Tuanzie kwa mzee wa tozoWananchi tungeanza na wabunge wale kichapo cha maana adi akili ziwakae sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanzie kwa mzee wa tozoWananchi tungeanza na wabunge wale kichapo cha maana adi akili ziwakae sawa
Vipi kwani wewe hutoandamana kudai maji? au wewe unataka watu waandamane kisha uwatizame kwenye TVHao wananchi wa kuandamana wako wapi?
Tuanze na watu wanaotuzunguka kama mwenyekiti,diwani ndo wafate wengineTuanzie kwa mzee wa tozo
Hapo hakuna intelejensia ila wakiaandamana chadema inakuwepo
Namkumbusha tu Lissu aliwahi kuitisha maandamano na siku ilipofika alikuwa wa Kwanza kuingia mitini.Haya maandamano ni ya msingi, yakifanyika mimi nitakuwa msitari wa mbele. Nimechoka kunuka!
Watu tunanuka njiani, kuoga ni kwa nadra!. Sasa maisha gani haya!
Hiki ni kipindi cha kukata roho kwa CCM.Katika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini.
Wananchi wanasema Maji wakati mwingine yanakosekana kwa wiki nzima.
Hivi nani kuwadanganya kuwa serikali inaweza kuliendesha shirika la ndege?Wako sahihi kabisa. Huwezi kutumia zaidi ya trilioni moja kuendelea kununua ndege wakati basic needs za watu wako zimekushinda kutimiza. Hii ni dharau.
Wenzetu wanaandamana hata kwa bei ya mkate ikiongezwa bila muafaka kati ya walaji na wauzaji.Tofautisha madai ya kisiasa kama vile demokrasia na madai ya uhai, maji ni uhai. Ukiwa na kiu kimekukaba hayo maji utayafuata hata kambini kwa FFU na hutojali virungu wala bunduki zao
Waheshimiwa!!!!!Wananchi tungeanza na wabunge wale kichapo cha maana adi akili ziwakae sawa
Huko ndio kugirisikaUbinafsi umewajaa hadi wamesahau huduma za kilazima kwa jamii.
Wewe endelea kuishi misituni tuUnazungumzia Watanzania sisi au "wa kufikirika"?
Unadhani kuna mtu ataenda kuandamana akiona FFU wenye mitutu na maji ya kuwasha na wajeda wakiwa barabarani "wanafanya usafi"? Labda Tz ingine !!
Watu wa Dar es salaam Tanzania wavumilie kama wananchi wa apo Dodoma na singida wanavyipata shidaKatika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini.
Hili linchi limekuaje? Morogoro ni wiki sasa maji changamoto yanatoka usiku wa manane tena kwa matoneKatika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini.
Kwani Chifu Hangaya amesharudi matembezini Misri? Ujue Jiwe kanuna vibaya huko motoni alipo!Katika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini.
Wananchi wanasema Maji wakati mwingine yanakosekana kwa wiki nzima.