Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Dini hazimiliki maneno... LUGHA.. say Kiarabu, Kiswahili, Kiingereza, Kimanda, ect... Na ndo maana mtu akitamka neno fulani, unaweza ukasema ni kiingereza, au Kizaramo....
Dini zinatumia lugha fulani..
Ni neno maalumu kwa ajili ya kuworship hiyo ndiyo asili ya neno huwezi kutumia kila sehemu
Kule wanatumia kiarabu... sasa kama HALELUYA ni kiarabu na linabeba maana inayokusudiwa baada kusema takbir .....NDO USEME..!!!!
!
Kwa hiyo unaweza kwenda msikitini na kusema hallelujah? Mfano wakisema takbir badala ya kuitikia Allah kbar unaweza kuitikia hallelujah?
Zawadi B. Lupelo
Wanajamvi salamu kwanza!
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna lilivyotumika ni maoni yangu kwamba limetumika kimakosa katika wimbo huo ambao ni wa mapenzi hasa ukizingatia maana ya msingi ya neno ambapo huwa linatumika kwenye ibada katika kumsifu Mungu ni neno linalomaanisha "Mungu apewe sifa".
Ni neno ambalo linaenda sambamba na maneno Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo na kadhalika huko makanisani kufikia hatua ya kulitumia hili neno kwenye wimbo wa mapenzi katika muktadha wa Diamond Platnumz ni kufeli kwake katika uteuzi wa maneno.
Haiwezekani umezungukwa na mademu wapo nusu uchi unaimba Hallelujah huku ni kuitweza imani na utukufu wa Mungu.
Ni matumaini yangu wakati mwingine atakuwa makini kwenye kuchagua maneno ya kutumia ili kuhakikisha haleti mkanganyiko wowote.
I rest my case.
Zawadi B. Lupelo.
Tatizo mna nidhamu ya woga.Wewe kwako ni sawa tu kutumia maneno ya kumwabudu Mungu kwa wasichana?
Kule wanatumia kiarabu... sasa kama HALELUYA ni kiarabu na linabeba maana inayokusudiwa baada kusema takbir .....NDO USEME..!!!
Muwe mnawaza nje ya box..!!!
Duh! Umeua sana sikuwaza kwa upande huu kabisa. Means kwamba ule wimbo Mondi anamshukuru Mungu. Aiseee Dunia imekuwa tata sana wengn tumeachwaKwanza mkuu unatakiwa utambue kwamba kila kitu kina sababu,
kwahiyo unaposema Mungu apewe sifa unatakiwa ujiulize "apewe sifa kwaajili gani?"
anhaa maybe kwa kukuzawadia kitu flani,
okay hata kwa diamond, unatakiwa ujiulize amesema Mungu apewe sifa kwaajili gani? ndipo jibu linakuja
'Apewe kwaajili ya kumpatia zawadi ya Mwanamke mzuri ambaye ndiye anayemsifia ndani ya huo wimbo!...'
。
Vilevile unatakiwa ukumbuke kwamba Mapenzi sio dhambi, na kumshukuru Mungu na kumtukuza kwa zawadi aliyokupatia pia sio dhambi.
Usipomkumbuka Mungu kwa vitu vidogo basi hata kwa vikubwa hautomshukuru..
HALELLUJAH......
Mwenyezi Mungu amrehemu
Zawadi B. Lupelo
Wanajamvi salamu kwanza!
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna lilivyotumika ni maoni yangu kwamba limetumika kimakosa katika wimbo huo ambao ni wa mapenzi hasa ukizingatia maana ya msingi ya neno ambapo huwa linatumika kwenye ibada katika kumsifu Mungu ni neno linalomaanisha "Mungu apewe sifa".
Ni neno ambalo linaenda sambamba na maneno Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo na kadhalika huko makanisani kufikia hatua ya kulitumia hili neno kwenye wimbo wa mapenzi katika muktadha wa Diamond Platnumz ni kufeli kwake katika uteuzi wa maneno.
Haiwezekani umezungukwa na mademu wapo nusu uchi unaimba Hallelujah huku ni kuitweza imani na utukufu wa Mungu.
Ni matumaini yangu wakati mwingine atakuwa makini kwenye kuchagua maneno ya kutumia ili kuhakikisha haleti mkanganyiko wowote.
I rest my case.
Zawadi B. Lupelo.
Hamna yote tisa nyimbo hii ni very classic yaan level za ki international flani hivii nautatoboa mbali sanaHebu niusikilize kwa Makin m sijauelewa kabisa na hata mpangilio wake wa maneno ajitahid kutunga mashairi yanayoeleweka jmn
Blowing money fast.Kuna wimbo flani wa Rick Ross anatumia hilo neno...