Chadema imetumia na bodabodaa wale waliotuaminisha kwamba wamelaaniwaa.View attachment 2617658View attachment 2617660View attachment 2617661
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hivi hawa kazi yao ya kiuchumi ni ipi? Yaani kila mtu ndani ya CHADEMA anataka kuishi kwa ASALI kama Mwenyekiti wao
HakikaPolisi wanasindikiza maandamano ya chadema??!!! Kweli nchi imefunguka....#amelalayoo
Sasa kwa nini Muwakimbize, mmekuwa vichaa?Wakikimbizwa wana chana chupi wanaanza Mnatupiga wanawakee nye nye nye
nimeshangaa sanaPolisi wanasindikiza maandamano ya chadema??!!! Kweli nchi imefunguka....#amelalayoo
Swali la kijinga la wikiNa hao bodaboda ni BAWACHA?
Elezea ya kwako kwanza na wao watasema.Hivi hawa kazi yao ya kiuchumi ni ipi? Yaani kila mtu ndani ya CHADEMA anataka kuishi kwa ASALI kama Mwenyekiti wao
Ulipendelea uzione chupi zao uzinuse?Wakikimbizwa wana chana chupi wanaanza Mnatupiga wanawakee nye nye nye