Maandamano makubwa ya watu zaidi ya 180,000 yafanyika Paris ya kupinga chuki zozote dhidi ya Wayahudi

Maandamano makubwa ya watu zaidi ya 180,000 yafanyika Paris ya kupinga chuki zozote dhidi ya Wayahudi

Kitu usichofahamu Hamas ni shadow militant, unaweza kuwatafuta Gaza yote ukawakosa, ile ni itikadi, iko kwenye mioyo ya wapalestina, itikadi ya kutetea ardhi yao, na haitaisha milele mpaka Taifa la wapalestina litakapopatikana, Marekani walipambana na Taleban Afghanistan miaka zaidi ya 20 wakawashindwa, wakanyoosha mikono juu na kuwaachia nchi yao
Hakuna shadow.
Kichapo kimekolea wacha kuwafariji ujinga.
Raia wa gaza hawana hamu na wanajuta kuwakubali Hamas kama viongozi wao
NB: AKILI ZA WAARABU NI KWAMBA WAYAHUDI HAWANA HAKI YA KUISHI KWENYE ARIDHI YA BABU ZAO NA HAWAJUI WAYAHUDI WAPO PALE MILELE NA MUNGU WAO YEHOVA.
AKILI ZA WAARABU WAISLAMU SOMA
QUR'AN 9:30
QUR'AN 22:19
 
Hao ndo raia asili wa Ufaransa wakionesha uwazi nini maana ya kudai uhai na utu wa wana israel. Hao wapinga Israel wakiandamana ukweli ni kwamba sio wafaransa bali ni waarabu, waturuki na wapinga kristo wakionesha chuki zao hadharani kwa nduguze Yesu.

Marekani ndio watafanya vivyo hivyo Alhamisi kuunga mkono wana wa Israeli ili kuwapiku wazamiaji wa kiarabu waishio hapo wakiisujudu Hamas kwa maovu yao. Goooood Jooob French people! Kudos to Americans! Love son of abraham you will be blessed!
Nchi Yyte Inayoungwa Mkono Na Hawa Lgbt Mmarekan Yuko Kwenye Upande Usio Sahihi Waisrael Sio Wakristo Hata Hivyo Idad Ya Wayahud Waislamu Ni Wengi Kuliko Wakristo Israel Hauhusiani Na Ukristo Naomba Wakristo Muelewe Hilo Maana Mmewangangania Sana Wayahud Wakat Wao Wanaamin Yesu Hajaja
 
Hakuna shadow.
Kichapo kimekolea wacha kuwafariji ujinga.
Raia wa gaza hawana hamu na wanajuta kuwakubali Hamas kama viongozi wao
NB: AKILI ZA WAARABU NI KWAMBA WAYAHUDI HAWANA HAKI YA KUISHI KWENYE ARIDHI YA BABU ZAO.
QUR'AN 9:30
QUR'AN 22:19
Babu yao yupi? Taifa lililoanzishwa mwaka 1948 ?
 
Hakuna shadow.
Kichapo kimekolea wacha kuwafariji ujinga.
Raia wa gaza hawana hamu na wanajuta kuwakubali Hamas kama viongozi wao
NB: AKILI ZA WAARABU NI KWAMBA WAYAHUDI HAWANA HAKI YA KUISHI KWENYE ARIDHI YA BABU ZAO NA HAWAJUI WAYAHUDI WAPO PALE MILELE NA MUNGU WAO YEHOVA.
AKILI ZA WAARABU WAISLAMU SOMA
QUR'AN 9:30
QUR'AN 22:19
Waisrael hawana ardhi, pale walipo ni ardhi ya wapalestina
 
Kitu usichofahamu Hamas ni shadow militant, unaweza kuwatafuta Gaza yote ukawakosa, ile ni itikadi, iko kwenye mioyo ya wapalestina, itikadi ya kutetea ardhi yao, na haitaisha milele mpaka Taifa la wapalestina litakapopatikana, Marekani walipambana na Taleban Afghanistan miaka zaidi ya 20 wakawashindwa, wakanyoosha mikono juu na kuwaachia nchi yao

Nchi Yyte Inayoungwa Hawa Lgbt Mmarekan Yuko Kwenye Upande Usio Sahihi Waisrael Sio Wakristo Hata Hivyo Idad Ya Wayahud Waislamu Ni Wengi Kuliko Wakristo Israel Hauhusiani Na Ukristo Naomba Wakristo Muelewe Hilo Maana Mmewangangania Wakristo
Hakuna wayahudi (Waebrania) waislamu mpaka dunia inafika mwisho mkuu!!!!
Acha kujifariji.
Na wayahudi na wakrsto wanashea Mungu mmoja YEHOVA na hawatenganishwi na propaganda za Mungu wa kiarabu allah zilizofeli toka enzi za kuwachukia wayahudi.
NB : WAISLAMU ROHO INAWAUMA SANA WAKRSTO NA WAYAHUDI KUMUABUDU MUNGU MKUU WA KIYAHUDI YEHOVA
 
Hakuna wayahudi (Waebrania) waislamu mpaka dunia inafika mwisho mkuu!!!!
Acha kujifariji.
Na wayahudi na wakrsto wanashea Mungu mmoja YEHOVA na hawatenganishwi na propaganda za Mungu wa kiarabu allah zilizofeli toka enzi za kuwachukia wayahudi.
NB : WAISLAMU ROHO INAWAUMA SANA WAKRSTO NA WAYAHUDI KUMUABUDU MUNGU MKUU WA KIYAHUDI YEHOVA
Inachotakiwa ni Israel iondoke kwenye ardhi ya wapalestina, hayo mambo ya mungu mkuu sijui yehova ni ujinga mtupu. Hakuna mtu anashida na huyo munvu wao
 
Inachotakiwa ni Israel iondoke kwenye ardhi ya wapalestina, hayo mambo ya mungu mkuu sijui yehova ni ujinga mtupu. Hakuna mtu anashida na huyo munvu wao
KILA SIKU WAISLAMU NA WAARABU WANAWAPIGIA MAGOTI WAKRSTO NA KUWAOMBA WAWASAIDIE KATIKA CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI
NB: WANASAHAU MUNGU WA WAKRSTO NDIO MUNGU WA WAYAHUDI YEHOVA MKUU.
 
Hii inapaswa iwafikie walioaminishwa na dini yao kuchukia Wayahudi, hamtaweza kuwafuta duniani maana hamkuwaumba nyie.

343D2PK-highres-e1699808813378-1024x640.jpg

==========

More than 180,000 people turned out on Sunday to march against antisemitism in France, after a surge in anti-Jewish incidents across the country in the wake of the Israel-Hamas conflict.

Police said 105,000 people had joined the Paris march, while interior ministry figures put the nationwide figure at 182,000. Thousands of people gathered at more than 70 events across the country, including in major cities Lyon, Nice and Strasbourg.

The same slogan was adopted nationally: “For the Republic, against antisemitism.”

Mi naomba kuuliza mkuu kama una abc za Gaza, hivi Gaza haina Serikali, Bunge, Jeshi wala Mahakama. Maana kila nikifuatilia naona Warabu toka nje ya Gaza ndio wanaoisaidia Gaza kwenye Vita toka miaka ya kale., japo kwa sas sijuwi kwa nin wamekuwa wazito kuisaidia.

Ina maana hao Hamas ndio wenye mamlaka ya kuiendesha Gaza, maana ukiangalia kwa kina Israel haiwezi kuwamaliza Hamas, maana wapo wengi wengine wanadhamin wakiwa nje ya Gaza. Na Israel anasema hataiachia Gaza ina maana ataimiliki kama alivyoimiliki West Bank.
 
Nchi Yyte Inayoungwa Mkono Na Hawa Lgbt Mmarekan Yuko Kwenye Upande Usio Sahihi Waisrael Sio Wakristo Hata Hivyo Idad Ya Wayahud Waislamu Ni Wengi Kuliko Wakristo Israel Hauhusiani Na Ukristo Naomba Wakristo Muelewe Hilo Maana Mmewangangania Sana Wayahud Wakat Wao Wanaamin Yesu Hajaja
Sasa saudia na Israel wapi kuna mashoga wengi mkuu
Screenshot_20231113-131958.png
 
Hii inapaswa iwafikie walioaminishwa na dini yao kuchukia Wayahudi, hamtaweza kuwafuta duniani maana hamkuwaumba nyie.

343D2PK-highres-e1699808813378-1024x640.jpg

==========

More than 180,000 people turned out on Sunday to march against antisemitism in France, after a surge in anti-Jewish incidents across the country in the wake of the Israel-Hamas conflict.

Police said 105,000 people had joined the Paris march, while interior ministry figures put the nationwide figure at 182,000. Thousands of people gathered at more than 70 events across the country, including in major cities Lyon, Nice and Strasbourg.

The same slogan was adopted nationally: “For the Republic, against antisemitism.”

Hii ni sawa kabisa
Hakuna jamii ya watu duniani yenye haki ya kuifuta jamii nyingine juu ya uso wa nchi.
Wayahudi wamekuwa shabaha ya kufutwa na waarabu.
Hivyo wana haki ya kujilinda na kuhakikisha kila mwenye nia ya kuwafuta anafutika yeye.
Hata hivyo maandiko yanasema wavu waliouficha kwa siri maadui utawanasa wao na shimo walilochimba watatumbukia wao.
Hii ndio kanuni ya maumbile kwa haki ya malipizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna wayahudi (Waebrania) waislamu mpaka dunia inafika mwisho mkuu!!!!
Acha kujifariji.
Na wayahudi na wakrsto wanashea Mungu mmoja YEHOVA na hawatenganishwi na propaganda za Mungu wa kiarabu allah zilizofeli toka enzi za kuwachukia wayahudi.
NB : WAISLAMU ROHO INAWAUMA SANA WAKRSTO NA WAYAHUDI KUMUABUDU MUNGU MKUU WA KIYAHUDI YEHOVA
Nimekudharau Hujui Kitu Kumbe Hakuna Kitu Unachojua Jarbu Kusoma Iman Ya Wayahud Wanaamini Katika Mungu Mmoja Asiye Na Mtoto Hawaamin Katika Utatu Waisrael Wana Nn Mpaka Asipatkane Hata Mmoja Muislam Fatilia Vitu Ndo Ujibu Google Ipo Idad Ya Waislamu Israel Ni Weng Kuliko Wakristo Wayahud Kutokuwa Waislam Sis Haituumi Dini Yetu Inasema Hakuna Kulazimishana Katka Dini Tuna Uhakika Na Dini Yetu Pepo Itakuwa Na Watu Wachache
 
"Msulubisheee, Msulubisheee
Damu yake iwe juu yetu na watoto wetu"

Hivyo ndivyo "Taifa Teule" lilivyosema
Luka 24:25-26,46-47
[25]Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii![26]Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake?[46]Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu;
[47]na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.
 
Back
Top Bottom