Aliyewambia hallelujah ni neno la kidini nani hallelujah ni kiebrania maana yake asifiwe au sifu au ni ishara ya kusifu au shangwe linatumika kwa mtu yeyoteHalellujah ni neno la kumtukuza mwenyezi MUNGU. Sasa huo wimbo unamtukuzaje MUNGU namna vile? Wimbo unachezwa kingono ngono tu, na mivitu ya ajabu ajabu. May be muhusika ana mungu wake anaye mtukuza, ila kama ni huyu aliyetuumba, hapana aisee.
Mkristo kaa mbali na Shetani.
Shetani lazima akemewe kwa jina la YESUACHENI MUNGU AHUKUMU MWENYEWE.
Ukumbuke kuna mkristo na MAKRISTO,Halellujah ni neno la kumtukuza mwenyezi MUNGU. Sasa huo wimbo unamtukuzaje MUNGU namna vile? Wimbo unachezwa kingono ngono tu, na mivitu ya ajabu ajabu. May be muhusika ana mungu wake anaye mtukuza, ila kama ni huyu aliyetuumba, hapana aisee.
Mkristo kaa mbali na Shetani.
Kweli atauwa huyooHalellujah maana yake nini?
Sawa tumekuelewa,ila ingekuwa ndio umetoka enzi zile kulikuwa hakuna luninga na kwa vile lugha hazipandi tungeupiga hadi makanisani...Halellujah ni neno la kumtukuza mwenyezi MUNGU. Sasa huo wimbo unamtukuzaje MUNGU namna vile? Wimbo unachezwa kingono ngono tu, na mivitu ya ajabu ajabu. May be muhusika ana mungu wake anaye mtukuza, ila kama ni huyu aliyetuumba, hapana aisee.
Mkristo kaa mbali na Shetani.
Duh!Wewe mwenyewe hilo neno ni la kimatengo?au la ki zanaki?acha kutawaliwa tena na watu waliotusumbua.Mbona huwa unamkuta dada amewekewa hogo anagegedwa anasem yesu,yesu yesu yesu hasa wachaga au jesus u r so sweet na sio mume wake?Hapo maana yake inakuwa ni nini?
Tunza hayo maneno yako mpaka siku ya kiamaItabidi nikae mbali nawew mtoa mada maaana wewe ndo SHETANI mkuu wa kwanza!!!
Acha kukariri ndugu!!! Soma ili uwe una elimu ya kile unachokiamini!!! Nyie ndo wale Wakristo wanaojinasabisha sana na Wayahudi wakati mbele ya Uyahudi Ukristo ni dini ya shetani na Yesu Kristo ni shetani!!!!Huyu agent wa lucifer lazima tumkemee