Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
- Thread starter
- #3,821
hahaaaaaaaaaaa eti alikua bikira thubutuuuu.....ajitunze siku zote afu aje akupe wewe kabla ya ndoa kwani wewe nani???kama alikua anajitunza asingekupa wewe mpaka ndoani, umeoa mzinifu kama ulivyo wewe! ..ulikua tayari kutest kabla ya ndoa ila unapiga kelele watu waoe bikira,zitoke wapi kama mnazini kabla ya ndoa?? again huna moral authority ya kutuambia sisi lolote .... POTEA HUKO!
Mimi sikuambii wewe nawaambia vijana wa kiume na wengi wananieelewa wanakuja PM. Wewe endelea na kingereza chako cha kikatuni hapo