Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

Dini hazimiliki maneno... LUGHA.. say Kiarabu, Kiswahili, Kiingereza, Kimanda, ect... Na ndo maana mtu akitamka neno fulani, unaweza ukasema ni kiingereza, au Kizaramo....

Dini zinatumia lugha fulani..


!
!
Kwa hiyo unaweza kwenda msikitini na kusema hallelujah? Mfano wakisema takbir badala ya kuitikia Allah kbar unaweza kuitikia hallelujah?
 
Mbona kuna wasanii wengi Wametumia neno hilo ila kwakua kaimba mondi ndo mnasjudge msemeni na tekno na wengine wabongo tutabaki kuwa nyuma Kama kisigino
 
!
!
Kwa hiyo unaweza kwenda msikitini na kusema hallelujah? Mfano wakisema takbir badala ya kuitikia Allah kbar unaweza kuitikia hallelujah?
Kule wanatumia kiarabu... sasa kama HALELUYA ni kiarabu na linabeba maana inayokusudiwa baada kusema takbir .....NDO USEME..!!!

Muwe mnawaza nje ya box..!!!
 
ac79e673900816a880b7419ebedbf26b.jpg


Zawadi B. Lupelo

Wanajamvi salamu kwanza!

Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna lilivyotumika ni maoni yangu kwamba limetumika kimakosa katika wimbo huo ambao ni wa mapenzi hasa ukizingatia maana ya msingi ya neno ambapo huwa linatumika kwenye ibada katika kumsifu Mungu ni neno linalomaanisha "Mungu apewe sifa".

Ni neno ambalo linaenda sambamba na maneno Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo na kadhalika huko makanisani kufikia hatua ya kulitumia hili neno kwenye wimbo wa mapenzi katika muktadha wa Diamond Platnumz ni kufeli kwake katika uteuzi wa maneno.

Haiwezekani umezungukwa na mademu wapo nusu uchi unaimba Hallelujah huku ni kuitweza imani na utukufu wa Mungu.

Ni matumaini yangu wakati mwingine atakuwa makini kwenye kuchagua maneno ya kutumia ili kuhakikisha haleti mkanganyiko wowote.

I rest my case.

Zawadi B. Lupelo.

Diamond ndio wa kwanza kufanya hivyo?
 
Kuna wimbo flani wa Rick Ross anatumia hilo neno...
 
unawazunguziaje wanaoimba nyimbo hizo za kileo wakiwa wamevaa misalaba? Na hata wewe unajizungumziaje pale unapopiga dili haramau alafu ukaomba mungu akusaidie? Pambana na hali yako mjomba ungekiwa unamjua mungu hata huo wimbo usingesikiliza wacha kuangalia.
 
Kwanza mkuu unatakiwa utambue kwamba kila kitu kina sababu,
kwahiyo unaposema Mungu apewe sifa unatakiwa ujiulize "apewe sifa kwaajili gani?"
anhaa maybe kwa kukuzawadia kitu flani,

okay hata kwa diamond, unatakiwa ujiulize amesema Mungu apewe sifa kwaajili gani? ndipo jibu linakuja
'Apewe kwaajili ya kumpatia zawadi ya Mwanamke mzuri ambaye ndiye anayemsifia ndani ya huo wimbo!...'

Vilevile unatakiwa ukumbuke kwamba Mapenzi sio dhambi, na kumshukuru Mungu na kumtukuza kwa zawadi aliyokupatia pia sio dhambi.
Usipomkumbuka Mungu kwa vitu vidogo basi hata kwa vikubwa hautomshukuru..

HALELLUJAH......
Duh! Umeua sana sikuwaza kwa upande huu kabisa. Means kwamba ule wimbo Mondi anamshukuru Mungu. Aiseee Dunia imekuwa tata sana wengn tumeachwa
 
Makanisani wanaimba Hallelujah huku wanakata mauno hapo napo vp
 
ac79e673900816a880b7419ebedbf26b.jpg


Zawadi B. Lupelo

Wanajamvi salamu kwanza!

Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna lilivyotumika ni maoni yangu kwamba limetumika kimakosa katika wimbo huo ambao ni wa mapenzi hasa ukizingatia maana ya msingi ya neno ambapo huwa linatumika kwenye ibada katika kumsifu Mungu ni neno linalomaanisha "Mungu apewe sifa".

Ni neno ambalo linaenda sambamba na maneno Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo na kadhalika huko makanisani kufikia hatua ya kulitumia hili neno kwenye wimbo wa mapenzi katika muktadha wa Diamond Platnumz ni kufeli kwake katika uteuzi wa maneno.

Haiwezekani umezungukwa na mademu wapo nusu uchi unaimba Hallelujah huku ni kuitweza imani na utukufu wa Mungu.

Ni matumaini yangu wakati mwingine atakuwa makini kwenye kuchagua maneno ya kutumia ili kuhakikisha haleti mkanganyiko wowote.

I rest my case.

Zawadi B. Lupelo.
Mwenyezi Mungu amrehemu
 
Hebu niusikilize kwa Makin m sijauelewa kabisa na hata mpangilio wake wa maneno ajitahid kutunga mashairi yanayoeleweka jmn
Hamna yote tisa nyimbo hii ni very classic yaan level za ki international flani hivii nautatoboa mbali sana
 
Wabongo kazi kulialia tu kwenye kila kitu.
 
Kuna wimbo flani wa Rick Ross anatumia hilo neno...
Blowing money fast.


I think I'm Big Meech, Larry Hoover
Whipping work, hallelujah
One nation, under God
Real niggas getting money from the fucking start
 
Back
Top Bottom