Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

kama mkeo alikubali kukuvulia baada ya ndoa, safi sana, karibu kwenye chama, kama alikuvulia kabla ya ndoa, pole sana na uwe makini, hilo ni garasa, ulilihurumia na litakupa shida muda si mrefu.
 
Hatujakataa na tushamuelewa ila kutokua na kingine kila siku habari ni hiyo hiyo inatia shaka uelewa wake. Anakua hana tofauti na Al shabab. Ubongo ushakua brain washed umejazwa kujilipua tu in the name of Jihad wakiamini wanafanya kazi ya Mungu kumbe hamna kitu. Ndio sawa na huyu kaka.
Hivi al Shabaab tumekukosea nini mpaka ututaje hapa?
 
Sa itakuwaje? Yote maisha tu...kwani hii dunia ni yetu basii.....
 
oeni bikra... we are being blackmailed.
Screenshot_2021-01-03-09-39-00.jpg
 
wagalilaya mpo? mnakubaliana na jamaa kumvua binti nguo kabla ya ndoa takatifu na kuidhalilisha familia? Tupia basi ka audio ulivyokuwa unaongea, tuone kama umefika top levo yetu wale tulio zitindua baada ya sacrament.
 
katika maisha unatakiwa kujifunza kushukuru kile ulichopata, lkn kamwe usidhiaki kile alichopata au kukosa mwingine maana wote hatujui siku wala saa. Upendo kwenu wanawake na mabinti wote mnaojieshimu na wenye utii, haijalishi 'mliteleza' au 'hamkuteleza' katika maisha yenu.
 
Kila mtu aoe amtakae...Kama Ni single mother umependea uzuri..Sawa..

Kama.ana bikra na ndoa sababu OA..
.Kama mwanamke umependea Sura mbaya kwamba hatotongozwa oA.

Kama umependea Wezere tabia mtarekebishana
Mzee Abduli kashapewa za uso
 
Wakuu habari zenu.

Mimi ni mfuasi wa wanawake walioolewa bikra, na wanawake wenye bikra mpaka hivi leo. Nina sababu zangu nyeti za kuwapenda na kuwapigia chapuo wanawake hao, pia nawashauri vijana waodgo na wakubwa ambao mpaka sasa hamjaoa, Basi oeni wanawake wenye bikra. Usije ukajichanganya wala ukalaghaiwa na maneno ya wanawake malaya. Biblia inasema; Mwanamke malaya midomo yake yadondoza asali. Yaani wana maneno matatu ya kukurubuni, nawe kwa ujinga na ushamba unaingia mkenge. Usikubali.

Sasa nije kwenye mada yetu ya Single mothers ni sikio la kufa.

Kwanza nianze kwa kusema 95% ya single Mother ni sikio la kufa, vichomi, viungulizi, na wauaji. 5% Wapo vizuri, tena kwenye hiyo 5% 3% ni wale waliofiwa na waume zao au waliowazalisha. 2% ndio ambao ni singele mother waliotalakiana na waume zao au waliowazalisha na wakawa na tabia njema. Kwa waliosoma Hesabu za probability mtaungana na mimi kuwa hakuna uwezekano wa kumuoa single mother mzuri na kama uwezekano upo basi ni mdogo.

Usumbufu wa Single mother unaanzia hapa

1. Mtoto wake ndio kipaombele.
Single mother wote duniani 95% watoto wao waliokuletea ndio kipaombele namba moja, yeye namba mbili, wazazi wake namba tatu, kisha wewe ndio unashika namba nne. Single mother wengi 95% wanataka wewe usiye baba wa mtoto ubebe jukumu lisilokuhusu, Yaani umlee mtoto wa mwanaume mwingine, na usipofanya hivyo utaingia kwenye uhasama, migogoro, vita, na ikiwezekana kukudhuru kisaikolojia. Wao humtumia mtoto kama kinga na uthibitisho wa mapenzi yako kwao. Jambo ambalo wanaume wengi 90% hatuwezi.

Kumbuka mtoto huyu huyu baadaye anaweza kuwa kitanzi kwako.

2. MAHUSIANO NA MZAZI MWENZAKE
Kisheria na kimila huwezi vunja mahusiano ya Mke wako aliye-single mother na mzazi mwenzake, hiyo haiwezekani. Itawezekana tuu endapo Mwanaume(?huyo mzazi mwenza) hatakuwa na habari naye. Yaani kaamua kumtelekeza. Itawezakana kama mzazi mwenzake amekufa, Pia, itawezekana endapo uchumi wako ni mkubwa mara mia moja ya mzazi aliyemzalisha. Vinginevyo utaambulia maumivu. Mwanzoni ataonyesha kujificha lakini kadiri siku zinavyoenda ataanza kukujibu kuwa huyo ni mzazi mwenzake hawajadili mapenzi bali wanajadili masuala ya mtoto.

Wanaumr erngi 90% hatupo tayari kuona majadiliano yoyote yale, yawe ya mtoto, sijui ya nini baina ya wake tuliowaoa na wanaume wengine hasa waliowahi kuwa kimapenzi na wake zetu.

3. KUTIMIZA RATIBA
Single mother wengi huolewa ili kutimiza ratiba na sio mapenzi ya kweli. Wengi ni vichomi, vigagula, tena upate wale wenye umri kuanzia miaka 30 wengi 90% washanusa kwenye milango ya waganga wa kienyeji kama sio kununua uchawi kabisa, Wengi wana chale miilini mwao. Usishangae kukuta chale kwenye makalio, katikati ya maziwa, juu ya kiuno n.k.

Hawana Munkari wa ndoa, ukifika nyumbani wanakereka, wao hupenda kuishi wenyewe na watoto wao.

4. WENGI HUSUBIRI WATOTO WAKUE
Single mother wengi hujifanya wavumilivu, huvumilia uwepo wa waume zao ndani ya nyumba japo hawapendi ukiwepo nyumbani. Hufanya hivi wakisubiria watoto wakue kue mpaka miaka 20 walau, tena husubiri mtoto akimaliza chuo na kupata kazi na hapo ndipo utaonja joto ya jiwe. Ujeuri unaanza, kiburi, dharau, na umalaya unapamba moto, wanajua huwezi kuwafanya chochote, ukiwazingua wanakimbia kwa watoto wao maana tayari wanakazi, tena usiombe mtoto wa nje ndio akawa na mafanikio mbona utaisoma namba.

Wengi wakifika muda huu hudai talaka kivyovyote. Huwababaishi.

90% ya single mother wapo kimaslahi, hawana mapenzi ya kweli kwa waume zao. Wanachokifanya ni kuwarubuni ili wapate pakuishi na kusubiri mtoto wake wa nje akue. Akishakua hana wasiwasi watoto wako anajua anauwezo wa kukuachia hapo akaondoka kwani hutaweza kuwafukuza.

Unapooa single mother usifikirie tuu habari ya mzazi mwenzake bali fikiria hata kipindi cha uzee wako. Single mother wengi 90% husumbua uzeeni hasa watoto wakishakuwa na maisha fulani ya kujitegemea.

Nimalize kwa kushauri;

Usioe mwanamke asiye na bikra. Usioe mwanamke ambaye ni masikini. Hutaki acha hakuna anayekulazimisha. Single mother 95% ni sumu. na sumu haionjwi

Nawasilisha
No 4
 
Kwan ma single mother hawakuwa ma bikra, au bikra zao wote unajua zilivotolewa?, Usishangae kuwaona wakiwa single pengine waliolewa na bikra zao ila wameishia kuwa single. Shida hapo ni kujua ilikuwaje akawa single.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume mmoja akaacha shughuli zake kisha eti akakalisha 'makaghare' chini, akaanza kuandika mambo yasiyo muhusu, mbaya zaidi ni kuhusu wanawake..!!
Nasaha ni nasaha haijalishi zinamhusu nani.
 
Habari Wakuu!

Huu ndio ukweli mchungu, utake usitake. Kama hukumkuta mkeo akiwa na bikra basi tambua wazi kuwa wewe ndio mchepuko wa huyo unayemuona na kumuita mkeo.
Baadhi ya wanaume hulalamika na kuona uchungu wakisikia wake zao wanachepuka kwingine, wanachoshindwa kuelewa ni kuwa ukishaoa mwanamke asiye na bikra wewe ni mchepuko wake kwani shina kuu ni yule aliyembikiri. Na huyo mwanamke ataendelea kutoa matawi/michepuko kadiri ya siku zinavyozidi kwenda.

Kwani nini uwe mchepuko wakati wanawake wenye bikra wamejaa tele?

Kijana nakushauri kama hutaki kuwa miongoni mwa wanaoteseka ndani ya ndoa hakikisha unaoa mwanamke bikra ambaye wewe ndiye utakuwa shina kuu na sio mchepuko/tawi. Hii itakusaidia kuwa na amani ndani ya ndoa.

Kwa waliooa waendelee na ndoa zao, wapambane na hali zao.

Usioe mwanamke asiye na bikra kisha njoo unishukuru

Jokajeusi
 
Back
Top Bottom