Kabisa ukwel mchungu unaoumaUkweli Mchungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ukwel mchungu unaoumaUkweli Mchungu
Ahsante kwa ushuhuda huo. Ninawaombea muendelee na amani hiyo hiyo. Mwabiye binti yako huyo ninampa hongera kwa kujua nini maana ya ndoa. Endele kumtunza hakika hutajuta kumchukua huyo mama. Waache waendelee kutafuta bikira badala ya kutafuta mke mwema.Mke wangu nilimuoa kutoka kwa mwanaume mwingine ambaye waliachana baada ya tafrani kadhaa.
Tuna mwaka wa 12 sasa kwenye ndoa hatujawahi peleka kesi kwa wazee wala kumkuta na shida yeyote.
Bikra sio kigezo ni personality ya mtu tuu.
Wanaume ni wale wale we never change our attitudes. Shida ni moja kwa wanawake wa sasa wanaotaka kuingilia majukumu ya wanaume. Pale wanawake wanapo ona majukumu yamezidi ndio lawama huanzawanaume wa miaka hii ndio wanashida, ila kama utakuwa mwanaume dizaini ya magufuri hata hawatakupa shida hao viumbe.....msaidizi wako hawezi shindana na wewe..tuliza kichwa KIPIGO KIPO JUU YA MPUMBAVU..USIKUBALI UCHEZEWE UKIWA BADO KIJANA NGUVU ZIPO, PIA USIJE UKAAMINI KUNA HAKI SAWA HAPA DUNIANI KATI YA ME & KE
Mwanaume jitambue acha uoga...simama kwa zamu yako
embu muulize, yeye ni bikira?
Wanaume wote ni Mabikira hata kama wanafanya mapenzi kila siku.Nimeacha kusoma pale tu ulipoandika kuwashauri watoto wenzako waoe "wenye bikra".
Bikra anaonekana machoni? Wakati unamtafuta huyo bikra, wewe ni bikra?
Upuuzi ni nini?Kwa mara ya kwanza nimesoma upuuzi mpaka mwisho
Swali la msingi sanaNi kweli kabisa. Jiulize kwanini huyo mzeebaba alisepa? hakuna mwanaume anamkimbia au kumtosa mtoto mkali, mwenye heshima n mnyenyekevu mwenye kauli nzuri na aliyelelewa vyema.
Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Hili andiko mkuu kwanini usichukulie PhD pale Ustawi College?Wakuu habari zenu.
Mimi ni mfuasi wa wanawake walioolewa bikra, na wanawake wenye bikra mpaka hivi leo. Nina sababu zangu nyeti za kuwapenda na kuwapigia chapuo wanawake hao, pia nawashauri vijana waodgo na wakubwa ambao mpaka sasa hamjaoa, Basi oeni wanawake wenye bikra. Usije ukajichanganya wala ukalaghaiwa na maneno ya wanawake malaya. Biblia inasema; Mwanamke malaya midomo yake yadondoza asali. Yaani wana maneno matatu ya kukurubuni, nawe kwa ujinga na ushamba unaingia mkenge. Usikubali.
Sasa nije kwenye mada yetu ya Single mothers ni sikio la kufa.
Kwanza nianze kwa kusema 95% ya single Mother ni sikio la kufa, vichomi, viungulizi, na wauaji. 5% Wapo vizuri, tena kwenye hiyo 5% 3% ni wale waliofiwa na waume zao au waliowazalisha. 2% ndio ambao ni singele mother waliotalakiana na waume zao au waliowazalisha na wakawa na tabia njema. Kwa waliosoma Hesabu za probability mtaungana na mimi kuwa hakuna uwezekano wa kumuoa single mother mzuri na kama uwezekano upo basi ni mdogo.
Usumbufu wa Single mother unaanzia hapa
1. Mtoto wake ndio kipaombele.
Single mother wote duniani 95% watoto wao waliokuletea ndio kipaombele namba moja, yeye namba mbili, wazazi wake namba tatu, kisha wewe ndio unashika namba nne. Single mother wengi 95% wanataka wewe usiye baba wa mtoto ubebe jukumu lisilokuhusu, Yaani umlee mtoto wa mwanaume mwingine, na usipofanya hivyo utaingia kwenye uhasama, migogoro, vita, na ikiwezekana kukudhuru kisaikolojia. Wao humtumia mtoto kama kinga na uthibitisho wa mapenzi yako kwao. Jambo ambalo wanaume wengi 90% hatuwezi.
Kumbuka mtoto huyu huyu baadaye anaweza kuwa kitanzi kwako.
2. MAHUSIANO NA MZAZI MWENZAKE
Kisheria na kimila huwezi vunja mahusiano ya Mke wako aliye-single mother na mzazi mwenzake, hiyo haiwezekani. Itawezekana tuu endapo Mwanaume(?huyo mzazi mwenza) hatakuwa na habari naye. Yaani kaamua kumtelekeza. Itawezakana kama mzazi mwenzake amekufa, Pia, itawezekana endapo uchumi wako ni mkubwa mara mia moja ya mzazi aliyemzalisha. Vinginevyo utaambulia maumivu. Mwanzoni ataonyesha kujificha lakini kadiri siku zinavyoenda ataanza kukujibu kuwa huyo ni mzazi mwenzake hawajadili mapenzi bali wanajadili masuala ya mtoto.
Wanaumr erngi 90% hatupo tayari kuona majadiliano yoyote yale, yawe ya mtoto, sijui ya nini baina ya wake tuliowaoa na wanaume wengine hasa waliowahi kuwa kimapenzi na wake zetu.
3. KUTIMIZA RATIBA
Single mother wengi huolewa ili kutimiza ratiba na sio mapenzi ya kweli. Wengi ni vichomi, vigagula, tena upate wale wenye umri kuanzia miaka 30 wengi 90% washanusa kwenye milango ya waganga wa kienyeji kama sio kununua uchawi kabisa, Wengi wana chale miilini mwao. Usishangae kukuta chale kwenye makalio, katikati ya maziwa, juu ya kiuno n.k.
Hawana Munkari wa ndoa, ukifika nyumbani wanakereka, wao hupenda kuishi wenyewe na watoto wao.
4. WENGI HUSUBIRI WATOTO WAKUE
Single mother wengi hujifanya wavumilivu, huvumilia uwepo wa waume zao ndani ya nyumba japo hawapendi ukiwepo nyumbani. Hufanya hivi wakisubiria watoto wakue kue mpaka miaka 20 walau, tena husubiri mtoto akimaliza chuo na kupata kazi na hapo ndipo utaonja joto ya jiwe. Ujeuri unaanza, kiburi, dharau, na umalaya unapamba moto, wanajua huwezi kuwafanya chochote, ukiwazingua wanakimbia kwa watoto wao maana tayari wanakazi, tena usiombe mtoto wa nje ndio akawa na mafanikio mbona utaisoma namba.
Wengi wakifika muda huu hudai talaka kivyovyote. Huwababaishi.
90% ya single mother wapo kimaslahi, hawana mapenzi ya kweli kwa waume zao. Wanachokifanya ni kuwarubuni ili wapate pakuishi na kusubiri mtoto wake wa nje akue. Akishakua hana wasiwasi watoto wako anajua anauwezo wa kukuachia hapo akaondoka kwani hutaweza kuwafukuza.
Unapooa single mother usifikirie tuu habari ya mzazi mwenzake bali fikiria hata kipindi cha uzee wako. Single mother wengi 90% husumbua uzeeni hasa watoto wakishakuwa na maisha fulani ya kujitegemea.
Nimalize kwa kushauri;
Usioe mwanamke asiye na bikra. Usioe mwanamke ambaye ni masikini. Hutaki acha hakuna anayekulazimisha. Single mother 95% ni sumu. na sumu haionjwi
Nawasilisha
Ekm hvy hitapata wa kumuoa maana unataka mabikra na asilimia kubwa ya hao mabikra ni maskini na watoto wa maisha ya kawaida t, hvy km unataka tajiri kubaliana na yote hata akiwa c single Maza Ila co bikra km wapo ni wachacheWakuu habari zenu.
Mimi ni mfuasi wa wanawake walioolewa bikra, na wanawake wenye bikra mpaka hivi leo. Nina sababu zangu nyeti za kuwapenda na kuwapigia chapuo wanawake hao, pia nawashauri vijana waodgo na wakubwa ambao mpaka sasa hamjaoa, Basi oeni wanawake wenye bikra. Usije ukajichanganya wala ukalaghaiwa na maneno ya wanawake malaya. Biblia inasema; Mwanamke malaya midomo yake yadondoza asali. Yaani wana maneno matatu ya kukurubuni, nawe kwa ujinga na ushamba unaingia mkenge. Usikubali.
Sasa nije kwenye mada yetu ya Single mothers ni sikio la kufa.
Kwanza nianze kwa kusema 95% ya single Mother ni sikio la kufa, vichomi, viungulizi, na wauaji. 5% Wapo vizuri, tena kwenye hiyo 5% 3% ni wale waliofiwa na waume zao au waliowazalisha. 2% ndio ambao ni singele mother waliotalakiana na waume zao au waliowazalisha na wakawa na tabia njema. Kwa waliosoma Hesabu za probability mtaungana na mimi kuwa hakuna uwezekano wa kumuoa single mother mzuri na kama uwezekano upo basi ni mdogo.
Usumbufu wa Single mother unaanzia hapa
1. Mtoto wake ndio kipaombele.
Single mother wote duniani 95% watoto wao waliokuletea ndio kipaombele namba moja, yeye namba mbili, wazazi wake namba tatu, kisha wewe ndio unashika namba nne. Single mother wengi 95% wanataka wewe usiye baba wa mtoto ubebe jukumu lisilokuhusu, Yaani umlee mtoto wa mwanaume mwingine, na usipofanya hivyo utaingia kwenye uhasama, migogoro, vita, na ikiwezekana kukudhuru kisaikolojia. Wao humtumia mtoto kama kinga na uthibitisho wa mapenzi yako kwao. Jambo ambalo wanaume wengi 90% hatuwezi.
Kumbuka mtoto huyu huyu baadaye anaweza kuwa kitanzi kwako.
2. MAHUSIANO NA MZAZI MWENZAKE
Kisheria na kimila huwezi vunja mahusiano ya Mke wako aliye-single mother na mzazi mwenzake, hiyo haiwezekani. Itawezekana tuu endapo Mwanaume(?huyo mzazi mwenza) hatakuwa na habari naye. Yaani kaamua kumtelekeza. Itawezakana kama mzazi mwenzake amekufa, Pia, itawezekana endapo uchumi wako ni mkubwa mara mia moja ya mzazi aliyemzalisha. Vinginevyo utaambulia maumivu. Mwanzoni ataonyesha kujificha lakini kadiri siku zinavyoenda ataanza kukujibu kuwa huyo ni mzazi mwenzake hawajadili mapenzi bali wanajadili masuala ya mtoto.
Wanaumr erngi 90% hatupo tayari kuona majadiliano yoyote yale, yawe ya mtoto, sijui ya nini baina ya wake tuliowaoa na wanaume wengine hasa waliowahi kuwa kimapenzi na wake zetu.
3. KUTIMIZA RATIBA
Single mother wengi huolewa ili kutimiza ratiba na sio mapenzi ya kweli. Wengi ni vichomi, vigagula, tena upate wale wenye umri kuanzia miaka 30 wengi 90% washanusa kwenye milango ya waganga wa kienyeji kama sio kununua uchawi kabisa, Wengi wana chale miilini mwao. Usishangae kukuta chale kwenye makalio, katikati ya maziwa, juu ya kiuno n.k.
Hawana Munkari wa ndoa, ukifika nyumbani wanakereka, wao hupenda kuishi wenyewe na watoto wao.
4. WENGI HUSUBIRI WATOTO WAKUE
Single mother wengi hujifanya wavumilivu, huvumilia uwepo wa waume zao ndani ya nyumba japo hawapendi ukiwepo nyumbani. Hufanya hivi wakisubiria watoto wakue kue mpaka miaka 20 walau, tena husubiri mtoto akimaliza chuo na kupata kazi na hapo ndipo utaonja joto ya jiwe. Ujeuri unaanza, kiburi, dharau, na umalaya unapamba moto, wanajua huwezi kuwafanya chochote, ukiwazingua wanakimbia kwa watoto wao maana tayari wanakazi, tena usiombe mtoto wa nje ndio akawa na mafanikio mbona utaisoma namba.
Wengi wakifika muda huu hudai talaka kivyovyote. Huwababaishi.
90% ya single mother wapo kimaslahi, hawana mapenzi ya kweli kwa waume zao. Wanachokifanya ni kuwarubuni ili wapate pakuishi na kusubiri mtoto wake wa nje akue. Akishakua hana wasiwasi watoto wako anajua anauwezo wa kukuachia hapo akaondoka kwani hutaweza kuwafukuza.
Unapooa single mother usifikirie tuu habari ya mzazi mwenzake bali fikiria hata kipindi cha uzee wako. Single mother wengi 90% husumbua uzeeni hasa watoto wakishakuwa na maisha fulani ya kujitegemea.
Nimalize kwa kushauri;
Usioe mwanamke asiye na bikra. Usioe mwanamke ambaye ni masikini. Hutaki acha hakuna anayekulazimisha. Single mother 95% ni sumu. na sumu haionjwi
Nawasilisha
Aisee ,hii deep sanaYou are talking about widows (wajane). Big difference.
On marrying a single mother, the disadvantages outweigh the advantages. It is as simple and straightforward as that.
The fact is, women don't bring anything to the table like they used to in the past. In the 70s to 90s, it still made sense to marry a single mother for the simple reason that they brought ALOT to the table. It was cheap to raise kids, women treated husbands like kings, and everyone was happy with their gender roles. So, at that time, a woman with maybe one kid was still acceptable when it's all said and done. Nowadays, life is different and things have changed. This has forced men to become smarter with their resources.
Today, women can't cook, can't clean, sex is cheap and can be outsourced, there are undefined gender roles etc. So, the modern woman doesn't really add any value to a man's life exceptcompanionshipand children. When she comes with baggage (mtoto wake), the deal becomes unacceptable. The only woman with any value left is a childless and young woman in her prime (below 25 years). The rest don't offer any value proposition to a man for a long-term relationship.
Kujifariji tu,kuoa bikra raha na ego pia,sasa huyo ambaye ni malaya(asiye bikra) utajuaje kafika kwako wakati ashatembea sanaUkioa bikra bado una mtihani akibahatika kuonja na za wanaume wengine. Kisha anakiwa very poor kwenye relations. Ni Bora uoe mwanamke aliyekuja kwako sababu "kafika"
Hebu taja hasara za kuoa bikraKila malaya aliwahi kuwa bikra..
Binafsi ninaweza kusema zipo faida za kuoa bikra lakini.. Kuna hasara pia za kuwa na mwanamke bikra.
Huu ni uandishi wa kijana na bado ana akili za ujana hajakua kifikra bado (hata kama atakuwa na umri mkubwa). Inavyoonekana amewachezea wasichana wengi na kuwaacha, sasa kasikia wanaolewa anaamua kuanza fitina. kwa ujumla ameandika uzi wake akiongozwa na GHUBU.Mwanaume mmoja akaacha shughuli zake kisha eti akakalisha 'makaghare' chini, akaanza kuandika mambo yasiyo muhusu, mbaya zaidi ni kuhusu wanawake..!!