Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hakuna mbunge nchi hii anazalishwa na kuteuliwa na Bunge (Spika). BAWACHA wanafanya mambo kinyume na maumbile sijui kwa vile itikadi ya CHADEMA ni pamoja na kuuunga , kutetea na kulinda maslahi ya ushoga kama liberal parties zote dunianiKWANINI MKUU UMEONGEA HILO
Ni kwa kuwa hayagusi maslahi ya watawala, hiyo topic nyepesi ina shida gani kwa mtawala? jichanganyeni kupick topic tata, ama siku kaja Kamala Harris mngeandamana ndo mngejua haijalishi amelalayoooo ama nini,Polisi wanasindikiza maandamano ya chadema??!!! Kweli nchi imefunguka....#amelalayoo
KukukazaHivi hawa kazi yao ya kiuchumi ni ipi? Yaani kila mtu ndani ya CHADEMA anataka kuishi kwa ASALI kama Mwenyekiti wao
Maandamano unatafsiri kama ni nini?Ulihitaji wawe wangapi?Na kama umeona si maandamano na wala si CDM,haohao CDM wamekutia aibu kuhusu kitu gani?Hamna cha maandamano pale.
Nikichoona ni kina mama wa uswahilini waliobeba watoto vikundi vya Ngoma na tarumbeta na boda boda.
Hawafiki hata watu 300.
Usanii mtupu.
Chadema mnatia aibu.
Kenge mmoja tu ndio alikuwa ameleta siasa za kikaburu!!ila daaa Mungu anatishaaa!!Polisi wanasindikiza maandamano ya chadema??!!! Kweli nchi imefunguka....#amelalayoo
Tulia Mzee Tulia Atkson Tulia hivyo hivyo kaa kwa ku Tulia hapo hapo usipepesuke wala usisogee usiteme wala usimumunyeWakikimbizwa wana chana chupi wanaanza Mnatupiga wanawakee nye nye nye
😆😆😆 Hii noomaKukukaza
Duuuh 🙄haohao CDM wamekutia
Tusisahau maridhiano ndio yameleta hayo maandamano, yasipuuzwe na yeyote, mahali popote.
Wakati ule ilikuwa wakijaribu kuandamana wanaambiwa nitawatandika mpaka shangazi zenu na hakuna aliyenyanyua mguu!.
Kwa nini wakimbizwe ? Wewe ni msinge halafu utakuwa shagerWakikimbizwa wana chana chupi wanaanza Mnatupiga wanawakee nye nye nye
Acha kuchukua vipande vya sentensi.Unapotosha.Upuuzi huo!Duuuh 🙄
Bulahya Live...Msinipige banBora wangeandamana kupinga maisha kupanda juu, hii ya kutaka wengine watoke ni wivu nao