Muoga ni yule anayesubiri mwingine achukue hatua. Mwalimu Nyerere aliwahi kunusurika kesi ya uhaini kipindi cha mkoloni. Lakini hakukata tamaa mpaka tukapata uhuru. The best man is who stands alone.Hivi we unaweza kuandamana wewe? Hao viongozi wanao itishaga maandamano wenyewe ikifika siku ya kuandamana wanatoroka nchini
Mkuu nina sababu zote za kuandamana lakini ninapoishi mikusanyiko pekee wanayoweza kufanya watu hawa ni wakati wa vigodoro tu.vipi kwani wewe hutoandamana kudai maji? au wewe unataka watu waandamane kisha uwatizame kwenye TV
Hao ni kuachana nao, onyesha hasia zako wewe kama wewe utimize wajibu wako wa kiraia. Waliolala achana nao, wataibuka huko mbele ya safari baada ya kutambuaMkuu nina sababu zote za kuandamana lakini ninapoishi mikusanyiko pekee wanayoweza kufanya watu hawa ni wakati wa vigodoro tu.
Wewe uko tayari au unataka wengine waandamane kwa niaba yako?Watanzania ni waoga kuliko binadamu yeyote duniani.Hakuna mwenye ujasiri wa kuandamana
Dodoma maji yapo 24/7 si vizuri kusema uongo.Watu wa Dar es salaam Tanzania wavumilie kama wananchi wa apo Dodoma na singida wanavyipata shida
Dodoma maji yapo 24/7 si vizuri kusema uongo.
Ungekuwa muungwana sana kama ungekiri tangu mwanzo kuwa hayo ni mawazo yako binafsi kuhusiana na kadhia hayo, badala ya kupakazia kuwa ni wananchi, ambao wala hujawataja kwa majina yao, wala watokako.Katika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini.
barani na ndoo za maji na magudulia ikiwa ni ishara ya kuonyesha kudai maji!
Dar ina zaidi ya watu milioni 10 kwa sasa....Katika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini.
Wananchi wanasema Maji wakati mwingine yanakosekana kwa wiki nzima.
Serikali yenye mipango ilipaswa ndani ya miaka 60 ya kujitawala iwe na plan B kama ukame unatokea.Ungekuwa muungwana sana kama ungekiri tangu mwanzo kuwa hayo ni mawazo yako binafsi kuhusiana na kadhia hayo, badala ya kupakazia kuwa ni wananchi, ambao wala hujawataja kwa majina yao, wala watokako.
Tatizo la maji ni kubwa na kwa kiasi kikubwa linachangiwa nakupungua kiasi cha maji katika vyanzo vikuu, kunacho sababishwa na mabadiliko ya tabia nchi duniani.
Kuandamani hakuwezi kujaza maji kwenye mito na mabwawa !
Siasa muflisi wakati taifa linakabiliwa na majanga ya asili haina tija kwa Taifa, bali kwa umoja wetu tutafute mikakati ya kukabiliana na hali hiyo.
Huwezi KURARA NA MAMA BILA MAAAAAAAJIIIIIIIIIIIIIYaani watu wanashindwa hata kuenjoy tendo la ndoa sababu hakuna maji ya kuoga janaba.
Hii nchi imekuwaje mbona imekuwa ya hovyo sana?
Facts. PointWako sahihi kabisa. Huwezi kutumia zaidi ya trilioni moja kuendelea kununua ndege wakati basic needs za watu wako zimekushinda kutimiza. Hii ni dharau.
Si kwa nchi hiiKatika zunguuka yangu vijiweni Dar es salaam, Wananchi wanahasira kali sana juu ya ukosefu wa maji Jijini.
Wananchi wanasema Maji wakati mwingine yanakosekana kwa wiki nzima.
Kinachowakera zaidi ni kuwa wamekuwa wakitumia gharama kubwa sana kununua maji na hivyo kufanya maisha yao kuwa magumu maradufu.
Wananchi wanasema, Wameivumilia serikali kwenye mambo mengi sana ikiwemo kuvuruga uchaguzi serikali za mitaa mwaka 2019, Kuvuruga uchaguzi mkuu, Kuwatoza tozo kubwa, Ukatili wa kisiasa, Kuendesha zoezi la wamachinga kihuni. Sasa wanasema hili suala la Maji limewafika shingoni hali ni mbaya.
Inadaiwa Wananchi wanazungumza uwezekano wa kufanya maandamano makubwa ya kudai maji nchini.
Wananchi wanakumbushia kuwa kwenye rasimu ya Warioba MAJI ILIKUWA NI HAKI YA MSINGI ya mwananchi, wanasema kuwa kukataa katiba mpya maana yake ni kukataa wananchi wasipate hayo maji.
Katika mazungumzo yao, wananchi wanasema wanahitaji majibu ya suala la maji haraka sana la sivyo watatoka barabarani na ndoo za maji na magudulia ikiwa ni ishara ya kuonyesha kudai maji!
Wazazi wanalalamika watoto wanaenda shule bila kuoga, Watu wanalalamika wanashindwa kujisitiri chooni vyema sababu ya maji. Watu wanahoji hii nchi ni nchi ya namna gani?
Wakati huo wanahoji, Inakuwaje serikali inatumia matrilioni ya hela kununua ndege halafu inashindwa kujenga miundo mbinu bora ya maji kwa ajili ya jiji la watu milioni 8?
Haya mdogomdogo tutafika. Serikali ijiabdae kwa majibu, Mabomu ya machozi, virungu na bunduki havitoweza kuzuia watu wenye kiu!