Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

punch ya maana mkuu...
 
Ingekuwa vizuri kama ingeelezwa vizuri asili ya hili neno na si kuishia kutoa tu tafsiri na kujipa umiliki wa hilo neno kisa linatumika kanisani.

Maana hata neno "ubarikiwe" pia hutumika huko kanisani ila ndiyo utasema linamahusiano na ukristo tu?
 
Kumbeeee
 
Blowing money fast.


I think I'm Big Meech, Larry Hoover
Whipping work, hallelujah
One nation, under God
Real niggas getting money from the fucking start
Yaaap ndiyo wenyewe... Huo
 
Watu wa dini wakianza kuuvalia njuga atalitoa au wimbo utafungiwa tu
Yangu macho
 
dah we mtu upo kweli,kula kwanza like yangu. za masiku tele
 
Sawa kabisa kaelewa
 
naona rusifa yuko kazini kuharibu ila HAJUI kuwa alishanyang'anywa ufunguo wa kuzimu
sasa anatapatapa tu duniani ili kuwakanganya watu wa Mungu
 
Kweli kabisa hilo neno haleluya ni kwa kwa ajili ya kumsifu Mungu muumba wetu. Sasa haipendezi mademu wapo nusu uchi et haleluya kweli haipendezi bora angetumia neno lingine sio haleluya so sad!
Nguo huenda hata Mungu hazitambui, nguo zinatokana na kukua kwa teknolojia lakini Mungu alituumba bila Nguo, ndio mana ili mtu azaliwe lazima wanaofanya hilo tendo wawe uchi, ukizaliwa unazaliwa bila nguo, BILA SHAKA INGEMPENDEZA ZAIDI MUNGU KAMA TUNGEKUWA TUNATEMBEA BILA NGUO. hivyo ndio Mungu alivyotuumba.
 
Anashukuru uumbaji wa Mungu jinsi alivyowaumba hao wakaa uchi.
 
mwenzako anamsifia 'mungu' wake wa kipande ya pili aliyempa mafanikio...
 
mimi ni Muislamu safi na mnanijua,naona huyu Diamond anataka kuwa mkristo baada ya kuhubiriwa na Gwajima,atakuwa kampokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wake.

kashakolea neno.
 
Nilijua ni kwaya.kucheki ndani kuna miuno ya kufa MTU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…