Hajasema haleluya.Unaelewa maana ya Haleluya?
Unaelewa maana ya Haleluya?
Maana yake "Sifa na utukufu ni kwa Bwana"Halellujah maana yake nini?
nyimbo mbn inaitwa halellujahUnaelewa maana ya Haleluya?
Origin and Etymology of hallelujahUnaelewa maana ya Haleluya?
Shetani anambinu nyingi sana, kuwa makininyimbo mbn inaitwa halellujah
Unajua maana ya neno hallelujahHalellujah ni neno la kumtukuza mwenyezi MUNGU. Sasa huo wimbo unamtukuzaje MUNGU namna vile? Wimbo unachezwa kingono ngono tu, na mivitu ya ajabu ajabu. May be muhusika ana mungu wake anaye mtukuza, ila kama ni huyu aliyetuumba, hapana aisee.
Mkristo kaa mbali na Shetani.
hahahah saw mtumishiShetani anambinu nyingi sana, kuwa makini
Wakristu hatuna hayo mambo.
Ukitamka haleluya wakati ukiwa humaanishi mambo ya mungu basi haina maana yoyote, linakuwa ni neno tu na halina utukufu wowote wa kimungu. Ni sawa na wanaovaa misalaba au rozari ambazo hazijabarikiwa, inakuwa ni urembo tu.
Hatuna tatizo na hilo.
Origin and Etymology of hallelujahUnapumuliwa wewe.....unajua maana ya neno hallelujah
Kabisa,atakua na Mungu wakeHalellujah ni neno la kumtukuza mwenyezi MUNGU. Sasa huo wimbo unamtukuzaje MUNGU namna vile? Wimbo unachezwa kingono ngono tu, na mivitu ya ajabu ajabu. May be muhusika ana mungu wake anaye mtukuza, ila kama ni huyu aliyetuumba, hapana aisee.
Mkristo kaa mbali na Shetani.