cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji2][emoji2]Bulahya Live...Msinipige ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2]Bulahya Live...Msinipige ban
Mkuu linda heshima yako, hii ni push back na haihitaji umati wa watu, nenda pale kwenye nchi za Scandinavian kuna sanamu ya mwanamke yupo juu ya farasi, huyu aliandamana pekee kupinga ongezeko la kodi kwa wakazi wa mji ule!,heshima ipo hadi leo na kuonyesha respect kwake wakazi wote walijipanga barabara kuu aliyopita na wote waliinamisha vichwa vyao chini, middle class wa kitanzania mmejaa woga wa kizuzu na kulalama kibao humuHamna cha maandamano pale.
Nikichoona ni kina mama wa uswahilini waliobeba watoto vikundi vya Ngoma na tarumbeta na boda boda.
Hawafiki hata watu 300.
Usanii mtupu.
Chadema mnatia aibu.
Maandamano hayapaswi kuwa vile mkuu.Mkuu linda heshima yako, hii ni push back na haihitaji umati wa watu, nenda pale kwenye nchi za Scandinavian kuna sanamu ya mwanamke yupo juu ya farasi, huyu aliandamana pekee kupinga ongezeko la kodi kwa wakazi wa mji ule!,heshima ipo hadi leo na kuonyesha respect kwake wakazi wote walijipanga barabara kuu aliyopita na wote waliinamisha vichwa vyao chini, middle class wa kitanzania mmejaa woga wa kizuzu na kulalama kibao humu
Nionyeshe wewe hayo maandamano unayosema ni maandamano, ushujaa mbele ya hizi key boards, wale wamethubutu kutoka mitaani!,endeleeni kulalama humu na viajira uchwara wakati push back ni zeroMaandamano hayapaswi kuwa vile mkuu.
Ni kitu kinaonekana maigizo tu.
Maandamano yakweli hayahitaji boda boda na vikundi vya Ngoma.
Kuna tofauti ya ulichokiandika na kilichofanyika Leo na Chadema.
Vipi tena Mahakamani kumeshindikana?
Mahakamani kumeshindikana au wamecheleweshewa posho na Samia?View attachment 2617658View attachment 2617660View attachment 2617661
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tatizo lako huna akili.![]()
Sina tatizo na uwezo wa WANACHADEMA kufikiri ila nina mashaka makubwa sana na namna wanavyotumia uwezo wao kufikiri; kwa ujumla wanawaza tu hawafikiri hata kidogo
Kwani zinahitajikaTatizo lako huna akili.
Enzi za "Bumunda" isingewezekana.
Mwana Kondoo ameshinda tumfuate.
Alafu Kuna walevi walikuwa wanafananisha chadema na ACT.
JIWE angewatoa BALUUUUU!
Yani kazi kweli kweli 😂Chadema imetumia na bodabodaa wale waliotuaminisha kwamba wamelaaniwaa.
Hii operesheni twanga kotekote imewachanganya sana CCM especially sukuma Gang mkiamini kuwa Chadema imemeguka. Hii ngoma ni wenye akili tu ndiyo wanailewa. TWANGA KOTEKOTE
Kweli, yule katili alikuwa muuaji.Tusisahau maridhiano ndio yameleta hayo maandamano, yasipuuzwe na yeyote, mahali popote.
Wakati ule ilikuwa wakijaribu kuandamana wanaambiwa nitawatandika mpaka shangazi zenu na hakuna aliyenyanyua mguu!.