Pre GE2025 Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu

Pre GE2025 Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
maigizo tu, hakuna kitu hapo, wote wamoja wametoka mbali, wote waislamu tu, wanazima umeme …
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Paskal- usiwaamini CHADEMA na maandamo yao rejea kwenye mapinduzi ya Zanzibar- waunguja wale usiku walikuwa na maonyesho ya ngoma kilichotokea sasa. Kumbuka pia UMATI hauna HEKIMA (THE MOB DOES NOT THINK) rejea ya London 2011
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Pia Wale wana harakati watambulike.
Kina Mdude, Mwakabusi, Dr. Slaa na wengineo wana malengo na hili Taifa.

CDF na mkuu wa Geshi la Mapolisi wetu Hawa jitokezeni mwafafanulie waTanzania hizi sintofahamu.
Wananchi wako na mashida nyingi ninyi mkikula na kuishi maisha nzuri na mishahara.

Huku nje watu ni mlo mmoja kwenda mbele! Na ndio maana familia nyi give zinakuwa na magombano hadi mauaji kutokelea.
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.


Naunga mkono hasa ukizingatia maandamano haya ni kwa katiba na tume huru sio mambo ya kichama bali ni mambo ya kitaifa.

Maandamano ya katiba yapo nchi nyingi sio Tanzania pekee.

Majeshi yakitumika vibaya yanaweza kuwa mwanzo wa vurugu badala ya kulinda wananchi.

Ukweli ni kwamba mswada umekosewa na Raisi amekosea sana huwezi kupeleka mswada kama ule bungeni kama wapo serious
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Kwamba ayapokee ikulu?? Izi nizile makalazako za kinafki 🤣
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.

Ameandika Mbowe katika ukurasa wake wa mtandao wa X;

"Team yetu ya Chama ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Bara Mhe Benson Kigaila imekuwa na kikao na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum, Dar Es Salaam ACP Jumanne Muliro na timu yake kuhusiana na Maandamano ya Amani yanayopangwa na kuratibiwa na CHADEMA siku ya Jumatano, 24 Januari 2024.

"Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa.

"Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa Amani."
Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,

Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.

P
 
Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,

Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.

P
Jisomee itakusaidia kwa namna moja au nyingine
 

Attachments

Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Ndiyo kilichotokea, kwa hili nawapongeza sn polisi
 
Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,

Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.

P
Hapa uliandika kama Paschal Mayalla na siyo njaa
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Kwa Sasa CDM tunatumia akili mingi sana.

Ccm endeleeni kutumia maguvu kwa virungu na mabuti.
 
Serikali yetu imejijengea hofu isiyokuwa na maana kwa kuogopa maandamano, hata kama wakiambiwa ni ya amani hawasikii, wameamua kwa makusudi kabisa kuitupilia mbali sheria inayoruhusu haki hiyo bila kuona aibu yoyote, tena ni kama wameshaisahau kabisa.

Kiubinaadamu, ukiona mtu ana hofu kwa kawaida basi ujue ana kosa, kama hujakosea popote huwezi kuishi kwa hofu ya kuogopa kitu kilichoruhusiwa kisheria, tena kinachoitwa cha amani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Safari hii watakoma maana tushajua wapi pa kupiga ngumi zetu
 
Serikali ya CCM ni waoga wa mabadiliko, hawawezi kukubali maandamano.
Kaka nguvu inqyotumiwa na CDM siyo mchezo bali ni akili kubwa.

Wao wanatumia polisi bali sisi ni bongo tu na mwisho wa siku wanlainika tu
 
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.
Ushauri huu ni very valid kipindi hiki kuelekea maandamano ya Chadema
Sidhani kama POLISI itafanya vitendo vya kikatili kwa watu wanao andamana kwa amani kudao madai ya kutafutwa watekeji, kwakuwa hata hao POLISI ni Raia wa nchi pia wao hawapendi watu watekwe na kuuwa kwani baadhi ni ndugu zao rafiki zao majirani zao
Mkuu Jafe, Japhet gombe , ni kweli, na hii imewahi kutokea huko nyuma, Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na niliwahi kuwasisitiza hawa polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, September Mosi, Please Msigeuke Makaburu!" na kwenye kusambaratisha maandamano kwa vurungu, mabomu ya machozi, maji ya washawasha na risasi za moto, nilishauri Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!
P
 
Ile kule thread nyingine unang'ata huku unapuliza. Kule upo against maandamano perse, huku upo reasonable 🤔
 

Attachments

  • 20240819_175052.jpg
    20240819_175052.jpg
    17.2 KB · Views: 1
Wanabodi,

Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.

Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.

Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.

Paskali.

Brilliant Pascal, hakika umetoa wito wenye ukweli na tija kwa taifa letu pia ni uhakiki halisi wa 4R
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom