Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Wahenga tu ndio wanajua maana ya hilo neno!
Kwa kukusaidia kijana wa leo hili ni neno lililotumika sana miaka ya 90+ kwenye nyimbo mbalimbali ni limwanamke liliozalishwa na kuachwa!
Najua maana yake. Nataka nione kama tafsiri uliyo nayo ni sahihi maana unaitumia sehemu isiyohisika.
 
Usithubu Kuwadharau Wanawake...fikiria kuhusu Mama yako Kwanza, Uliwahi Kuuliza Kama Alivyoolewa Alikuwa na hiyo bikra?...kuhusu tabia za Ajabu ni hulka ya mtu, sio kila single mother ni mkengeukaji..zipo Sababu nyingi Zilizowafikisha hapo, mimi ni mwanaume mwenzako lakini sikuungi mkono kwa 100%. Stop Abusing woman, baraka zetu zipo kwenye nyayo zao.
 
Mheshimiwa!! Mbona hii ni chai isiyo na tangawizi, inawezekana vipi wewe ujue halafu muhusika asijue!!?
Siku zote wanaojua mengi yaliyojificha kuhusu mtu fulani ni watu wa pembeni. Muhusika kujua ni ngumu sana labda kama kuna mtu anaweza kuja kukustua kitu ambacho ni kigumu sana.
 
Umekosa busara.
Si kweli.
Endelea na kutafuta bikra,
Nilishamuoa tafuta kingine cha kuandika.
na wanao wa kike waolewe wakiwa bikra
Sina i got 4 boys na wananitosha!
kama ulivyomkuta mama yao.
Haya sasa ni matusi na huenda hiki ndio ulichokuwa unakitafuta.
Let me alert you, ukichagua ku-argue na mimi kwa hoja twende hivyo hivyo mimi ni mtu poa sana namiliki vijiheshima flani vya kinafiki.

Lakini ukichagua ufala, uswahili, upumbavu, ukubi, unungayembe kama ulionao na vyote vya mtindo huu aiseee nilizaliwa ndani yake hatutafika mbali.
Please have some respect
 
Si kweli.

Nilishamuoa tafuta kingine cha kuandika.

Sina i got 4 boys na wananitosha!

Haya sasa ni matusi na huenda hiki ndio ulichokuwa unakitafuta.
Let me alert you, ukichagua ku-argue na mimi kwa hoja twende hivyo hivyo mimi ni mtu poa sana namiliki vijiheshima flani vya kinafiki.

Lakini ukichagua ufala, uswahili, upumbavu, ukubi, unungayembe kama ulionao na vyote vya mtindo huu aiseee nilizaliwa ndani yake hatutafika mbali.
Please have some respect
Sawa.
 
Wakuu habari zenu.

Mimi ni mfuasi wa wanawake walioolewa bikra, na wanawake wenye bikra mpaka hivi leo. Nina sababu zangu nyeti za kuwapenda na kuwapigia chapuo wanawake hao, pia nawashauri vijana waodgo na wakubwa ambao mpaka sasa hamjaoa, Basi oeni wanawake wenye bikra. Usije ukajichanganya wala ukalaghaiwa na maneno ya wanawake malaya. Biblia inasema; Mwanamke malaya midomo yake yadondoza asali. Yaani wana maneno matatu ya kukurubuni, nawe kwa ujinga na ushamba unaingia mkenge. Usikubali.

Sasa nije kwenye mada yetu ya Single mothers ni sikio la kufa.

Kwanza nianze kwa kusema 95% ya single Mother ni sikio la kufa, vichomi, viungulizi, na wauaji. 5% Wapo vizuri, tena kwenye hiyo 5% 3% ni wale waliofiwa na waume zao au waliowazalisha. 2% ndio ambao ni singele mother waliotalakiana na waume zao au waliowazalisha na wakawa na tabia njema. Kwa waliosoma Hesabu za probability mtaungana na mimi kuwa hakuna uwezekano wa kumuoa single mother mzuri na kama uwezekano upo basi ni mdogo.

Usumbufu wa Single mother unaanzia hapa

1. Mtoto wake ndio kipaombele.
Single mother wote duniani 95% watoto wao waliokuletea ndio kipaombele namba moja, yeye namba mbili, wazazi wake namba tatu, kisha wewe ndio unashika namba nne. Single mother wengi 95% wanataka wewe usiye baba wa mtoto ubebe jukumu lisilokuhusu, Yaani umlee mtoto wa mwanaume mwingine, na usipofanya hivyo utaingia kwenye uhasama, migogoro, vita, na ikiwezekana kukudhuru kisaikolojia. Wao humtumia mtoto kama kinga na uthibitisho wa mapenzi yako kwao. Jambo ambalo wanaume wengi 90% hatuwezi.

Kumbuka mtoto huyu huyu baadaye anaweza kuwa kitanzi kwako.

2. MAHUSIANO NA MZAZI MWENZAKE
Kisheria na kimila huwezi vunja mahusiano ya Mke wako aliye-single mother na mzazi mwenzake, hiyo haiwezekani. Itawezekana tuu endapo Mwanaume(?huyo mzazi mwenza) hatakuwa na habari naye. Yaani kaamua kumtelekeza. Itawezakana kama mzazi mwenzake amekufa, Pia, itawezekana endapo uchumi wako ni mkubwa mara mia moja ya mzazi aliyemzalisha. Vinginevyo utaambulia maumivu. Mwanzoni ataonyesha kujificha lakini kadiri siku zinavyoenda ataanza kukujibu kuwa huyo ni mzazi mwenzake hawajadili mapenzi bali wanajadili masuala ya mtoto.

Wanaumr erngi 90% hatupo tayari kuona majadiliano yoyote yale, yawe ya mtoto, sijui ya nini baina ya wake tuliowaoa na wanaume wengine hasa waliowahi kuwa kimapenzi na wake zetu.

3. KUTIMIZA RATIBA
Single mother wengi huolewa ili kutimiza ratiba na sio mapenzi ya kweli. Wengi ni vichomi, vigagula, tena upate wale wenye umri kuanzia miaka 30 wengi 90% washanusa kwenye milango ya waganga wa kienyeji kama sio kununua uchawi kabisa, Wengi wana chale miilini mwao. Usishangae kukuta chale kwenye makalio, katikati ya maziwa, juu ya kiuno n.k.

Hawana Munkari wa ndoa, ukifika nyumbani wanakereka, wao hupenda kuishi wenyewe na watoto wao.

4. WENGI HUSUBIRI WATOTO WAKUE
Single mother wengi hujifanya wavumilivu, huvumilia uwepo wa waume zao ndani ya nyumba japo hawapendi ukiwepo nyumbani. Hufanya hivi wakisubiria watoto wakue kue mpaka miaka 20 walau, tena husubiri mtoto akimaliza chuo na kupata kazi na hapo ndipo utaonja joto ya jiwe. Ujeuri unaanza, kiburi, dharau, na umalaya unapamba moto, wanajua huwezi kuwafanya chochote, ukiwazingua wanakimbia kwa watoto wao maana tayari wanakazi, tena usiombe mtoto wa nje ndio akawa na mafanikio mbona utaisoma namba.

Wengi wakifika muda huu hudai talaka kivyovyote. Huwababaishi.

90% ya single mother wapo kimaslahi, hawana mapenzi ya kweli kwa waume zao. Wanachokifanya ni kuwarubuni ili wapate pakuishi na kusubiri mtoto wake wa nje akue. Akishakua hana wasiwasi watoto wako anajua anauwezo wa kukuachia hapo akaondoka kwani hutaweza kuwafukuza.

Unapooa single mother usifikirie tuu habari ya mzazi mwenzake bali fikiria hata kipindi cha uzee wako. Single mother wengi 90% husumbua uzeeni hasa watoto wakishakuwa na maisha fulani ya kujitegemea.

Nimalize kwa kushauri;

Usioe mwanamke asiye na bikra. Usioe mwanamke ambaye ni masikini. Hutaki acha hakuna anayekulazimisha. Single mother 95% ni sumu. na sumu haionjwi

Nawasilisha
Sikupingi mkuu,unayoongea 90% uko sahihi sana,cha muhimu ni kuishi nae kwa akili,tena akili ya ziada,huwezi jua hatari yao mpaka yakukute...
 
Sikupingi mkuu,unayoongea 90% uko sahihi sana,cha muhimu ni kuishi nae kwa akili,tena akili ya ziada,huwezi jua hatari yao mpaka yakukute...
Pamoja na kwamba si vyema kutumia mifano micheche kutoa general conclusion hususani kwenye mada zinazohamsha hisia Kali Kama hii, lakini bana kwenye ukweli acha tuseme.

Wachangiaji wengi wamemshambulia mleta mada, lakini mleta mada ana lengo zuri sana la kuwasaidia wanaume.

Mimi ni shuuda wa hiki anachokisema mleta mada.

Nina kaka yangu ambaye kiumri Yuko kwenye mid-thirties, mwaka 2018 alioa mwana mama mmoja ambaye tayari alikuwa ana watoto wawili kutoka kwa wanaume tofauti.

Bro ameishi na yule mwanamke zaidi ya mwaka bila hata kuwepo kwa dalili za mimba, mpaka bro ikabidi aulize tatizo ni Nini, yule mwanamama akasema hata yeye hajui kwanini hashiki mimba, basi bro akapuuzia tu akiamini ipo siku tu mkewe atashika mimba.

Kumbe bwana yule mwanamke kwa kipindi chote alichokuwa akiishi na bro, alikuwa anatumia vidonge vya kuzuia mimba.

Bro alikuja kugundua hilo siku alipomfuma akiwasiliana na ndugu yake(mwanamke) akimwambia kuwa yeye hayuko tayari tena kuzalishwa na mwanaume wa tatu, na kama siku akiamua kuzaa basi atazalishwa na miongoni mwa wale wanaume wake wa mwanzo(wazazi wenza) na sio mume wake(bro wangu).

Mind you, hapo anatamka maneno hayo wakati huo yeye pamoja na hao watoto wake wanatunzwa na bro, yaani kuanzia chakula mpka kuwasomesha bro ndio alishika hilo jukumu na hakuna alichokihitaji ambacho kipo ndani ya uwezo alikikosa kutoka kwa bro.

Sikuwahi kumuona kaka yangu akilia lakini siku hiyo alidondosha machozi kwa uchungu.

Na hapo ndipo unapokuja kuona kuwa, kuoa single mother ni kuoa mke wa mtu. Her first baby daddy will always come first before you.
 
Pamoja na kwamba si vyema kutumia mifano micheche kutoa general conclusion hususani kwenye mada zinazohamsha hisia Kali Kama hii, lakini bana kwenye ukweli acha tuseme.

Wachangiaji wengi wamemshambulia mleta mada, lakini mleta mada ana lengo zuri sana la kuwasaidia wanaume.

Mimi ni shuuda wa hiki anachokisema mleta mada.

Nina kaka yangu ambaye kiumri Yuko kwenye mid-thirties, mwaka 2018 alioa mwana mama mmoja ambaye tayari alikuwa ana watoto wawili kutoka kwa wanaume tofauti.

Bro ameishi na yule mwanamke zaidi ya mwaka bila hata kuwepo kwa dalili za mimba, mpaka bro ikabidi aulize tatizo ni Nini, yule mwanamama akasema hata yeye hajui kwanini hashiki mimba, basi bro akapuuzia tu akiamini ipo siku tu mkewe atashika mimba.

Kumbe bwana yule mwanamke kwa kipindi chote alichokuwa akiishi na bro, alikuwa anatumia vidonge vya kuzuia mimba.

Bro alikuja kugundua hilo siku alipomfuma akiwasiliana na ndugu yake(mwanamke) akimwambia kuwa yeye hayuko tayari tena kuzalishwa na mwanaume wa tatu, na kama siku akiamua kuzaa basi atazalishwa na miongoni mwa wale wanaume wake wa mwanzo(wazazi wenza) na sio mume wake(bro wangu).

Mind you, hapo anatamka maneno hayo wakati huo yeye pamoja na hao watoto wake wanatunzwa na bro, yaani kuanzia chakula mpka kuwasomesha bro ndio alishika hilo jukumu na hakuna alichokihitaji ambacho kipo ndani ya uwezo alikikosa kutoka kwa bro.

Sikuwahi kumuona kaka yangu akilia lakini siku hiyo alidondosha machozi kwa uchungu.

Na hapo ndipo unapokuja kuona kuwa, kuoa single mother ni kuoa mke wa mtu. Her first baby daddy will always come first before you.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kaka ako kiboko..anaoa single mother mwenye watoto wawili tena baba tofauti [emoji3][emoji3]
 
Na hapo ndipo unapokuja kuona kuwa, kuoa single mother ni kuoa mke wa mtu. Her first baby daddy will always come first before you.

Eeeh nilikumiss jamani mweeh.

So hapo mwishoni ni sawa nikisema pia kuwa "kuolewa na single dad ni kuolewa na mume wa mtu. His first baby momma will always come first before you." Au huku kiumeni hali inabadilika?
 
Back
Top Bottom