Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paskal- usiwaamini CHADEMA na maandamo yao rejea kwenye mapinduzi ya Zanzibar- waunguja wale usiku walikuwa na maonyesho ya ngoma kilichotokea sasa. Kumbuka pia UMATI hauna HEKIMA (THE MOB DOES NOT THINK) rejea ya London 2011Wanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Pia Wale wana harakati watambulike.Wanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Wanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Kwamba ayapokee ikulu?? Izi nizile makalazako za kinafki 🤣Wanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Kabisa...Wanajeshi wanatusafishia mtaa mkitangaza maandamano, kwanini kila mwezi msiyatangaze? Hamuoni fursa?
Wanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Ameandika Mbowe katika ukurasa wake wa mtandao wa X;
"Team yetu ya Chama ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Bara Mhe Benson Kigaila imekuwa na kikao na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum, Dar Es Salaam ACP Jumanne Muliro na timu yake kuhusiana na Maandamano ya Amani yanayopangwa na kuratibiwa na CHADEMA siku ya Jumatano, 24 Januari 2024.
"Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa.
"Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa Amani."
Jisomee itakusaidia kwa namna moja au nyingineAsante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,
Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.
P
Ndiyo kilichotokea, kwa hili nawapongeza sn polisiWanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Hapa uliandika kama Paschal Mayalla na siyo njaaAsante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Natoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Samia, baada ya kuusoma ushauri huu Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu
Atakuwa amekubaliana na ushauri huu. Hivyo sasa wito wangu huu Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Uendelee,
Haya shime, tujitokeze kwa wingi kushiriki maandamano muhimu sana haya.
P
Kwa Sasa CDM tunatumia akili mingi sana.Wanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Safari hii watakoma maana tushajua wapi pa kupiga ngumi zetuSerikali yetu imejijengea hofu isiyokuwa na maana kwa kuogopa maandamano, hata kama wakiambiwa ni ya amani hawasikii, wameamua kwa makusudi kabisa kuitupilia mbali sheria inayoruhusu haki hiyo bila kuona aibu yoyote, tena ni kama wameshaisahau kabisa.
Kiubinaadamu, ukiona mtu ana hofu kwa kawaida basi ujue ana kosa, kama hujakosea popote huwezi kuishi kwa hofu ya kuogopa kitu kilichoruhusiwa kisheria, tena kinachoitwa cha amani.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kaka nguvu inqyotumiwa na CDM siyo mchezo bali ni akili kubwa.Serikali ya CCM ni waoga wa mabadiliko, hawawezi kukubali maandamano.
Havitawasaidia kituWaoga wameanza VITISHO....
ImeboooomaaaaaWameshaanza kuweka hofu kwa wananchi.
JWTZ KUFANYA USAFI MITAANI SIKU YA MAANDAMANO NI TISHIO KWA WAANDAMANAJI.
Ushauri huu ni very valid kipindi hiki kuelekea maandamano ya ChademaWanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.
Mkuu Jafe, Japhet gombe , ni kweli, na hii imewahi kutokea huko nyuma, Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa! na niliwahi kuwasisitiza hawa polisi wetu Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, September Mosi, Please Msigeuke Makaburu!" na kwenye kusambaratisha maandamano kwa vurungu, mabomu ya machozi, maji ya washawasha na risasi za moto, nilishauri Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!Sidhani kama POLISI itafanya vitendo vya kikatili kwa watu wanao andamana kwa amani kudao madai ya kutafutwa watekeji, kwakuwa hata hao POLISI ni Raia wa nchi pia wao hawapendi watu watekwe na kuuwa kwani baadhi ni ndugu zao rafiki zao majirani zao
Wanabodi,
Kwa muda mrefu Tanzania tumekuwa na uoga wa maandamano, naomba kutoa wito kwa serikali yetu, let's do things differently this time.
Hiyo 24 Jan, namuomba sana Rais Samia, amuite Waziri wa mambo ya ndani na IGP kuwaeleza watoe kila aina ushirikiano ili CHADEMA ili kufanikisha maandamano yao, waandamane kwa amani, na hata ikitokea wanataka kuandamana kwenda Ikulu, Rais Samia ayapokee tuu maandamano hayo kwa kutumia falsafayake ya 4R.
Maandamano ni haki za vyama vya siasa, this time waacheni CHADEMA waandamane.
Paskali.