Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Haya, nikajua umepata umejikaushaSikupata wala sijapata ujumbe wako wowote [emoji134]
Nikabaki tu na mawazo mengi kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya, nikajua umepata umejikaushaSikupata wala sijapata ujumbe wako wowote [emoji134]
Nikabaki tu na mawazo mengi kichwani.
Wala sijapata mweeeHaya, nikajua umepata umejikausha
Kunywa kinywaji chochote dada nitalipaHapa umenena[emoji122]
Cha kushangaza zaidi,mtu anaomba Mungu ampe binti kwenye hofu ya Mungu..born again lady.
Mungu alivyo wa upendo anampa,Sasa baada ya siku kadhaa anaanza mwita gheto ama sehemu ambazo ni mazingira mazuri ya dhambi kuwavuta.
Binti anakataa kwenda huko akijua kabisa nikienda kifuatacho ni hiki..
Kijana anaanza sema oh binti mwenyewe mbona Sasa haji!
Sasa najiuliza,alitaka hiyo hofu ya Mungu imsaidie wapi??
Anasema nataka mtu anayeshika amri za Mungu.
Anampata afu anasema tena oooh mitambo sijui tujaribu!
Sasa mwenzio ameshika amri halafu unataka aachie tena[emoji134]!
Wanaume bado sijapata kuwaelewa[emoji119]
🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂Mkuu nyie mnanyoosha mguu
🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂🤸♂Miguu
Umepotea sanaa? Miss u moaaahNilikuwa naenda kukomenti hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi watu wananshangaa khaaah, wallah JF idumu milele.Yani unakuta jitu zima na miaka yake 25 eti linabikra...natamani hata nilibabue makofii
Hapa nakazia. Nna uhakika nalo.Kwani bikra hana mahusiano?
Bikra hana Ex?
Mbona ndio anaweza ongoza kwa maex na experience ya mahusiano
Tupo tele hapa. Mbona huwa mna assume sana vituMwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
We unazungumzia kumgusa tu? wengine mpaka tuone na kitumbo juuMwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
any woman would love to receive it too sio tu mwanaumeVirginity is the best wedding Gift, Any man would receive from his newly wedded wife.
But lately there is no is nothing like that any longer because it will have already been given out as
Birthday Gift, Token of appreciation, Job assurance, Church collection, Examination making schemes , Taxi Fare.......
Nadhani kinachowafanya wanaume kutokuwa na subira ni ile hali ya kutaka kujua ukweli wa mambo kabla hajaoa mwanamke.Mwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
Bora wewe umekuwa honest. Mwanamke honest ni bora zaidi kuliko ambaye anakalia kutetea upuuzi wa kupoteza bikra katika mahusiano ya Ujana maji ya moto.Virginity is a woman's glory i regret opening my legs to my ex boyfriend if i could have waited a bit my husband would be more proud of me than now
Huwezi kuvimba kabisa. Yaan ni kukaa kwa kutulia tu maisha yaende. Maana hakuna maajabu umefanya. In short its hard to be proud of her mbele ya watu wengine. Kama unaenjoy, basi utabaki unaenjoy ndani kwako tu kimya kimya (which is Good)Ongeeni yoote mtakayo,,, jiteteeni vyoote mjuavyo ila ukweli mchungu ni kwamba, hakuna mwanaume anayependa kuoa mtumbaa,,,, yeess mtumbaa.
Ni busara na hekma tu za kibinaadamu zinahitajika kutumika kumuoa mwanamke asiyekua na bikira. Japo ni kweli bikira siyo guarantee ya mke kutokuchepuka au ndoa kudumu,,, ila kuwa wa kwanza kuna raha yake tusidanganyane hapaaa.
Wanaume wengi huwa tunajivunia kukata utepe kwanza inaleta heshma ila hainifanyi kumdharau mwnamke asiye na bikira.
Nimalize kwa kutoa tu mfano rahisi kwenu wanaume ,,, Hivi kwa mfano umempenda binti wa watu umejitoa kwa hali na mali mpaka ukachukua maamuzi ya kumsitiri ( kumuoa ) pamoja na kwamba hana bikira,,,,, halafu unadunda nae kitaa unaviimbaaa mwenyew then mtaa wa pili hapo or anajitokeza mwamba from nowhere huko anakusanifu "Acha kuvimba na huyo mwnamke maana mie ndo niliyekufungulia njia hapo,,, naujua mwili wa mkeo mpk maumbile yake".... ofcourse inakera sana kama siyo kumshusha thamani mkeo hata kupelekea mkeo kuwa weak kwa huyo jamaa yake aliyembikiri pamoja na kwamba hawa dada zetu huwa hawaishi kujitutumua na vijimaneno vya hapa na pale ila ukweli ndo huo wazee,,,, BIKIRA ina raha yakeee,,,, anayebishaa aandamane.....!!!!
Nipo kwenye sherehe mkuu tangu jana
Mwanaume ambaye yuko tayari kutomgusa mwanamke hadi amuoe anyooshe mkono juu..
Virginity is the best wedding Gift, Any man would receive from his newly wedded wife.
But lately there is no is nothing like that any longer because it will have already been given out as
Birthday Gift, Token of appreciation, Job assurance, Church collection, Examination making schemes , Taxi Fare.......