushauri ni kikubwa kuliko unavyodhani. Tafuta mzee unayemheshimu kisha muulize swali hilo utapata majibu.
Nashukuru kwa mjadala
Ungekuwa umesoma ungejua hata graduate akiaanza hua anaanza wengi na chini ya milion...huyu Ni tajiri?Nikiwa masikini haimaanishi nisidharauliwe, ndio maana kipindi cha nyuma mwanamke akinikataa kisa sina pesa nilikuwa namuelewa, sijisikii vibaya kwani najua hataki mateso ya umasikini.
Ndio hivyo masikini apambane awe na hela ndio atafute mke/mume sio kutaka kupendwa na ufukara wake. Ushaambiwa mkonoi mtupu haulambwi, ushaambiwa aliyenacho ataongezewa asiye nacho hata kile kidogo anachodhani anacho atanyang'anywa. Bado huelewi nini.
Unajua masikini walioenda shule wanavituko sana, ndio hawa wanahangaika na haki sawa Hahahaha!
Hakuna usawa dunia hii.
Wewe kama ni masikini ni masikini tuu. Uwe mzuri, uwe umesoma, uwe vipi. Masikini lazima udharaulike.
Wangapi masikini wamesoma wanaranda randa mitaani kama chokoraa, wangapi wanawake wazuri masikini hawana mbele wala nyuma zaidi ya kujiuza na kuloga watu.
Mwanamke/mwanaume tajiri hata awe na sura mbaya, awe hajasoma lazima aheshimike.
Sasa wewe sura nzuri yako imekusaidiaje kukimbia umasikini? Wewe kama ni mzuri na bado ni fukara je ungekuwa mbaya si ungekuwa msukule kabisa?